Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu habar za jioni hii Polen na mfungo, wa poleni na harakati za familia na poleni kwa safar zote za maisha Lengo la kufungua uzi huu ni juu ya tatizo la meno pindi mtu anaposugua kitu kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wakuu kutokana na kukithiri kwa joto jijini dar nimekuwa nikioga maji ya baridi ambayo nimewekea mabonge ya barafu je hii inaweza kuwa na madhara kwny mwili wangu? wataalam msaada
0 Reactions
5 Replies
4K Views
nakaribisha maswali yote kuhusu tohara ya mwanaume. Tohara ya mwanaume ya kitaalamu ni upasuaji mdogo wa kukata na kuondoa ngozi inayo funika kichwa cha uume. kazi hii hufanywa na wataalam wa...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari! Naomba kujifunza, wewe binti/mwanamke unatumia dawa gani kuzuia mimba pindi unapofanya tendo la ndoa bila kinga? Kuna wale wanaotumia vidonge vya Asprin au Metronidazole kabla ya tendo...
1 Reactions
33 Replies
9K Views
Naomba ufafanuzi kuna maeneo huwezi kupata kazi au kujiunga mpaka uwe bikra... Mfano watawa wa RC hiyo ndio sifa kuu ya kujiunga nao,je hizo bikra wanapima kwa style gani? Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba radhi kwanza maana hata mimi nina mama angu aliye nizaa. Heshima kwa wanawake wote. Naomba kujua huu utofauti wa matiti baada ya mwanamke kuzaa. Kuna wengine baada ya kuzaa matiti yanakua...
2 Reactions
78 Replies
12K Views
Kwa mwenye anafahamu vema khsu ugonjwa wa homa ya ini (hepatitis B) Maana,Dalili,Athari,Kinga,Tiba
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Habari wakuu kuna ndugu yangu anatatizo la kutotoka mkojo ipasavyo anapokwenda kukojoa,mkojo wake unakuwa hauna nguvu unapotoka hata akibanwa vipi na mkojo akenda kukojoa haauna speed kabisa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ngoja tuongelee hili swala kidogo. Huu ni uoga wa kujumuika na watu kwa sababu ya kuogopa kwamba unaweza kufanya jambo la kukuabisha au kuogopa kwamba watu wengine watakuonaje. Hapa haihusu watu...
4 Reactions
27 Replies
9K Views
Wakuu habari, Naomba Kuuliza: Hivi kwanini Hospital nyingi kubwa kama TMJ,Rabininsia,Masana nk no nk Huwa wanapenda Kupima malaria kwa Kutumia kipimo cha MRDT? Kile kinachotoa majibu baada ya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari! Naombeni kujua nini kinasababisha kichomi na Tiba yake ikoje?...mwenzangu anaumwa na kichomi chini ya ziwa na usiku anapata shida kulala,naombeni mawazo yenu.
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Profesa Janabi’s Diet leo Katika Kipindi cha Clouds 360 Tarehe 25,April. Mkurugenzi wa Jakaya Kikwete Heart Institute. Ametoa njia rahisi ya Kupungua na ukaona matokeo ndani ya Mwezi mmoja tu...
8 Reactions
74 Replies
52K Views
Mtu akidondoka bafuni kumpeleka hospitali mapafu yanajaa damu je inawezekana, ni kweli badae akienda hospitali anafariki. Hii hutokea au ni nadra sana.
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Habari ya asubuhi ndugu zangu Niende kwenye mada moja kwa moja Ilianza mwaka juzi mida ya saa 10 usiku nilishtuka tumbo lilikua linanyonga sana huku haja kubwa ikawa inauma.nlipoenda uani...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Naomba kwa anae tambua Maradhi haya anidadavulie tafadhali, nahisi kuna mtu aweza kuwa maradhi haya kwa pamoja. Msaada wenu tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
889 Views
Ndugu wana jamvi poleni na mihangaiko. Jamaa yangu ana tatizo limemuanza yapata mwezi sasa kichwa cha uume kinakuwa kimebabuka yaani kinakuwa na vimelea vya kama kidonda kinachopona yaani kinakuwa...
1 Reactions
51 Replies
7K Views
Kwanza nina tatizo lankuwashwa mwili mzima na natoka vipele vidogovidog hasa pale ninapotoka kuoga je tiba ni ipi na lingine kuhusu koo yaan nikimeza chakula nasikia kitu kinapanda na kushuka je...
2 Reactions
55 Replies
4K Views
Siku hizi ukifungua mitandao ya kijamii utakutana na matangazo mengi ya kurefusha uume, mara kuongeza kiu ya tenda la ndoa au kutibu ukosefu wa nguvu za kiume. Hawa watu wanakuja kwa ushawishi...
4 Reactions
9 Replies
4K Views
Ndugu wana jamvi naombeni msaada wenu wa mawazo kwani rafiki yangu ana tatizo la kichwa cha uume wake umekuwa umebabuka kama kidonda kinachoelekea kupona na limempata yapata mwezi sasa tatizo...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
MAMBO YANAYOFANYA MTU KUNENEPEANA.. Zipo sababu nyingi za kusababisha unene ila leo naelezea sababu hizi tu na pia tutashauri vyakula vinavyosaidia kutatua tatizo hili la unene. Ungana nami...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom