Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

HUTOKANA NA MIKAO MIBAYA/POOR POSTURE Mara nyingi ukikaa muda mrefu kutumia computer huwa tunapata maumivu ya misuli ya shingo na mgongo. Mikao mibaya husababisha tension kwenye misuli ya shingo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
1. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, angalau siku tatu kwa wiki, ikiwezekana on alternate days. 2. Tumia ovulation prediction kit, hiki ni kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati hasa mwanamke...
12 Reactions
22 Replies
191K Views
Habarini. Nina Insomnia - hali ya kukosa usingizi. Ni wapi naweza pata hivi vidonge au kitu cha aina hio? Shukran.
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wana JF Nina mdogo wangu anakumbwa na majipu kila wakati tumempeleka hospitali akapewa dawa ambazo kwa maezo ya muuguzi ni kwaajili ya kukausha na kuzuia kutojirudia tena lakini bado...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Amani iwe nanyi! Niende moja kwa moja kuelezea ugonjwa wenyewe, Wandugu kuna rafiki yangu wa kike ni rafiki yangu wa mda mrefu, mwaka 2007 akiwa shule kidato cha pili alipatwa na ugojwa ambao...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Hallo JF Dr. Naomba msaada kwa madoctor wataalam wa afya. Mwanangu wa Kike Ana umri wa Miezi mitatu na siku 7, kuna baadhi ya siku huwa anapata Choo laini chenye rangi ya kijani ila sio pure...
0 Reactions
5 Replies
18K Views
Nilinunua line ya tigo ya chuo juzi na kuisajili kwaajili ya internet tuu, niliambiwa kuwa ukiweka 2000 unapata 4gb kwa wiki, kweli baada ya kuikamilisha menu ilikuwa hyvyo na niliunga, sasa leo...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Jamani nimekua nikijiuliza sana hiki kitu mwanamke kama ana ingiliwa kila siku kimwili inaweza kupolekea yeye kukonda yani mwili kupungua uzito
5 Reactions
49 Replies
7K Views
Nina tatzo la kichemba juu ya tumbo wasukuma wanasema (kagembe)panauma sana mda mwingne mpka nyuma ya mgongo pia choo kinakuwa kigumu sana tumbo kujaa ges bila sababu hasa mida ya jion, nimewahi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni watoto wa ndugu,baba zao wamezaliwa baba na mama mmoja,walikuwa wanafanya yao yakatokea hayo yaliyotokea. Tunaambiwa ndugu wakioana kuna uwezekano mkubwa wakazaa mtoto ambaye ni taahira,ili...
1 Reactions
143 Replies
15K Views
Nimezunguka mitaa ya fb kuna kitu imenishangaza sana baada ya kuona tangazo na mfano wake. Nikaseme sio hiyana ngoja niulize wana wote wenye ujuzi wa hii mambo. Swali la mwisho kwa wale wa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Rhesus Factor is an antigen that exists on the surface of red blood cells in most people (about 85% of humans). It is also referred to as Rh Factor. People who have the Rh have “positive” (+)...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wana Jamii<br>Kuna hili tatizo la wanawake kuchanwa wakati wa kujifungua ili kuongeza njia mtoto apite vizuri na baada ya kujifungua mama hushonwa, Sasa huwa inatokea kuwa...
0 Reactions
8 Replies
33K Views
kichwa cha habari cha husika. nimeamua kurudi tena, kila mwenye sikio na asikie, kila mwenye macho aende hospital akajionee mambo yanayo tokea kwa waathilika walivyo kosa matumaini na wanavyo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari zenu wakongwe..!? Kuna hii hali ambayo huwa inanitokea mara kwa mara,yaani huwa inanikera ile mbaya..! Yaani kuna wakati nikiwa napumua huwa nahisi hewa inataka kupitia kwenye masikio,yaani...
0 Reactions
3 Replies
982 Views
JE UNAPATA DALILI HIZI 1.Maumivu makali eneo la kalio 2.Maumivu makali eneo la mgongo kushuka chini mpaka kwenye vidole vya mguu 3.Ganzi sehemu ya paja,miguuni, vidoleni 4.Baridi au miguu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimeamua kuiweka hii thread huku kwa faida ya wote maana huku panatembelewa na wengi. Mara nyingi utasikia watu wanasema nimeahirisha kunywa dawa maana asubuhi nilikunywa maziwa. Je, ni kweli...
1 Reactions
12 Replies
7K Views
Am Ali Abdi, aged 26yrs old. Nimekua na shida ya korodani moja ya upande wa (right) Kwa kipindi kirefu sasa. Kama ni ngono bila kinga, niliwahi kufanya Mwaka wa 2012 ambapo nilipata ugonjwa wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
UGONJWA WA DENGUE NI MOJA KATI YA MAGONJWA HATARI AMBAPO IMETAJWA KUWA WATU 12000 WAMEGUNDULIKA NA UGONJWA HUO KUANZIA MWENZI JANUARI MPKA MWENZI WA TANO HUKU JIJI LA DAR ES SALAAM LIKIONGOZA KWA...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Baada ya kuzaliwa mdogo wangu alionekana ana tatizo la korodani kuto kushuka katika eneo lake (scrotam) na kubakia kwa juu tumboni yaani hazishikiki..., Tulichelewa kufanya maamuzi ya kumuwahisha...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Back
Top Bottom