Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Miezi kama miwili hivi iliyopita kuna mwanamke nilikutana naye. Sikusex naye zaidi ya romance (Nashukuru Mungu). Siku mbili zilizopita nimesikia kuwa ni muathirika na anakunywa dawa na rafiki zake...
1 Reactions
143 Replies
18K Views
Analalamika kuwa matiti yanamuuza, nauliza kama upt inaweza kudetect mimba ya siku 10
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Jaman msaada mtu akitaka kusomea Ado lazima awe amefaulu masomo gan naomben muongozo ASANTEN
0 Reactions
0 Replies
665 Views
Nilikuwa na tatizo la mafua yasiyoisha nikapewa koflyn Sasa nilivoanza kuinywa hii sryup nikagundua inanipa usingizi mzuri Sana hata nilivyomaliza chupa ya kwanza ikabidi nikanunue chupa Nyingine...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mtoto wa Jicho hufahamika kama (Cataract) ambapo lensi ya jicho inakuwa na hali ya ukungu ambapo huzuwia mwanga kuingia ndani ya jicho, matokeo yake ni upofu.. Mtoto wa jicho shida inakuwa kwenye...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wandugu iko kidole kina mwezi wa pili sasa tumejaribu kumkamua lakini hakijatoa usaha kwa hivyo sio jipu na pia sio mdudu maana watu wanadai mdudu hawezi kudumu kwa kipindi kirefu hivyo...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Msaada kwenye tuta Mke wangu amebakiza wiki 2 tu kufiisha miezi tisa ya ujauzito wake but sikuya pili leo tumbo limemsumbua sana nimefikisha hospital wanasema njia inafunguka Je, inawezekana...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Watu husumbuliwa na maumivu ya shingo pale wanapo amka asubuhi Wakati mwengine aina ya mto wako unaotumia unaweza changia Hasa mto ukiwa 1. Mgumu sana 2. Mkubwa sana 3.Mdogo sana vitu hivi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mapungufu ya Damu kwa mama mjamzito huweza kupelekea ukuaji hafifu wa mtoto alieko tumboni, kuzaa mtoto njiti, mtoto kufia tumboni na pia chupa ya mtoto tumboni kupasuka kabla ya wakati || kiasi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika mada ya leo tatazungumzia baadhi ya matatizo au magonjwa yanayosababisha maumivu katika mifupa. Kwa sababu matatizo yanayoleta maumivu katika mifupa ni mengi mno, tutajaribu kuzungumzia...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Antibiotic ni dawa za aina gani.? Na ni zipi.?
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Tafadhali naombeni msaada kuna Mtoto wa rafiki yangu ana ugonjwa pengine niute wa ngozi, pembezo mwa unyao wa kila mguu amechanika chanika sana kama Yale wanayaita masagamba! Dawa IPI...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Salaam! Njia za Kisasa za uzazi wa mpango ambazo zimekua zikitumika hasa nchi za kiafrika pamoja na kuwa na msaada lakini zimekua zikisababisha madhara makubwa ya Kiafya lakini Mara nyingi...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Tunaambiwa Dengue huenezwa kupitia mbu "aedes".. carrier wa vijidudu vya dengue, Asa kwanini mbu huyo hujitokeza tu baadhi ya miaka, Katika miaka mingne ambako huwa hatuskii dengue, mbu huyo huwa...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni wangapi walishatumia vyoo vya hospitali? Hapo juu ni moja ya vyoo vyenye hali bora. Kwanza unakuta mfumo wa maji taka ulishaenda likizo ya kudumu na choo bado kinatumika. Hilo bakuli unakuta...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Salama wakuu. Heshima kwenu. Lipo tatizo ambalo linawakuta baadhi ya wanawake ambapo hutokwa na damu mfululizo siku kadhaa mara baada ya kufanya tendo la ndoa. Damu hii inakuwa kama ile...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Jana nilishindwa kuendelea kujibu maswali kwenye uzi wangu niliouandika ghafra tu baada ya kubanwa na maumivu makali ya tumbo la kuharisha(diarrhea ) na hii ni baada ya kugundua kwamba nilikunywa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
salam kwenu wana jf. wakuu kama kuna anayejua hiyo tiba naomba anisaidie ,au aliyewahi kupona tatizo kama hili la kutokusikia harufu naomba mwongozo wa tiba hili tatizo nimezaliwa nalo ,kwani...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom