Kama heading inavyojieleza, takribani wiki sasa ninapata break fast na lunch pekee wakati jioni naweza kula matunda na grass moja ya juice au maziwa mtindi. Diet hii haihusiani na kupunguza mwili...
Wadau Naombeni Mnisaidie Kwenye Msaada Wowote Juu Ya Tatizo Nililonalo La Kukawia Kufika Kileleni Wakati Wa Kufanya Mapenzi Maana Natumia Muda Mwingi Sana Hadi Inakuwa Kero, Nifanyeje Ili Niwe...
Habarini wana JF, ningeomba kupata msaada juu ya hili. Nlkua nikicheza mpira siku sio nyingi sasa kwa bahati mbaya nilipigwa kichwa kwenye pua pembeni ya jicho upande wa kulia sikuhisi mauvivu...
Wadau, habari za humu, baada ya miaka mingi ya kwenda hospitali pindi ninapo umwa tu sasa nataka niende kufanya check up ungali mzima wa afya. Sasa nataka nikafanye full blood picture, sasa katika...
Ndugu wapendwa habarini za muda!
Samahani ndugu zangu,mwanangu anasumbuliwa na viuvimbe vinavyomtoka sehemu mbalimbali za mwili wake, na tulijaribu kwenda kupata tiba lakini bado tatizo lipo...
Habari wakuu mwanangu amekuwa akisumbuliwa na tonsils tangu umri wa miaka minne, ila siku hizi haziumi tena km mwanzoni na hata mwanzoni hakuwa anaumwa serious kiasi cha kushindwa kula wala...
Wakuu Salaam!
Hapa home kuna issue tata kidogo! Kuna msichana ana umri wa miaka 18 na anakaribia miaka 19 hivi sasa! Ukimuona ana afya njema na haoneshi dalili yoyote ya upungufu wa kitu fulani...
Nina mdogo wangu wakike bahati mbay tuko wawil tu wazaz walishatangulia sasa huyu mdogo ang kumbe alipata mimba na kwa kuniogopa alijaribu kuitoa hiyo mimba sas kma week moja iv imepita alkuw...
Kwa uelewa wangu👇
Homa ni kitendo cha joto la mwili kupanda adi nyuzi kadhaa ambayo husababishwa na maradhi kama malaria,typhoid,U.T.I na n.k.
Swali;naitaji kujua kuna aina ngapi za (homa)tofauti...
ni mwaka wa 6 sasa mimi na mke wangu hatujamtafuta mtoto mwingine na hatujatumia njia yoyote ile ya uzazi wa mpango.
sasa tumbo linamuuma sana tu kama wiki sasa (hii ni baada ya kuanza...
Mwenye uelewa au ambaye ashawahi kupatwa na hii hali naomba anisaidie, korodani na mapaja yamekuwa yanababuka pamoja na kutoa kijiharufu flani ambacho sikielewi wakuu,cha ajabu hata ukioga,hii...
Huwa najiuliza hivi madaktari hawana utu kabisa?
Yaani mtu anahitaji operation kwa hali na mali ili aokoe maisha yake. Lakini unaambiwa pambana upate laki 5.
Hivi huwa haiwezekani kabisa mtu...
Habari wana jamii doctors naomba msaada kuweza kufahamu nn suluhisho la huu ugonjwa wa U.T.I kwa dada zetu umekuwa ni ugonjwa ambao uwahishi kila wapimapo au wana kosea wapi maana dawa kama dawa...
Niliambiwa vichomi ni dalili ya ugonjwa wa moyo mara ya mwisho nimeenda muhimbili nimecheki ecg na echo vyote kiko sawa lakini hiki kichomi hakiondoki na Leo nimegundua nikinywa soda aina sprite...
Habari wakuu,ni miaka 2 na mwezi 1 tangu nimejifungua mtoto wangu wa kwanza, kwa njia ya upasuaji,kwa sasa nahitaji mtoto wa pili,je ni muda sahihi kiafya
Kuna wakati nilikuwa napata maumivu makali kwenye nyonga za ndani au naweza kusema nyonga za mbele wakati nikiwa nafanya mazoezi ya kukimbia na nilikuwa nahisi kama vile kitu kinavuta...