Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Salaam, naomba msaada Huwa nafanya mazoezi ya kukimbia, kucheza mpira pamoja na mazoezi mengine lakini niliacha kwa muda wa wiki tatu au nne nafikiri, Jana nilienda uwanjani nikafanya mazoezi ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Figo hufanya kazi muhimu kwenye miili yetu kama kuondoa sumu, kuchuja damu na kufyonza madini. Uharibifu wa figo unaweza usigundulike kwa miaka mingi kwa maana figo huweza kufanya kazi hata kwa...
12 Reactions
9 Replies
6K Views
Hizi dawa ni za nn Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu naombeni kujua faida za asali katika mwili wa mwanadamu (Kiafya generally) ni zipi? Naipenda sana tu,kwa sababu imeandikwa kwenye Biblia kwamba nile asali ni nzuri kwa afya, lakini sijui...
1 Reactions
11 Replies
9K Views
Naombeni kujuzwa sababu zinazo fanya watu wenye damu group AB kuwa wachache sana duniani tofauti na makundi mengine kama A,B na O? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu, habari za wakati huu. Nimekuja kwenu kuomba msaada wa dawa ya kupunguza kulala. Nalala mapema sana, naweza kulala sa 1, sa 2 au hata sa 12 kama nimewahi kurudi nyumbani. Nahitaji dawa...
1 Reactions
68 Replies
19K Views
Wasalam wadau, Nina tatizo la kuumwa tumbo muda wote iwe nimekula au sijala. Lilianza mwaka 2009,nilipoenda hospital nikafanya kipimo kinaitwa barium meal nikaelezwa nina vidonda vya...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
Kichwa cha habari hapo juu. Ni miaka miwili imepita ,niliwahi kutoa UZI kama hili kwenye ID yangu nyingine, kuomba ushauri kuhusu hili jambo. Mimi siyo mtu wa sketi sana,kwa mwezi naweza...
0 Reactions
70 Replies
11K Views
Habari za wakati huu wapendwa.. Direct to the point.. Me ni kijana rijali kabisa nisiyezidi miaka 25.. So naweza kusema kuwa nimejaaliwa na Mwenyezimungu kuwa na nywele nyingi hasa kichwani na...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Wapenda mimi ni mpya hapa naomba msaada wenu nimeingia period tarehe 7/12 nikapata period tena tarehe 17/12 huo huo yani mwezi mmoja niliingia mara mbili sasa mpaka saiv sijapa period nyengine...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Habar wanajf eti kuna ukweli wowote kuhusu loshen ya vaseline kua inafaa zaidi kutumia sehem zenye joto kama dsm,, na kama hapana naomba mwenye kujua loshen nzur ambayo itanifaa sehem zenye joto...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,mm nasumbuliwa natatizo moja.miaka kama minne zilizopita nilkua napenda kujing'ata lipsi za midomo hii imepelekea lipsi zangu sehemu moja
0 Reactions
3 Replies
1K Views
India bans homework and heavy schoolbags to prevent spinal damage Serikali ya Tanzania waangalie usalama wa watoto wetu kuwakinga na madhara ya uti wa mgongo yanayoweza kusababishwa na ubebaji...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari za usiku, tafadhali naomba ushauri, mwanangu ana miezi nane alizaliwa na damu 16 ila alipimwa tena akiwa na miezi 4 zilikuwa 14 gafla mwezi wa 7 zikawa damu 8 leo kapimwa tena akiwa na...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Samahani naomba kuuliza jambo kuhisiana na tatizo la ngozi,katika siku tano zilizopita nilipata rashes katika tano la kushoto na zinawasha haswa sana sana kipindi cha joto . zikianza kuwasha hadi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani mdogo wangu meno yametoboka sana je, kuna dawa ambayo inaweza kumsaidia bila kung'oa meno Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
963 Views
Kwanini ni muhimu kunywa maji? Miili yetu inaundwa na asilimia 70 ya maji, hivyo ni muhimu kunywa maji ya kutosha ili kuufanya mwili kufanya kazi vyema. Iwapo mwili wako haupati maji ya kutosha...
7 Reactions
11 Replies
26K Views
Habari zenu waungwana.....ishu ipo hivi... Kuna jamaa yangu anakaa Malawi sasa ana demu wake yupo Iringa, jamaa ana muda wa miezi nane sasa hajaonana na mpenzi wake huyo Mkasa ni kwamba, wiki...
0 Reactions
77 Replies
14K Views
wana JF,nina mtoto mmoja anapenda sana staili ya mbuzi kagoma anadai hiyo ndyo inamfikisha but mimi nahofu kuwa stahili hiyo itamharibu au kulegeza kizazi chake maana kitu kinagonga palepale na...
1 Reactions
49 Replies
47K Views
Back
Top Bottom