Salaam sana wakuu katika JF.
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la korodani moja kuvimba tangu utotoni na hata kupanda juu maeneo ya kibofu kiasi kwamba hata kutembea inakuwa ngumu, hadi uirudishe...
Homa ya ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya Virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi Sugu! Virusi hivyo kitaalamu vinaitwa Hepatitis B Virus (HBV)
Virusi...
Jamani kwenye kusoma soma nimekutana blog wameandika vitu vizuri sana kuhusiana na vyakula vya kutumia ili kupunguza uzito. Wanasema diet hii inasaidia kuepusha magonjwa ya moyo, diabetes...
Wadau, nina mtoto wa miezi minne (4). Na huwa anapakwa mafuta ya nazi yanayoitwa MINARA. Na sabuni anayoogeshewa ni baby Johnson. Na kabla ya Baby Johnson, tulikuwa tunatumia hizi sabuni za...
Nashida mmoja tu kubwa nipo kwenye program yangu ya kupunguza mwili( na maanisha sina mtaalamu wakuniongoza) huwa nafanya mazoezi kwa muda wa lisaa limoja hadi na nusu ila si chini ya lisaa...
Habari za saiz ,nimekua nikisumbuliwa na tatizo la kushindwa kucheua pamoja na maumiv makali ya kichwa na mwili kwa ujumla haswa haswa mgongo upande wa kulia na kushoto ,na mara nyingi imekua kama...
Dalili 10 za mvurugiko wa homoni kwa wanawake
UPUNGUFU WA HOMONI YA PROGESTERONE
Hii ndio aina kubwa zaidi ya mvurugiko wa homoni inayowasibu wanawake wengi sana wa rika zote. Vyanzo mara nyingi...
Hapa inahisishwa maradhi yote ya tumbo ikiwemo vidonda sugu vya tumbo pamoja na wenye matatizo ya gesi tumboni.
Tafuta majani ya Songwa au (Msongwa) majani kiasi tu loweka kwa muda wa...
Nimepata tatizo la kukazika misuli ya njia ya haja kubwa, hali inayopelekea kupata haja kubwa kwa shida sana na tumbo kuuma kutokana na kinyesi kubakia katika utumbo.
Yote haya yametokana na...
Mbukwenyiii wadau.,
Jamani naombeni msaada, ni mafuta gani mazuri kwa masaji?? Na upatikanaji wake.
Nataka niwe professional masseur, lakini ni kwa ajii ya mke wangu tu. Mke wangu anapenda...
160 Uses for Coconut Oil
1. Age Spots (also known as liver spots) applying coconut oil directly to the age spot will help it fade.
2. After Shave coconut oil will help heal your skin after...
Habari za wakati huu members.
Jamani, kwenye sura yangu (shavuni) kuna kiuvimbe kidogo kwa ndani, yaani unaweza kujua ni kivimbe kwa kugusa sehemu husika na katikati kuna kitundu kidogo hivi...
Hello wana Jf team,
Naomba kuuliza mwenye kujua hospitalI wanayofanya operation ya kuondoa mtoto jicho please naomba mnijuze, sio KCMC lakini maana bei zao zinaua ni 500,000 kwa jicho moja...
Katika mihangaiko ya hapa na pale nimeona kitu hiko hapo juu, ambacho kweli sijawahi kupata ushuhuda/ habari za maana ili kukiamini.
Lakini nikakumbuka kuwa mwaka fulani niliambiwa kuwa katika...
Waungwana samahani nina shida sana, nasumbuliwa na maumivu ya kiuno yaani kinauma balaa. Kukaa tabu, kuinama taabu, shida hasa ni nini? Wadau mbalimbali wanadai dawa yake ni kupiga show sasa mbona...
Habari,
Nimekuwa na tatizo la tumbo kuunguruma sana kiasi cha kusikika hata kwa mtu aliye pembeni yangu. Hii hali inatokea muda wote nikiwa na njaa na hata nikiwa nimeshiba.
Mwezi mmoja...
Ukiishi mpaka kufikia umri huu ni jambo la kumshukuru Mungu. Kutokana na huduma bora za afya wengi hufikia sherehe ya miaka 50, 60, 70, 80 hata 90.
Ukifika miaka 50 hata kama huna tatizo lolote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.