Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Chitta And The Control Of Prana 1. Chitta is the Subconscious mind. It is the mind-stuff. It is the store-house of memory. Samskaras or impressions of actions are imbedded here. It is one...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari za mida hii wana jf wote. Kama kichwa cha habari kinavojielezea kuna dem nilimgegeda siku chache zilizopita ila akawa anahofia anaeza kua kwe siku za hatar nikamnunulia vidonge flan ivi...
0 Reactions
1 Replies
657 Views
Naomba msaada ninapokua nimelala kitanda Sasa inapotokea nimejigeuza nashikwa na vichomi vikali chini ya kitovu upande wa kulia, pili ni naumwa tena kichomi kikali Sana nyuma ya mgongo kwenye...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Kama sikosei mwili wa binaadau unakoma kukua pindi afikishapo miaka 23 yani primary growth. To be curious naomba kujua na uume hukoma/huacha kukua baada ya umri gani ? Natambua Jf wanafiki na...
0 Reactions
15 Replies
15K Views
Daktari Saganya amefanya tafiti kuhusu tatizo la Shinikizo la Damu la Ujauzito (Pregnancy Induced Hypertension, (PIH)) kwa wanawake waliojifungulia Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa baadhi ya miezi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba msaada juu hili wakuu. Tatizo limekuwepo kwa zaidi ya miezi 6 sasa. Na kila siku zinavyikwenda linazidi, mana mwanzo llikua likija mara moja kwa wiki mbili au tatu lakini saivi naona ndio...
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Lengo la thread hii ni kuelimishana juu ya mada husika na si vinginevyo. Hivyo ningependa kujua maoni yenu na wenye shuhuda wafunguke
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Salama jamani? Kuna ndugu yangu ana tatizo la kutokwa damu puani na hali hii huambatana na maumivu ya kichwa. Hivyo naomba kama kuna yeyote anayefahamu dawa ya hali hii asisite kunijuza/kutujuza...
1 Reactions
16 Replies
8K Views
Kitaalamu wanasema kula mwanaume asubuhi akiamka lazima mashine iwe imedisa!!! Sasa kwangu Leo ni too much tangu naamka hadi sasa haijalala bado naona shida sana. Nimejaribu hadi kujing'ata ili...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Naomba msaada mwenzi Wangu anatoa HARUFU mbaya UKENI mara ya Kwanza.. alikua anatoa kwa sababu ya kutumia sindano za uzazi wa mpango..alipoacha HARUFU iliisha kabisa.. sasa kaweka kitanzi.. tatizo...
0 Reactions
52 Replies
8K Views
Mkewangu amekunywa dawa (septrin) sasa basi kinachotekea baadhi ya sehemu za mwili zinamuwasha na zinatutumuka msaada wenu ma doctar nini tatizo na nini tiba yake naomba kuwasilisha
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ugonjwa huu umeanza kushamiri kwenye jamii inayotuzunguka. Tusaidiane kujua nini kinasababisha na matibabu yake ni yapi. Chanzo/Kinachosababisha tatizo? Dalili: Dalili mojawapo ni maumivu...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wa pendwa jina langu ramla nina miaka 34 mkaazi wa zanzibar na changia hii dawa moja imenisaidia sana nilitumia dawa za hospital kwa muda mrefu zaid ya miaka mitano kwa ajili ya kuondosha...
7 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimemwelewa huyu daktari, unakuta mgonjwa amapata ajali kichwa kimepondeka lkn huo mwendo anaopitishwa nao barabarani ni hatari - na 'ambulance' zenyewe za Bongo ndo vile unakuta haina hata...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Hello guys, Kuna jambo moja linanitatiza sana, na limekuwa likininyima raha sana. Ni hivi, kila nikiingia ofisini asubuhi machine inastick ajabu, mpaka naona aibu cha kushangaza ofisi yetu ni...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Heshima iwe kwenu madakitari. Naombeni msaada wenu mwanangu mwenye umri wa miaka mitano meno yanapukutika mdomoni mithili ya watoto wanaokula kwa wingi biskuti na pipi sasa sijui tatizo ni...
0 Reactions
3 Replies
745 Views
Nilichoma sindano ya kuzuia mimba January 13, na ilipofika february 13 nikaanza bleed, kwa kawaida huwa naenda mpaka siku 5, lakini kuanzia tarehe february 13 mpaka hivi sasa bado ninableed...
0 Reactions
303 Replies
197K Views
Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu. Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na...
14 Reactions
236 Replies
31K Views
Odd Facts About Your Body 1. It is physically impossible for you to lick your elbow. 2. Like fingerprints, everyone's tongue print is different. 3. Your heart beats over 100,000 times a day. 4...
0 Reactions
6 Replies
972 Views
Habari wana JF, Mimi shida yangu moja, nina msichana wangu, kila nikishiliki nae tendo ile mwishoni kumekaribia anazimia kabisa nikimuacha baada ya muda kidogo hivi anazinduka, nikimuuliza...
1 Reactions
73 Replies
10K Views
Back
Top Bottom