Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari za saa hii hapa JF, Naomba nisaidiwe kufahamu hiki kipindi ambacho mtu anakuwa katika upande wa amepata maambukuzi ya Virusi Vya Ukimwi lakini bado ule muda wa mwezi mmoja mpaka mitatu...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Ukiachilia mbali mambo ya imani, leo tuone athari za jambo hili japo kwa ufupi. Sehemu ya haja kubwa huwa na misuli miwili inayofanana na pete, kwa Kiingereza huitwa sphincters, labda kwa...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Mimi ni kijana wa miaka 23, kwa miezi kama 7 hivi nimekuwa nikishambuliwa na chunusi na upele usoni. Upele wenyewe ni mkubwa na nikiuminya yanatoa usaha. Nimejaribu kutumia sabuni na mafuta aina...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Nisaidieni nimeota kinyama mwisho wa ulimi kinafanana kama ulimi ila kifupi, kinauma sana.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za leo kwanza kabisa nipongeze jitihada za dhati zinazofanyika kuondosha na malaria pamoja na magonjwa yanayotokana na Mbu katika safari zangu hivi karibuni nimesikia habari ambayo...
0 Reactions
1 Replies
833 Views
Habari ndugu zangu, kiuandishi sipo vizuri sana. Ninamtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja, amenyonya maziwa ya mama yake kwa muda wa miezi 4, baada ya hapo akaanza kutumia maziwa ya dukani...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nina mwaka wa nne sasa kwenye ndoa yangu. Mimi na mke wangu tuna watoto wawili, ila kuna jambo ambalo ashakum si matusi limekuwa likinipa kero sana na kuwa na maswali mengi. Mke wangu anapenda...
15 Reactions
234 Replies
52K Views
Igweee! Wakuu nina tatizo hilo macho yangu yamekua mekundu kama mvuta bangi, hayana maumivu yoyote wala hayajavimba, ila nikijitizama kwenye kioo naona spot ya redness kwingine naona weusi fulani...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari zenu? Ninaomba msaada wenu, hivi ni hatua zipi ninapaswa kuzifuata ili niweze kusajili na kufungua kituo kidogo cha kutoa matibabu ya meno?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu leo nimekunywa Mo Extra ila nashangaa mapigo ya moyo yanapiga sana mpaka sasa hivi, nimekunywa kama masaa 4 yaliyopita. Ila mpaka sasa yanapiga sio full time, ni kwamba moyo unapiga normal...
2 Reactions
39 Replies
10K Views
Habari wana JF? Kama kichwa cha mada kinavyojieleza maji yameniingia sikioni wakati naoga siku ya jana, nifanyeje kuondoa hali hii. Nawasilisha!
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Habarini Wakuu Katika maongezi na baadhi ya vijana wenzangu iliibuka hoja juu ya mada hapo juu, ya kwamba katika makundi ya damu yaliyopo A, B, AB, O kuna makundi ambayo wenye nayo si vyema...
2 Reactions
35 Replies
10K Views
Habari Zenu Jf Members? kuna maswal mengi sana huwa najiuliza inakuwaje watu wanafanana sura na ili hali hawatoki ukoo mmoja, unakuta labda 50 cent kafanana na mtu kutoka Kenya. mpaka msemo wa...
3 Reactions
13 Replies
4K Views
Ndugu, Hicho ni kipimo cha haraka cha kupima Malaria. Na kimepigiwa promo sana na Serikali na sasa kinatumiwa karibu kila mahali. Shida niliyogundua , wengi wakipima kwa kipimo hiki huwa -VE...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Nasikia maumivu ya koo yaani kama linachoma hivi. Msaada wenu shida itakuwa nini?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu nimerudi kwenu tena, nilikua na kasumba napiga bao tatu ndani ya dk.20-30, ila leo na siku za hivi karibuni mambo yamekua magumu. Yaani, bao tatu, Leo kidogo nifie kwenye uke wa mtu, la...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za week end wana jamvi. Nasumbuliwa na tatizo la muwasho kwa muda wa zaidi miaka 10 sasa. Hua napata muwasho wa ajabu sana mara baada ya kukoga iwe asubuhi, mchana au usiku. Nikinyeshewa...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Habari wana jukwaa, Kuna kipindi nilikuwa naumwa sana kiuno, nikaenda kupima mkojo kuangalia kama nina tatizo la kibofu na mfumo mzima ya mkojo. Majibu yalipotoka nikaonekana nina UTI nyingi...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Ni kuwa nilichoma chanjo ya HPV awamu ya kwanza na nikaambiwa nirudi kuchoma awamu ya pili baada kama ya miezi 2 au mitatu. Baada ya hapo nilirudi hospital wakanambia dawa imeisha nisubiri sasa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina tatizo la nyonga imenishika toka jana. Nina kawaida yakufanya mazoezi leo sijafanya kama ilivyo kawaida. Naomba ushauri.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom