Habari zenu Wakushi.
Poleni na majukumu na mihangaiko ya siku nzima ya leo.
Kutokana na ulazima uliopo imebidi kumuachisha mwanangu kunyonya ziwa la mama yake kuanzia leo 20/nov imenibidi...
Wakuu nina tatizo la sikio langu linauma kwa ndani kuna kama kipele hivi yaani nimevumilia nimeshindwa je tiba yake ni nini? ntashukuru nikipata majibu hapa.
Medical team hold the first baby born via uterus transplant from a deceased donor at the hospital in Sao Paulo, Brazil December 15, 2017 in this picture handout obtained on December 4, 2018...
Habari za humu ndani jamani, naomba msaada wa kitaalam kwahili, Je?,Nikweli ukitafuna mihogo mibichi au karanga huongeza uzakishaji wa mbegu za kiume (manii) mwilini?
wasalaam
Ndugu zangu habari ya jumapili Leo Nina swali mdogo wenu, kwanza kabisa tarehe 2 mwezi wa 9 mwaka huu nilishiriki tendo (NILITUMIA KINGA) na binti baadae alinambia kaathirika + HIV baada...
Hodi wakuu Mimi Nina mke wangu tunaishi Dar es salaam, tuna miaka mitano kwenye ndoa bila mtoto tafadhali anayejua hospital ambayo tukienda tutapata msaada maelekezo tafadhali, ahsante.
HIV and AIDS can be easily confused, and often are among those that do not know enough about the subject. These two are unique diagnosis but are related at a certain level. AIDS is a condition...
Naomba nijifunze nini kinapotokea mtu anapopokea damu ya mtu mwingine labda group 1 au tofauti...
Or lets say mtu apewa damu ya mnyama kama mbuzi au ng'ombe...
Nini kinatokea kwenye blood...
Habari za muda huu wana JF.
Naombeni ushauri juu ya tatizo hili.Ni siku ya 7 sasa nimekuwa nikihisi maumivu upande wa kulia na kadri siku zinavyoendelea maumivu yanaonekana kusambaa mpaka upande...
Matumizi ya kahawa ni tiba ya asili kwa mwili wa binadamu. Habari njema ni kuwa kahawa ina mchango mkubwa katika kuzuia magonjwa ya moyo ikiwemo shambulio la moyo na kuziba kwa mishipa ya damu...
wanajamvi nilikuwa naomba kujuzwaa jambo hilii mtoto wa miez mitano kuwa na umbile la kichwa kikubwa kisichoendana sawia na mwilii ila sio kikubwa sana na kwambalii utosini kunakuw kama kumebonyea...
Niaje wadau wife anasumbuliwa na maumivu katikati ya kiuno na mbavu upande wa kushoto ,sijajua tatizo ni nini hapa kama mwenye uelewa na hivyo msaada .naomba kuwasilisha
Kwa muda wa miezi nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu ambaye ana tatizo la presha,Sasa wiki mbili zilizopita nilikuwa najisikia hovyo nikaenda hospitali kupima ,sukari bp typhoid na...
Habarini wakuu, nafahamu ya kua wajuzi wa masuala ya afya mko hapa, bila kupoteza mda niende moja Kwa moja kwene mada
Wakuu ninasumbuliwa na tumbo adi nahisi kutoweka duniani siku si nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.