Nimejaribu kusoma article nyingi za afya kuhusiana na madhara ya punyeto sijawai ona punyeto inasababisha matatizo ya nguvu za kiume.
Sema sasa ukiingia Instagram na Facebook aiseee utakutana na...
Wataalam habari za usiku huu?
Baada ya kukaa na mwanamke kwa miezi sita matokeo yakiwa bila bila tuliamua kwenda hospitali fulani ya binafsi kufanya vipimo, majibu yalikuwa kama ifuatavyo...
Naomba kujuzwa nahisi nimezidiwa na hormone za wenzetu wa upande wa pili. Nahitaji msaada ni hospital au centre gani Moshi au Arusha inaweza kunisaidia kutibu au dawa, maana napata tabu mno.
Nipo...
Najua humu wataalamu wa masuala ya afya wamejaa na kwa uwezo wa Mungu mtanipa ABC's.
Ni hivi mke wangu ana mimba ya wiki 10 sasa ila analalamika sana maumivu ya tumbo kuzunguka kitovu tumeenda...
Utafiti mmoja wa kiafya duniani umeonyesha ongezeko la asilimia 82 la watu wanene kupita vifo vinavyotokana na kunenepa kupita kiasi ni mara tatu zaidi ya vifo vinavyosababishwa na kukosa chakula...
Habari zenu wadau.
Mwanzo nilikuwa namwaga mapema ndani ya dakika 1 then naendelea tena kudoo bao la pili naenda hata lisaa lizima sijamwaga mpaka mwanamke anataka kukimbia.
Sasa nikataka...
Matunda ni moja ya vitu muhimu kwa ujenzi wa mwili wa binadamu, kwa sababu yanavirutubisho vingi vinavyosaidia mwili kuwa na afya bora na miongoni mwa matunda hayo ni embe.
Tunda hili lina ladha...
Habari wanawake wenzangu,
Poleni na majukumu, leo nimependa niwaletee huu ujuzi kidogo ambao nina ushuhuda nao, niliona post sehemu nikajaribu na ikanipa majibu ndani ya siku 3.
Kuna wanawake...
Leo asubuhi jamaa kanipigia simu nikawa naongea huku nakula nanasi. Jamaa kasema naona ndio unakunywa chai nikwambia ndio hapa napata tunda langu adimu nalolipenda la nanasi. Kasema okay ila...
Kwaza kabisa nigaependa kuwasalimu wote wapenzi wa jukwaa hili.
Ni kipindi kirefu sana hatukutani humu, lakini hii ilitokana na mimi kuingia katika majukumu ya kiume; nilifanikiwa kupata mke na...
Wadau naombeni ufafanuzi huu.
Ikiwa mwanaume kasimamisha anaingiza uume kwa mwanamke baada ya dakika 5 anakojoa. Je, hii tuhesabu kwamba ana upungufu wa nguvu za kiume?
Na kwa matatizo kama haya...
Nasumbuliwa na tatizo la mishipa ya taya kubana pembezoni mwa masikio, mpaka kichwani kwenye utosi na kwenye kichogo. Hali inasababisha wakati wa kupiga mihayo nipate maumivu kwenye taya na muda...
Ufanyaji kazi wa uume unategemea ushirikiano wa vitu vinne katika usawaziko sawa; mfumo wa neva za fahamu, mfumo wa homoni, mfumo wa mishipa ya damu na mfumo wa akili na saikolojia.
Ili uume...
Habari, kuna mtoto amezaliwa mtaani kwetu, kwa bahati mbaya mama wa mtoto huyo haruhusiwi kumnyonyesha mwanaye kutokana na sababu za kiafya.
Je, anaruhusiwa kupewa maziwa ya ng'ombe au uji...
Nilianguka kwa bahati mbaya mfupa wa nyonga unacrack na pia unaminya mshipa wa damu unaoenda mguuni. Sasa nina wiki ya tatu maumivu yako pale pale hususani chini ya goti kwa nyuma. Naomba mwenye...
Wasalaaam.
Ni miezi 9 sasa toka nijifungue mtoto wangu. Sasa sijawahi kubleed kabisa. Na nimeishia Hofu nisije nikapata mimba jamani maana naendelea kukutana na mwenzangu kwa tendo la ndoa kila...
Habari za wakati huu,
Kuna mpendwa wangu (mama) kapatwa na tatizo la mfupa mdogo kuota kuelekea kwenye kiganja cha mguu, hali inayosababisha kupatwa na maumivu makali pindi anapotembea au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.