Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Ndugu dr, naomba msaada mke wangu bsdo mwezimmoja kujifungua ila ameanza kukooa kooa na pia tumbo hua linamuuma. Hi ni kwasababu gani na dawa yake ni ipi,
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za majukumu! Mm Nina shida ya lips zangu zimekuwa red (mouth ulcers?) kutokana na kuishi sehemu ambayo ni kame kwa kipindi Cha muda mrefu takribani miez mitano hvyo kupelekea kukosa kula...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wana Jf Nime bahatika kupata mtoto wakiume ametimiza miezi miwili sasa...tatizo nikwamba hapata choo leo ni siku ya sita Je tatizo ni nini au kuna njia yoyote yakumsaidia apate choo?
0 Reactions
3 Replies
970 Views
Husika na kichwa na habari hapo juu. Mimi ni kijana 26 yrs, Mwenye afya nzuri tangu nikiwa mdogo sijawahi kusumbuliwa na matatizo makubwa ya kiafya. Lakini tangu miaka miwili nyuma nimeanza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu? Naombeni ushauri nilikuwa naumwa na typhoid na vidonda vya tumbo kwa muda wa kama wiki 2 hivi na sasa hivi bado nipo kwenye dozi ila cha kushangaza toka Jana naona miguu inavimba na...
0 Reactions
5 Replies
954 Views
Japo sijawahi kushauriwa na daktari kwamba dawa hii ukimeza usinywe maziwa, lakini nimelelewa nikiaminishwa hivyo kwamba dawa na maziwa fresh haviendani. Sababu kuu ni kupunguza nguvu ya dawa. Je...
1 Reactions
5 Replies
20K Views
Naenda kwenye maada Eti jamii ya hizi dawa kikawaida unatakiwa kufunua na kumimina unga wake au unameza nzima kama ilivyo? Nmeuliza kwasababu wengine wanakupa maelezo kua usifunue umeze zilivyo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wandugu habari zenu. Nina tatizo sijajua ni allergy au ni nini, siwezi kushia vitu vya baridi au kunywa, mfano maji, soda etc...Hata maji baridi kuogea nashindwa. Ikitokea huwa nakuwa nawashwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kuuliza kama kuna uhusiano wowote kati ya acid reflux na matezi kuvimba chini ya mataya (submandibular lymph nodes)? Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la acid reflux kwa kipindi cha miezi 5...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Nna tatzo la meno ya mbele yameoza so daktari aliniambia tofauti na kuyatoa ni bora kuweka crown,so nahitaji kufahamu kiundani zaidi kuhusu hyo crown inawekwaje faida zake madhara yake na gharama...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Wakuu mke wangu anatapika tapika nini dawa ya hii kitu..? She has pregnancy not more than 2 months
1 Reactions
21 Replies
6K Views
JINSI VYAKULA TULAVYO NDIVYO VINAVYO TUMALIZA TARATIBU. LEO napenda kuchukua fursa hii kueleza kwa mapana na marefu suala la vyakula na namna ambavyo vimekuwa chanzo kikuu cha maradhi sugu...
3 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu habari, nahitaji kuonana Na dr bingwa wa wanawake kuhusu mambo ya uzazi, mwenye kujua wapi anapatikana, Mawasiliano yake au hospital gani tafadhalini msaada kwenu.
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Naomba msaada jamani mke wangu ana mimba ya miezi miwili na wiki moja ambayo ndiyo mara ya kwanza kushika mimba lkn leo ameona dalili ya hedhi kutoka baada chupi yake kuonesha ina damu kidogo lkn...
0 Reactions
15 Replies
12K Views
Akikaribia siku zake tumbo linamuuma kwa chini upande wa kushoto na akimaliza hedhi bado linaendelea mpaka wiki inafika. Je, nini itakuwa tatizo wataalam?
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kujua hii taarifa ya kupunguza sifa za kudahili wanafunzi watakaopenda kusomea uuguzi na ukunga hii imekaaje? Sidhani kama shida ni vigezo kutokwenda kusoma hiyo fan, japo inawezekana.
0 Reactions
0 Replies
858 Views
Mwanangu huwa anasumbuliwa sana na tumbo wakati hali ya hewa inapo badilika mawingu yanapo finga huwa analia sana mpaka umchemshie mizizi ya mndula atakapo kunywa tu ile hali inapotea sijajua...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Wazima? mimi staki kupoteza muda kabisaaa niwape mkasa ulionikumba jana. picha linaanza mwezi uliopita nimeenda zangu hospitali ya rufaa fulani,katika pita pita za macho bwaaaa(si unajua cc...
16 Reactions
64 Replies
11K Views
Mfano nme sex na mpenz wang ambaye aliingia hedhi tarehe 2/4/2019 ambaye hedhi ilikatika tarehe 8/4/2019 nikasex nae tarehe 22 /04 /2019 lakn siku zake huwa zinabadilika badilika hv hapo anaweza...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Back
Top Bottom