Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wanaojua mahali naweza nikanunua sildenafil citrate (viagra) hapa Dar- es- salaam,naomba mnielekeze.tafadhali mnitajie bei ya tembe moja.It will be better if i also get refferals-yaani kama...
0 Reactions
25 Replies
14K Views
kila kitu chenye mwanga i.e simu,tv,taa n.k nikiviangalia nahisi maumivu makali machoni kama misul ya macho inakaza vile msaada wenu wana jf...
0 Reactions
1 Replies
814 Views
Figo zina majukumu muhimu sana katika mwili wa binadamu- kwanza inaondoa sumu kutoka mwili wa binadamu na kusafisha damu na kutoa sumu zote. Kama figo haifanyi kazi vizuri, basi hii inaweza...
19 Reactions
7 Replies
54K Views
Ni tatizo linalo gharimu maisha ya watu ni vipi mtu anaweza jikinga na tatizo hilo Je gharama za vipimo vya figo ni rafiki kwa mtu wa kawaida endapo mtu atahitaji kufanya kidney checkup, vyakula...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
RM, May his Soul rest in peace. WanaJF poleni kwa msiba. Kama ilivyo ada, na tunavyofundishwa, kutokea kwa msiba ni nafasi yetu sisi wazima kuji analyse na kuji assess kiroho na kiafya. Kufuatia...
9 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wana JF. Nini kinasababisha mwanamke kuumia hasa mguu wa kushoto mara baada ya kumaliza tendo la ndoa. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi huwa napata sana ilo tatizo la moyo kwenda mbio sana sana wakati wa usiku pia nikistuka pia moyo unaenda kasi sana mpaka inanibidi...
1 Reactions
23 Replies
9K Views
SECONDARY INFERTILITY: hii ni aina ya ugumba ambao hutokea baada ya mtu kushika mimba moja au zaidi. Imekuwa maarufu kuliko ugumba wa kushindwa kushika mimba kabisa. Huu unasababishwa na mambo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama nilivyoandika hapo juu mdogo wangu ameugua ugojwa wa ngozi akiwa shule. Tumejaribu kuuguza na kumpeleka KCMC na ndipo wakachukua kipande cha nyama ipi kujua tatizo. Matokeo yalipotoka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
“Why HIV cure and cancer?” asked Nobel Laureate Professor Françoise Barré-Sinoussi at a meeting in Paris last month. Renowned for co-discovering the HI virus in 1983, she said that the two had...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
*SABABU ZA MAGOJWA YA FIGO. JIHADHARI NA ONYEKA!.* *JINSI YA KUONDOKANA NA JANGA HATARI LA UGONJWA WA FIGO:* *1.Usichelewe kwenda HAJA.* Kutunza mkojo kweye kibofu...
2 Reactions
2 Replies
6K Views
*SABABU ZA MAGOJWA YA FIGO. JIHADHARI NA ONYEKA!.* Raia wa Ghana wanazidi kufa kwa matokeo ya ugonjwa wa Figo. *JINSI YA KUONDOKANA NA JANGA HATARI LA UGONJWA WA FIGO:*...
3 Reactions
10 Replies
10K Views
Jamani mimi nina tatizo naomba msaada tafadhali Tatizo langu ni kwamba nahisi kama muwasho au kama vile kuna wadudu wadogo sana mithili ya utitiri(kwa kuku) wanatambaa juu ya ngozi lakini si...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani daktari gani Dar anaweza kumsaidia ndugu yangu ambaye ni mvulana miaka 19 mwaka wa pili ana kijipu kinaota ndani ya pua na kinamletea maumivu baada ya muda kinatoweka na baada ya miezi...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
HIVI NI VYAKULA VINAVYOFAA KULIWA KILA SIKU YA MAISHA YA MWANADAMU. ''LET FOOD BE THY MEDICINE AND MEDICINE BE THY FOOD''
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Habari zenu waungwana Leo naomba tujadiliane kuhusu ugonjwa mkubwa wa mawazo (Stress disease) ambao naamini 99% au 100% ya watu wote duniani wanakumbwa na ugonjwa huu ambao haujulikani au...
0 Reactions
1 Replies
841 Views
Jamani naombeni msaada wa mke wangu kusumbuliwa na maumivu makali ya mshono, yanayokuja na kuondoka leo yamezidi alijifungua kwa operation miezi minne iliyopita anaumia sana mpaka namuonea huruma...
0 Reactions
13 Replies
19K Views
Wakuu nasumbuliwa na macho hasa jicho moja la upande wa kushoto..yan likianza kuwasha linawasha kweli kweli Najitahid kujizuia kulifikicha ila nashindwa matokeo yake nayafikicha mpaka nahisi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Endeleeni kunywa
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Inasemwa kuwa “wewe ni kile unachokula” kwa kumaanisha kuwa mwonekano wetu na afya ya mwili na akili unajengwa na chakula tunachokula. Madhara ya chakula chetu tunachotumia yako pia katika ngozi...
5 Reactions
35 Replies
8K Views
Back
Top Bottom