Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kwenu wataalam wa mambo ya afya! Hivi inachukua kipindi gani toka siku ya kupata maambukizi ya VVU mpaka kuanza kuonyesha baadhi ya dalili kama kukohoa sana, kupungua uzito mpaka kuwa na magonjwa...
4 Reactions
24 Replies
188K Views
Wana JF nina group la damu AB(-ve).Je nikiolewa au kuoa mtu mwenye group zingine A,B,O,AB lakini ziwe positive kuna madhara gani?Naombeni weledi mnipe shule na kwa faida ya wote.Huwa tunaoa na...
1 Reactions
22 Replies
22K Views
Habar za asubuhi wakuu. Nimekuja kwenu ndungu zangu wa jf naona kinamna moja au nyingne naweza nikapata msaada ata wa kimawazo najua jf ni wigo mpana umu kuna watu wa kila aina ivyo naweza nikapa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hakuna binadamu asiyefahamu nini maan ya mapenzi na kama wapo basi ni wachach sana na wanaweza kuwa hawafahamu kw maneno lakini kivitendo wanakuwa wanafahamu aidha kwa kuona, kusikia na hata kwa...
0 Reactions
14 Replies
13K Views
1: Chanzo chake 2: Kinga yake 3: Tinlva yake Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Naombeni nijuzwe ni nini hasa mnakifanya kwa mzazi ambaye amejifungua kwa operesheni yaani ni kitu gani mnakiweka ambacho kinazuia ujauzito kuingia sikubaliani kabisa just ni bahati tu eti mimba...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu zangu salamu!! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu ,baba yangu mzazi anaugua ugonjwa ambao umemsumbua kwa takribani miaka miwili sasa,kwanza mguu mmoja unakufa ganzi kuanzia kwenye paja...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Japo ni swali la kijinga ila naomba kujua.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Naomba msada jamani shida yangu ni kipungukiwa damu mwilini shida nini haswa inayo pelekea damu kushuka na chembesani kushuka mwilini
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau, mimi ni member mpya wa jamii forums. Naomba msaada wa dawa zinazotibu; Presha ya Jicho 1. Je dawa gani ni nzuri 2. Mtumiaji anatumia kwa muda gani? 3. Matokeo yana anza kuonekana...
1 Reactions
14 Replies
13K Views
Habari wataalam na wazazi mliomo humu, binti yangu wa mwaka mmoja kachemka ghafla jioni hii.Niko remote area hakuna hata hispital..nifanye ili kump huduma ya kwanza?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninafangasi katika vidole vya miguu hasa nikivaa viatu mara kwa mara zinatokeza, pia nina m-ba katikati ya mapaja na baadhi ya maeneo mengine ya mwili. Nimetafuta dawa ktk maduka ya kawaida na...
0 Reactions
17 Replies
16K Views
Naombeni msaada! Kuna madhara gani yanayoweza kusababishwa na kunyoa nywele zilizopo chini ya kitofu cha mwanadam au nywele za kwenye Kifua kuyanyoa kuna madhara gani yanayoweza kumpata binadam...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa natumai hapa ni eneo husika kabisa kwa hili tatizo lililomkuta mpenzi wangu. Mpenzi wangu ana ujauzito wa miezi minne na jana ndio alianza kwenda kliniki. Lakini baada ta...
5 Reactions
45 Replies
6K Views
Jamani msaada maana ishakuwa kero,nikishaoga tu Nawashwa Sana mgongoni na kichwani,nachomwa chomwa , tatizo linaweza likawa nini Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
15 Replies
4K Views
JF doctors, kuna raia amekuwa akitokwa na vidonda kwenye kiwiko cha mkono ( mikono yote miwili) na sehemu za mikunjo miguunu ( sehemu ya nyuma). Alipokwenda hospital DK. alisena ni allergy na...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Hi JF Members kama nilivyo eleza hapo kwa uzoefu wa muda mrefu sasa kila nilipokuwa natumia diclofenac kwa ajili ya kupunguza maumivu hasa usiku imekuwa inatokea asubuhi blood sugar...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwanangu anamiaka mitatu kasoro anasumbuliwa na hayo matatizo toka ana mwaka na nusu, ametumia sana antibiotics zinaisha nakurudi, sasa anatakiwa atolewe kwa ushauri wa daktari, Naomba msaada wa...
1 Reactions
29 Replies
13K Views
Wadau habarini za shughuli, kwa anaye fahamu dawa ya choo chenye utelezi kama kamasi anisaidie please. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
20K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…