Nina tatizo zaidi ya mwaka sasa huwa nadondoka na kukakamaa na povu likinitoka kama ninavyoelezewa na ndugu zangu.
Kama kuna anayejua dawa ya haya maradhi naomba anisaidie
Wataalam,
Nina mwanya kwenye taya la chini. Mwanzo niliona kama issue ya kawaida tu coz ilikua ngumu mtu kunotice, mwanya ulikua mdogo sana. But kadiri siku zinavoenda naona unazidi kupanuka...
Brothers n' Sisters!
Lolypop napata maumivu makali upande wa kulia chini kidogo ya mbavu, ambayo yanakwenda mpaka mgongoni. Hali hii hunitokea baada ya kula kama nimekaa muda mrefu bila kula.
Je...
MARADHI YANAYOTIBU HABBA SODAMatumizi Ya Kunufaisha Ya Habbat Sawdaa-1 (haba Soda Chembe Nyeusi
Imefasiriwa na Iliyasa bint Maulaanah
Al-Bukhaariy anasimulia kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya...
Wadau naomba ushauli wenu au anayejua tatizo ili ni nini au tiba yake ni ipi.
Mwaka 2012 nikiwa kidato cha tano apo Singida nilipata tatizo la kuvimba joints ( za vidole vya mikono, kiwiko, bega...
Za jioni wadau,
Mdogo wangu akiwa na miaka 10 alitemewa mate machoni na nyoka flani mweusi ambaye sikujua ni aina gani ya nyoka mwaka 1999, cha kushangaza macho ya mdogo wangu yalivimba tu na...
Nasikia vimaumivu kwa mbaali sehemu ya moyo kwa kuchoma choma unapodunda na hata muda mwingine kwa nyuma yake karibu na bega panauma piaa..kuna muda moyounaweza ukauma wenyewe kama unachoma...
```Tafadhali chukua walau dk 2 kusoma hii:
1. Chukulia ni muda wa saa 1:25 jioni unarudi nyumbani peke yako, baada ya kazi ngumu zusizo za kawaida ofisini.
2. Umechoka sana, una hasira na...
Habari zenu, poleni na majukumu ya siku!
Ndugu zangu ni muda wa miezi mitatu sasa nikiwa katika hali ya sintofahamu juu ya afya yangu na nimekuwa katika depression kubwa sana..
Mimi ni...
Usionee so sema kweli.
Ni hatari magonjwa ya zinaa yanasumbua sana wanaume wengi yametutesa wanawake vile vile. Yapo magonjwa mengi ya zinaa kama vile:
Kisonono
Gono
Kaswende
Pangusa
Haya...
Habari, nimepatwa na tatizo nawashwa uume kwa wiki nne sasa na nimeenda pharmacy kupima anasema sina tatizo lolote, chanzo ni kuwa huwa naishi mbali na mke siku alikuja kunitembelea nilikaa nae...
Habari wapendwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kusikia Kama kitu kigumu kwenye koo na makohozi mazito ambayo hayatoki ambapo hata nikila chakula kinarudi nimetembea mahospitalini...
Habari wana JF? Hivi karibuni nimekuwa nikipata maumivu kwenye korodani kupanda hadi maeneo ya kibofu chini kila nikifanya mazoezi ya kukimbia na hapo awali haijawahi kunitokea hali kama hii, je...
Nina tatizo la kuwa na kiu ya maji mara kwa mara hata nikinywa maji baada ya muda mfupi nasikia kiu tena.
Pia asubuhi nikihamka nasikia kiu sijui ni Dalili za nini mwenye ufahamu anisadie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.