Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Heshima mbele wana JF Mwanangu wa kike mwenye miezi 10; kitovu chake sikiielewi akiwa na njaa kinakuwa cha kawaida ila akishiba kinakuwa kikubwa. nashindwa kujua kitovu chake ni kikubwa au ni...
0 Reactions
27 Replies
39K Views
Habarini wana jf, Kama Kichwa kinavyojieleza hapo mimi na mpenzi wangu tuna blood group O+ wote sasa linakuja swala lakumtafuta mtoto je hii kitu inawezekana? kwasababu tulijaribu moja mimba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana jf nina mwanangu ana tatizo la kutokwa na vidonda vya homa ya usiku katika mdomo wa juu(mouth upper lip), japo hujitokeza kwa muda ila hujirudia baada ya muda mrefu. Kwa aneyefahamu...
0 Reactions
11 Replies
31K Views
. Kumekuwa na ongezeko kubwa la magonjwa ya mfumo wa mkojo (UTI) na uzazi kwa wanawake, hii inasababishwa na sababu nyingi ikiwemo ya kukosa uelewa sahihi wa kanuni za afya na usafi wa mwili...
4 Reactions
6 Replies
35K Views
Mwezi wa 12 mwaka jana, tulipata taarifa ni mkubwa alianguka akitembea barabarani. Aliwahishwa kwenye hospitali ya wilaya. Hukuweza kusimamia miguu wake wa kulia. Tunashukuru alifanyiwa X-ray...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nasumbuliwa na tatizo la kubanwa msuli kunakoambatana na maumivu makali na hii hutokea nikiwa nimepumzka kitandani au popote ilianza mguu mmoja now Ni miguu Hali hii hunipa maumivu makali Sana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kujua zinapopatikana ? Bei yake kwa box 1? Vitepe vipo vungapi Kwenye box? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
561 Views
Wakuu naomba mnisaidie hapo, mtoto wangu alipatwa na jipu la kwanza wakalitumbua na kumpa dawa, sasa amepata jingne, within 3months, nataka kujua kwa mwenye uelewa na huu ugonjwa, nini chanzo chake?
0 Reactions
20 Replies
47K Views
Habari Mwanangu ana umri wa miezi mitatu na wiki tatu sasa. Nimepatwa wasiwasi kuona jino upande wa kushoto chini (gego). Imezoeleka Watoto kuota meno ya kwanza ambapo vijino vinajitokeza mbele...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Habari wana JF, Nimekutana na hiki kisa kwa mtu anayelalamika ana tatizo la akili. Yeye anasema kuna kipindi anaona mapichapicha ambayo hayaelewielewi. Yanatokea kwa kipindi kifupi tu cha sekunde...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu, Nimeoa mwaka jana mwezi wa 11. Mwezi uliopita nimesex karibu kila siku ila hakushika mimba. Hii imekaaje wakuu?
0 Reactions
4 Replies
842 Views
Afya zaidi (AZ) consultants ni mradi unaojihusisha na kutoa elimu na ushauri wa afya ( magonjwa, dawa, vyakula, urembo na vipodozi) kwa jamii zote za Tanzania na sehemu zingine nje ya Tanzania kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aliingia Period tarehe 4 mwezi wa kumi na mbili mwaka jana, hadi leo Hajaingia, kuna tatizo?
0 Reactions
3 Replies
912 Views
Nahitaji msaada wa haraka Sana Mguu wangu wa kulia Kuna maumivivu nayapata makali sana yalianza siku3 zimepita ila leo usiku sijalala kabisa maumivi yamekuwa makali mno Tena Sana nimeshindwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, ni wiki ya tatu sasa tangu mke wangu aweke vijiti vya uzazi wa mpango, lakini kuanzia tarehe 01/01/2019 amekuwa kwenye mzunguko wa damu kwa mwezi(hedhi) hadi hivi leo na bado...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
KUMEKUWA na ongezeko kubwa la vijana wanosumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume, likichangiwa kwa kiasi kikubwa na msongo wa mawazo, imefahamika. Hayo yamebainishwa na Daktari bingwa wa magonjwa ya...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
waungwana hebu nielewesheni huu ugonjwa huu unaambatana na nani hasaa...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Ni mwezi mmoja na siku kadhaa sasa tangu niambiwe na bp ya kupanda,wakati mwingine nakosa nguvu tu ila wakati mwingine nakuwa na hofu muda wote kila kitu nashtuka,simu ikiita inakuwa shida,nikiwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza njoo nikutumie formula ya tangawizi au matunda kisha ulipie baada ya kupokra njoo whatspp 0712505049
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za jumapili wanajamii Nina mwaka sasa toka nimeona hivyo viuvimbe kwenye mrija wa mkojo nimeende hospitali kama mbili wote na kufanya vipimo kutokana na ushauri wa daktari wamesema sio...
2 Reactions
39 Replies
6K Views
Back
Top Bottom