Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari za mida hii wanajf. Ninashida nahitaji msaada wa kitaalam. Dada yangu akipata ujauzito tuu miezi ya mwanzo anatapika sana na kuishiwa nguvu sana. Je kuna utaalamu au dawa yoyote ya kuzuia...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Lengo la JamiiForums ni kuelimisha, kuhabarisha, kuburudisha, kuhamasisha, kuliwaza, kutatua kero mbalimbali katika jamii ambazo zina mfanano na malengo yote niliyo yataja Hivyo basi sote kwa...
4 Reactions
102 Replies
6K Views
Ndugu zangu kama mada inavyojieleza hapo juu, Mi nimeoa nina watoto pia, kama mwezi sasa tokea mke wangu amesafiri kwenda kusafiri kijijini nimekuwa napiga punyeto masaa24 /7 yote hiyo ni sababu...
5 Reactions
70 Replies
8K Views
Habari wakuu. Nimekuwa nikisumbuliwa na hili tatizo yapata mwaka sasa bila mafanikio, ulimi wangu umekuwa unalika na kupona wenyewe upande mmoja, kuna kipindi nahisi kama kuna kitu mafano wa...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Hello Wakuu!!Hii habari nimeiona katika social media moja.Natamani kujua kama ipo na ukweli kiasi gani!Mpaka hivi sasa huyo Bwana wa kutoka hii nyumba yupo wapi na anaendeleaje? Katika soma yangu...
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Naombeni kufahamu Dalili za mwanzo za Maambukizi VVU Maana nimejaribu Kutafuta humu nilizopata wengi wamezielezea kua ni za 90'S huko so mpya zipoje kama zipo
0 Reactions
9 Replies
815 Views
Nilikuwa muathilka wa kufanya punyeto mpaka uume wangu ni mdogo kuliko kawaida kuna uwezekano wa uume kurudi katika hali yake ya kawaida?naomba msaada Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Ndio, Mimi Nimethibitisha "Limao Kwangu Ni Sumu." Nasisitiza "Kwangu Imekuwa Sumu" Nikitumia Hata Robo Ya Kijiko Cha Maji Ya Limao, Baada Ya Masaa Kadhaa Kichwa Kinanibana Karibia Kufa...
1 Reactions
38 Replies
16K Views
Ndugu zangu nasumbuliwa na hedhi ya muda murefu, nimejifungua miezi 6 iliyopita. Sasa hedhi ilianza kutoka takribani wiki 2 zilizopita na hadi sasa inaendelea. Nimeenda hospital nikapewa vidonge...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sehemu kubwa ya size ya mwili wako ni matokeo ya maisha unayoishi, vinywaji na vyakula unavyokula. Hapa mjini vyakula vyenye afya mwilini ni bei rahisi kuliko vyakula vinavyoharibu mwili. Mboga...
5 Reactions
3 Replies
2K Views
Habar wana jf, msaada tafadhali Mm ni member mpya kwenye JF, tangu nifungue account ya jf ni kama siku tano hivi zimepita. Nikaambiwa nisubiri admin wa jf approve account yangu, ila juzi...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Je siku zake za kupata mimba ni kuanzia tarehe ipi?mzunguko wake ni siku 28 na humaliza siku zake kila baada ya siku 3-4. Nimejaribu kupekua kwenye app tofauti tofauti naona wananichanganya tu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapendwa sikio kuuma bila kutoa usaha, na kuwa na dalili za uvimbe kwa ndani kwa chini. Mshikaji kaenda kwa wataalamu wa ENT mara nyingi na haisaidii. Kaambiwa mpaka atumie mafuta ya kuku...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu Pole na shughuli, me najuaga mimba inachukuaga wiki 40, mpaka mwanamke ajifungue... Je inawezekana kwa mwanamke mwenye mimba ya wiki 36-37, akajifungua, na mtoto akawa na afya njema...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Habari ya jumapili wadau. Nina asali mbichi kiasi cha lita moja. Sasa nataka nichanganye na unga wa mdalasini. Je ni kiasi gani cha unga wa mdalasini natakiwa kuweka kwemye asali lita moja...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Wakuu habarini za usiku! Wanajukwaa naombeni msaada wenu, nina mtoto wa miei 9 ila siku ya leo amekuwa na matatizo ya kutapika na kuharisha na joto la mwili limekuwa la kawaida tu. Alhamisi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu bandugu, naombeni kujuzwa juu ya mild normochromic anaemia ni ugonjwa? Au nin nn
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi. Niliharibikiwa na ujauzito nikaenda hospital wakanipa misoprostol nkatumia lakini nikaanza kubleed kwa siku 25 mfululizo nkabadilisha hospital wakanipga ultrasound wakanambia hakuna shida na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari ya sahv wananajamvi ? kama kichwa cha habari kinavyosema mimi ni kijana nasumbuliwa sana na maumivu ya kiuno mda mchache sana kinakuwa akiumi naomba mawazo yenu tafadhali wadau
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Back
Top Bottom