Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mwanga wa jua una faida lukuki katika mwili wa mwanadamu hasa wagonjwa. Hospitali za zamani zilikuwa na utaratibu wa kuwatoa na kuwaweka wagonjwa maeneo ya wazi ili wapate mwanga wa jua. Siku...
8 Reactions
28 Replies
560 Views
KWA ALIELIANZISHA NAOMBA KUJUA TUMWEKEE SANAMU WAPI HAPA UNAWEZA KUSAIDIA FAMILIA YAKO KUISHI MIAKA MINGI WAPO WALE WAZEE WA KAVU UKIONAA MAGONJWA YAKE NA MAPICHA PICHA NAKWAMBIA UNAKOMA HAKO...
1 Reactions
5 Replies
155 Views
September 5, 2024 Despite scientific findings explaining how vaccines trigger Autism, government and health authorities worldwide continue to ignore them.The problem apparently is rooted in the...
0 Reactions
0 Replies
261 Views
UBORA WA AFYA AKO YA AKILI. Ipo haja kubwa ya kutoa elimu zaidi kuhusu maana ya afya ya akili na jinsi ya kujitambua iwapo uko na changamoto hii, watu wengi wanahesabu afya ya akili ni ukichaa...
0 Reactions
2 Replies
461 Views
Haya ni maendeleo makubwa katika sekta ya Afya. Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imemuaga Faith Mwinula (9), ambaye ni mtoto wa kumi na nne kupona ugonjwa wa selimundu baada ya kupandikizwa...
1 Reactions
9 Replies
459 Views
Habari wa wakuu!! Nilikua nahitaji kujua kama kuna Dakitar au specialist au institution inayojihusisha na magonjwa sugu ya kuambukiza!! Hapa tuondoe yale magonjwa yasiyoambukiza kama...
2 Reactions
8 Replies
655 Views
Vipele hivi vimekuwa janga kupelekea kutengeneza nundu la miele kwenye vichwa vya watu. Dawa: 1: Povidone Iodine (topical antiseptic solution) 2: Mupirocin ointment Unaweza changanya pamoja...
1 Reactions
5 Replies
521 Views
Wakuu naombeni majibu hivi mtu mwenye vidonda vya tumbo mchuzi wa maharage unamasihara kwake maana wife Hadi namuonea huruma anateseka sana mboga ya kulia wali maana anakula wali mkavu na ndizi tu
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Habari WanaJF, Hatimaye nimepata ugonjwa wa kusahau vitu. Natafuta mwanasaikolojia anisaidie namna ya kuondokana na changamoto hii. Imefikia hatua nasahau vitu vya muhimu kama kula na kuoga...
4 Reactions
19 Replies
433 Views
Habari wadau Nisingependa nieleze sana ila kiufupi napitia wakati mgumu sana nimekuwa nikipata shoti kama ya umeme kwenye mwili wangu kwa muda sasa kwani imekuwa ikitokea mara kwa mara ambapo...
4 Reactions
20 Replies
896 Views
Msaaada Kama kichwa habari kilivyoeleza hapo juu, Nina miaka 34, nimeoa na watoto wawili shida niliyonayo ni uume kusimama kidogo Sana na hata kabla ya kuuweka ukeni unalala na siwezi tena hata...
11 Reactions
188 Replies
19K Views
Jirani kauguliwa na mtoto kumpeleka hospitali kupima Malaria kwa kipimo cha MRDT hakuna Malaria. Kufika usiku joto limezidi. Asubuhi akadamkia hospital nyingine alipofika kamueleza doctor kashauri...
7 Reactions
15 Replies
541 Views
wana group nimegundua watu wanapitia magumu kuhusu punyeto... NAAMINI KUPITIA HILI SOMO UTANISHUKURU SOMO MUHIMU* πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ Ili uweze kuacha kupiga punyeto fanya yafuatayo:- ➑️Andaa...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu nisaidieni dawa ya UTI kali sana.
2 Reactions
20 Replies
586 Views
Moja kwa moja kwenye mada, Kama kichwa kinavyojieleza wataalamu wa afya, ushauri na majibu yenu tafadhari, na gharama zake zikoje? Wasalaam.
6 Reactions
22 Replies
809 Views
Sababu za kijenetiki, vimelea, mazingira, mtindo wa maisha, na kinga ya mwili zinaweza kushirikiana na kusababisha magonjwa mbalimbali. Kila moja ya sababu hizi ina nafasi yake katika kusababisha...
1 Reactions
1 Replies
236 Views
Habari za kazi wataalamu wa Afya. Nina tatizo la sauti yangu kutoka kwa kukwaruza. Nimetumia dawa lkn sauti yangu halisi imekataa kurudi, naelekea kumaliza mwaka Sasa. Naomba msaada kwa anaejua...
1 Reactions
4 Replies
288 Views
Samahanini wakuu. Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana. Pia nimetoka...
10 Reactions
43 Replies
1K Views
Ni mzizi ulio na faida kubwa sana kwa afya. Vyanzo vya kihistoria vinataja asili ya mzizi huu kuwa ni Kusini mwa bara la Asia. Hupatikana kwenye familia kubwa ya Zingiberaceae. Kwa mujibu wa...
8 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…