Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Jamani, naomba mnisaidie kama kuna mwenye kufahamu madhara ya kutafuna mchele mbichi na jinsi ya kuacha kuutafuna..
0 Reactions
50 Replies
91K Views
Habari za asubuhi wakuu naomba kufahamishwa dawa au njia nzuri ya kuondoa gesi tumboni na miungurumo Nb nishatumia magnesium bila mafanikio
1 Reactions
25 Replies
39K Views
Habari wakuu Kama kichwa hapo juu, huwa napata maumivu kama kichomi kwenye moyo(ziwa la Kushoto) wakati nafanya mazoezi, mfano kama ya kukimbia au kuruka kamba huwa inaniuma sana, je yawezekana...
1 Reactions
5 Replies
934 Views
Nahitaji kuufahamu huu ugonjwa kwa wamama wajawazito.
0 Reactions
3 Replies
11K Views
Habari! Tafadhalini sana naomba mawazo yenu juu ya tiba ya ngiri kwa mtoto Mdogo wa mwaka mmoja na mwezi mmoja. Mwanangu anaonekana kuwa na ngiri aina ya Inguinal kama inavyoonekana kwenye picha hapo
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Wasalaam wana JF, mitikasi ya maisha zipo poa..!? Baada ya matumizi ya muda mrefu ya condom nimebadilisha uamuzi na kuamua kuachana nazo kabisa. Sababu zikiwa ni hizi zifuatazo: Zina fanya...
1 Reactions
10 Replies
20K Views
Mubarikiwe nyote Nisaidieni kwa anaejua mke wangu hua anakawaida ya kupunguzia akiwa na mimba (hua anapata hedhi japo kidogo) sasa katika mimba hii naona imekua nno yaani ametoka damu nyingi...
2 Reactions
59 Replies
45K Views
Habari wana jamvii!kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.nimekua mhanga wa tatizo ilo kwa muda sasa na bado sijaonana na daktari kwa ushauri zaidi.dushe Langu likikasilika linakua la wastani...
2 Reactions
113 Replies
24K Views
Kuna vidude fulani hivi vinaota pembeni kwenye kucha za mkononi ukifua nguo mie kalikuwepo, ila kalitoka kenyewe tatizo nimevimba sana kidole, ni kidole kidogo cha mkono wa kushoto nimenunua...
2 Reactions
83 Replies
7K Views
As per attachment Sam
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu! Huje moja kwa moja kwenye kichwa cha habari,je inawezekanaje mwanamke aende kutoa mimba bila doctor kuungilia(kujamiana) kutoka na hospital nyingi madoctor ni vijana au pengine...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi... This mail has been written by Mayank who works in Ranbaxy. So go through it and know about the actual causes of HIV(AIDS). The purpose of sending this mail to U is to be aware of...
0 Reactions
12 Replies
53K Views
Wakuu poleni na Majukumu, hivi Mama mjamzito kutokwa Majimaji yasio na harufu au damu kiasi inaweza kuathiri ujauzito Usiendelee kukua....hasa mimba changa? Tatizo hili limemtokea shemeji yangu...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habar wanajf Natumaini mu_wazima kwa neema ya mungu. Basi niende moja kwa moja kwenye maada, kuna ndugu yangu anatatizo la kutoka upele hasa maeneo ya mgongoni, kifuani na kwenye mabega Tatizo...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Habari ya Mchana wana JF, naomba kujuzwa inachukua muda gani tena kwa mwanamke aliyeharibu ujauzito kuanza kutafuta ujauzito mwingine / yaani anatakiwa kukaa muda gani ili ashike tena ujauzito?
0 Reactions
14 Replies
1K Views
SIKU moja baada ya gazeti hili, kuripoti matumizi holela ya dawa yanavyoathiri ini na figo, Meneja Kitengo cha Uchunguzi wa Saratani, Elimu kwa Umma wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), Dk...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Mwenye kufahamu anisaidie. Kama itawezekana na gharama zake. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari wanaJF . Nilikuwa naomba kuuliza eti Chuo kikiwa ownership ni private kwa maana cha private lakn kimesajiliwa na NACTE, . Je, selikali ikitangazaa ajira kutoka katika vyuo, wanakuwa...
1 Reactions
12 Replies
979 Views
Me nasumbuliwa na kimeo sana nakohoa nimekonda sjui nifanyeje naombeni ushauri hapa
1 Reactions
10 Replies
2K Views
"SHARE THIS INFORMATION FIRST AND READ AFTERWARDS.....SAVE LIFE Share this as much as you can. "10000 times stronger killer of CANCER than Chemo".. do share it.. can save many lives, fill up...
10 Reactions
14 Replies
10K Views
Back
Top Bottom