Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Hivi utajiskiaje au Ni uamuzi gani utachukua pale unapoenda hospital then doctor anagundua unatatzo Fulani la afya halafu anakuambia hatutarajii upone
0 Reactions
2 Replies
524 Views
Habari wanaJF Naomba kuuliza nikitakusoma clinical officer Ni apply course inayoitwaje ambayo mtu anakuwa CO Nashukuru Ahsanten
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi ni mgeni Dar na natumia dawa za ARV. naomba kujua wapi nitapata huduma ya dawa na kliniki
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Naomba msaada wenu wakuu mimi nina sulphur allergies nafanyaje niweze kuondokana na ili tatizo kabisa mana product nyingi madukani zina sulphate najikuta nameza dawa mara kwa mara nisaidieni hata...
3 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari zenu poleni na majukumu. Miezi miwili iliyopita nilikwenda hospitali kuonana na Dr. wa wanawake kutokana na tatizo langu la kutopata ujauzito na vile mzunguko wangu haujakaa vizuri...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari, Madaktari na wakuu wa jukwaa hili nina ndugu yangu (22), kaolewa 2016 August ana tatizo la kubeba ujauzito na kuharibika, alibeba ujauzito kufikia miezi minne ukaharibika,akabeba tena...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Namtafuta Dr. Danny Njau yule alayegundua dawa ya figo na homa ya INI. Huyu Doctor alikuwa anahojiwa na ITV week iliyopita katika kipindi cha asubuhi KUMEKUMEKUCHA ITV. Pia taarifa zake...
0 Reactions
1 Replies
927 Views
Wakuu Poleni na Majukumu, nina changamoto kadhaa kuhusu Ujauzito wa mke wangu. Wife wangu ni mjamzito unaokaribia miezi miwili, tatizo alilonalo kwa sasa ..anasumbuliwa na maumivu ya Tumbo Kwenye...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Miezi kadhaa imepita rafiki anasumbuliwa na huu ugonjwa. Umempata uneo dogo juu ya unyayo. Mwanzoni Dr alidhani ni fungus, lakini baada ya kutumia dawa za fungus muda mrefu bila mafanikio...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama title inavyoeleza, naomba kujulishwa mwanamke anayejifungua kwa upasuaji ana uwezo wa kujifungua watoto wangapi kwa njia hiyohiyo?
0 Reactions
21 Replies
15K Views
Habari zenu wana JF?! Nina tatizo la kiafya nalo ni kuota kwa kokwa la tatu ndani ya korodani. Kama tunavyofahamu, korodani huwa na kokwa mbili. Hivi karibuni nimeanza kuhisi kuota kwa kokwa la...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Nilisogelea kwenye mashine ya kusaga, kwenye kile kinu chake nikaegemea huku mashine imewashwa walikuwa wanasaga unga. Pale mashine inavyotetemeka utaona ub** unapata utamu fulani hivi mpaka...
6 Reactions
78 Replies
7K Views
Mi nina mke tuna miezi 2,tatizo ninapojaribu ili ajihisi hisia inashindikana,anaona kama unamtekenya popote unapogusa.na pia tukiwa kwenye game nachelewa kukojoa hivyo anachoka.tatizo ni nini
0 Reactions
2 Replies
665 Views
Wakuu mtoto ananipa wakati mgumu sana, ana wiki 6 sasa na amekua analia sana usiku yani kilio cha yowe kabisa. Nimejaribu kumpa dawa 'infacol' na bonnisan lakini tatizo bado liko pale pale shida...
2 Reactions
45 Replies
17K Views
Habari zenu wanajamii wenzangu? Naomba kusaidiwa. Mimi ni mwanamke ambaye mzunguko wa hedhi ni siku 28. Mwezi uliopita period yangu ilikua tarehe 23 sep ambapo tarehe 29sep na 30 sep nilifanya...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Mke wangu alipatwa na tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi na madaktari wamemwambia huenda mume wako ana tatizo la low sperm court je unaweza kuwa biological reason?
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa miezi sita ya kwanza katika maisha ya mtoto chakula pekee ambacho wataalamu wa afya wanashauri apewe ni maziwa ya mama tu. Kunyonyesha ndio njia ya kwanza kabisa kumpa mtoto chakula. Unapoanza...
1 Reactions
2 Replies
26K Views
Maana ya hedhi Hedhi kilugha Ni kitu kutiririka na kupita Hedhi kisheria Ni damu inayotoka kwenye uzao wa mwanamke katika muda maalumu bila yasababu Namna ya damu ya hedhi ilivyo Ni nyeusi kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kuuliza nini kinacho sababisha mwili kutokewa na majipu maana ninavyoongea saa hivi nina majipu mawili katika mwili wangu hivyo nilikua naomba kufahamu chanzo na tiba ya majipu?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom