Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wanawake walio na umri wa miaka 30 walio na historia katika familia ya jamaa zao kuugua saratani ya matiti, wanapaswa kufanyiwa ukaguzi wa kila mwaka kubaini mapema iwapo wanaugua ugonjwa huo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Upimaji wa DNA ni bei gani kwa hapa nchini kwetu na njia zipi za kufuta ili kupima DNA?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kufahamu damu kuzidi kiwango dalili zake na tiba yake Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
3K Views
habari wana jamii... Naomba msaada jinsi ya kupata kibari cha kutoa tiba mbadala au taratibu za kufuata ili kufungua helbal clinic........pia naomba mwenye website ya baraza la tiba asili na tiba...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
MADHARA YA KUTUMIA VIDONGE VYA UZAZI WA MPANGO Serikali huwa haiwaambii ukweli wanawake hasa pale matangazo kuhusu uzazi wa mpango yanaposhika kasi kwenye Tv na Radio Ili kuepuka kupata...
4 Reactions
151 Replies
33K Views
Habari Dr na wanajamii forum mimi ninatatizo la jicho la kushoto linaniuma sana mpaka na kichwa kinauma tena upande wa jicho LA kushoto nilikwenda kwa Dr mmoja akanipa miwani ila bado napata...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ndugu zangu naomba msaada wenu kitu gani kinapelekea mjamzito wa miezi tisa tumbo kupungua ghafla na kuwa dogo???? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari zenu. nauliza; hivi nini kinasababisha hedhi kutoka kidogo sana.? Tiba take nini? madhara yake ni nini?
0 Reactions
67 Replies
49K Views
Ndugu wana jf, habarini za kutwa nzima! kwanza kabisa naomba niwapongeze kwa majukumu ya uelimishaji humu jamvini. ama baada ya salam naomba msaada wako wewe mdau wa jamvi hili namna n'takavyoweza...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari za Mda huu wakuu wote humu ndani, Ni matarajio yangu weekend inaenda swadacta na mapumziko yapo sawa sawia Naomba msaada juu ya swala lililo mtokea Shemeji yangu (Mke wa kaka yangu)...
5 Reactions
55 Replies
12K Views
Je mtoto wa miaka hiyo anaweza kuelezea hali mbali mbali anazosikia, kuziona au kuzihisi nazo zikawa ni halisi na zikahitaji kufanyiwa kazi kulingana na anavyoelezea? Msaada wenu waungwana Sent...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarin wana jf naombeni nisaidiwe anaejua dawa ya hili tatizo.... Nina tatizo hili mwezi sasa unaisha napata shida sana ktk utokaji wa haja kubwa yani choo huwa kigumu sana nilipoenda hosptal...
0 Reactions
12 Replies
13K Views
Kampuni ya Whitedent wanadai wameweka "active ingredient 0.76% of sodium monofluorophosphate" katika dawa yao ambapo ni tofauti na "Colgate- ambayo wao wameweka 1.1% ya sodium monofluorophosphate...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari za mda huu ndugu zangu. Bila kupoteza mda naomba niende moja kwa moja kwenye maada, ni hivi wiki tatu zimepita nilinyoa zile nywele zinazozunguka haja kubwa as a matter of hygiene, naomba...
2 Reactions
23 Replies
5K Views
Mada tajwa Baba yangu ana tatizo la kutosikia lililomtokea ghafla mwaka 1996 nakupata matibabu hadi kuishia Bugando kutokana na kipato chake kidogo hakufanikiwa kupona na Madaktari walimruhusu...
0 Reactions
0 Replies
911 Views
HabariI wanajamvi naombenI kujua utaratibu wa kupata bima ya afya kwa ambae sio muajiriwa asanteni. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wanabodi, Kichwa cha habari chahusika. Nina binti yangu ana miaka kumi sasa lakini anajikojolea sana usiku akilala. Sometimes huwa namchapa sana viboko ili aache lakini haijasaidia, sasa...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Naomba kuuliza, hivi kwa mtu anaevuta sigara akiwa karibu na wewe ule moshi wa sigara unaweza kukuathiri wewe mtu wa pembeni yake? Kwani hawa wavutaji wa sigara huwa hawana staha hata mbele za...
1 Reactions
77 Replies
10K Views
Nauliza kwasababu anaumwa tezi mara kwa mara na anahemea juu kama kuna kitu kina mkaba na sauti ni ya shida kusikika Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
802 Views
Back
Top Bottom