Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kama thread isemvyo vipi imefikia wapi maana mwaka Jana USA alitangsza kuifanyia majaribio
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu ninaombeni msaada wenu kwani hili tatizo linanisumbua mwaka wa tatu sasa nimetembelea hospitali wananiambia litaisha lenyewe ile nizingatie afya yangu...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu. Kuna yeyote anajua wapi naweza kupata huduma ya clinic ya wachina Dar es salaam. Anaefahamu please naomba aniambie mahali ilipo. Asanteni
0 Reactions
7 Replies
40K Views
Naongelea watoto wachanga below 2years ambao hawapendi kunywa dawa. Tunafanyaje jameni ili waweze kupata dozi zao.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada.Nina chalii wangu nataka kumtahiri.je ni wapi kuna huduma iyo bila maumivu makali?nipo morogoro
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Hbr ya jioni mabaharia wa JF niende kwenye mada. Ni dawa gani anayoweza kutumia mtu aliyesex siku za hatari na hilo limebainika baada ya ucku huu na masaa 72 yameshapita. Kuna dawa ambazo kwa...
1 Reactions
41 Replies
39K Views
Habari wanajf nawasalimu Naomba aliyepitia hali ya kupata sukari kipindi cha ujauzito au yoyote aliyeona mtu mwenye hali hiyo tusaidiane kwa mawazo Mimi ni mmoja wapo nna shida huu ni ujauzito...
0 Reactions
0 Replies
594 Views
eti wadau km ktk kunyoa kinyozi mashine ikamkata mtu ambaye n muathirika, je kirus hukaa kwa mda gani? nje.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ghana Discovers Potential Cure For HIV And AIDS Hii habari haitawafurahisha Baathist ya wazungu. Kuweka Historia kuwa Africa ime crack the code!
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna dada flani ni best angu sana. Sasa mwezi huu kapitiliza siku zake kwa siku leo ya tano. Nimemshauri aende akapime, kaenda famasi ya kwanza majibu ni negative hakuamini kaenda sehemu nyingine...
0 Reactions
3 Replies
782 Views
Habari zenyu... Kama kichwa kinavyojieleza hapo... Wanasemaga unene ni shida ila kuna watu tupo kama ubao uliokauka...tunaitaji mwili.... Kama kuna mtu anajua njia za kunenepa...au ushauri anaeza...
2 Reactions
24 Replies
7K Views
Habari wa JF, naomba kuuliza juu ya athari anayoweza kupata mtoto aliyebebewa mimba akiwa na miezi sita au chini ya hapo. Je joto la mama ambaye mjamzito linaweza kumuathiri mtoto au kitaalam...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyojieleza ni jinsi ya kufanya uume wako ukisimama(ukidinda) uwe Kama msumari ulionyoka ni rahisi sana MAHITAJI 1.asali 2.vitungùu swaumu 3.kijiko kidogo cha kawaida MATUMIZI...
3 Reactions
20 Replies
9K Views
Wakuu napata shida nikimeza chakula nasikia mamumivu makali kwenye koo upande wa juu wa puani kwa ndani.. Yani nahisi kama kuna kitu kinazuia .... Naombeni msaada wenu wakuu
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ni miaka saba sasa imepita tangu nipate tatizo hili la kuona na kusikia,macho yangu hayana maumivu ya aina yoyote, hayawashi, hayachomi wala hayanisumbui kwa chochote isipokuwa kutoona vizuri...
10 Reactions
124 Replies
16K Views
Ndugu zangu, yapata miezi 5 sasa nasumbuliwa na tatizo la kuumwa sana kwa mgongo ( kwenye maungio kati ya uti wa mgongo na nyonga) chakushangaza nikiwa na hayo maumivu, mashine inakua ya baridi...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Wakuu, jana nimepitapita kwenye maduka hapa Dar nikitafuta dawa ya Aspirin lakini nikaonekana kituko. Najiuliza ni kipi kimepelekea dawa hiyo kutopatikana madukani?
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Mwanzo wa tatizo Tatizo lilianza mwaka jana August 2018 pale ambapo nilianza kuhisi maumivu yanayokuja kwa kasi na kupungua kifuani karibu na eneo la moyo. Maumivu hayo nilihisi yanahusiana na...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari zenu Wakuu. Natafuta kifaa special kwa ajili ya kumnywesha maziwa mtoto mwenye tatizo la cleft palate (special feeder). Yeyote anaefahamu vinapouzwa kwa hapa Tanzania tafadhali anifahamishe.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…