Habari wakuu.
Naomba kujua tofauti kati ha hivi vitu MRI, X-rays, Ultra sound na CT Scan interms of-
1/Cost
2/Ubora wa picha "Clear image"
3/Effect kwenye mwili wa binadamu mfano mionzi ya X-rays...
Mf, nikishakula ugali(Wakushiba kabisa) mchana saa saba mida ya saa kumi kasoro jioni nakua nimeshapata njaa tena.
Nikinywa chai asubuhi saa mbili, saa tano nakua nimeshapata njaa tena.
Pia huwa...
Habari wakuu
Hapa majuzi wakati niko kwenye faragha na shemeji yenu mpya nilisikia akilalamika kuwa nipunguze kasi kwani anausikia uume unafika tumboni.
Je ni kweli uume uwa unafika tumboni?
Habari wanajukwaa!?
Kwanza naomba niwaombe radhi kwa kuja na ID mpya ingawa humu mimi si mgemi kwn hadi sasa nina miaka 8 ya uanachama.
Turudi katika mada!
Historia kwa kifupi
Kwa jinsia mimi...
Doctors au aliyewahi ku experience hii kitu msaada wa ushauri kabeba ujauzito mtoto aliyepo ana umri wa miezi 11 je tumbo litaweza kuhimili ujauzito mwingine? Binafsi nikashauri labda zile njia...
Wakuu nimefika maji ya shingo mwanaume mwenzenu tafadhali.
Ninamke wakuu ila tatizo kwngu uume unalegea katikati ya tendo alafu pia majuzi nilikuja na uzi wa kuomba mafuta ya kulainisha ili iwe...
Habari za saa hii wapenzi wana jf
ningependa kujulishwa na member wenzangu kuhusu : hospitali gani za serikali (Dar es salaam) wanazopima vidonda vya tumbo
Na garama zake ni kiasi gani?
NB...
Mwenye kujua hili napata maumivu kama ya kidonda chini ya ziwa lakini nikijaribu kutafuta maumivu nayapata kwenye mbavu ya kwanza katikati nitakuwa nasumbuliwa na nini umri wangu miaka 25
Mficha "nyeti" hapati mtoto.
Yaani ikifika usiku wa manane kuwe na joto au baridi, manyonyo yanawasha sana hadi kwenye chuchu!
Ushauri wenu tafadhali hasa hawa wataalam @sky eclat, na @Watu8...
Naomba kujua kama mwanamke anayekosa hedhi kutokana na matumizi ya dawa za mpango kama pills au kijiti kunaweza kumsababishia mtu huyo kupata chunusi nyingi usoni, kukonda na ngozi ya uzo kuwa na...
MBOGA ZA MAJANI
Utafiti uliofanyika nchini Uingereza umeonesha watu wanaokula mbogamboga pekee wana afya zaidi kuliko wanaokula nyama pekee.
Je, wewe unakula mbogamboga kwa sababu ya umasikini...
MATUFAA KWA AFYA,LISHE NA TIBA
"An apple a day will keep the doctor away An apple before bed makes the doctor beg his bread"
(kula tunda moja la tufaa kila siku humfanya mtu asiwe na haja ya...
Habari jf naomba kupata msaada wa Dr ambae anaweza kua anakuja home kumuangalia mgonjwa pia naomba ushauri kwa mwenye experience mama ni mgonjwa alianza kwa homa ya kawaida .
Badae akawa hawezi...
Habari zenu jf,,nilikuwa naomba msaada wa tiba wa haya magonjwa maana yananisumbua mwaka wa pili sasa nimeshatumia dawa za hospital na za kienyeji lakini bado
Habari zenu wana jamii forum, tatizo langu hua na low mood (easily upset) inayonipelekea kujiskia kulia without a strong reason. je nifanyeje niepukane na hii hali?
Je una tatizo la Msongo wa Mawazo??? Pata Mind Enhancement Complex tiba Asili inayotibu Stress na kukuacha ukiwa umerelax na ku Enjoy Maisha. Kwa Maelezo Zaidi Tuwasiliane 0719 252523
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.