Jamani, kuuliza si ujinga.
Kwa wale wenye ufahamu juu ya meno ya bandia, baada ya meno ya jamaa yangu kupukutika na reception kuonyesha uzee bila mpangilio, (amefikiria kuweka meno bandia).
Je...
Jaman wadau wenye vivid details about masturbation na effects zake plz cz kuna mtu hapa kaniulza nimempa majibu but dogo anakaza fuvu hataree hb wana bios madoctor mnipe hata link ili iwasaidie na...
Wakuu,
Mavazi ya half naked kwa kina dada
Picha za uchi za kina dada..
Ndiyo chanzo kabisa cha kuwafanya wanaume washindwe kazi kitandani kwa kukosa mzukaa.
Maumbile ya mwanamke yanatakiwa...
Wajuzi wa mambo njooni hapa! mtueleze ukweli wa mambo, maana juzi kati nilikuwa na game na ka she fulani hapa mtaani kwetu kumbe yule she alikuwa hajamaliza period yake vizuri na hakuniambia, sasa...
Wakuu, Asubuhi ya leo nimeamka mwanajeshi wangu kasimama hatari, yaani anasimama then anapoa anasimama then anapoa.
So mida hii huyu mwanajeshi amepoa kabisa ila nahisi maumivu makali kwa...
Habari wakuu
Nahitaji msaada wenu hata kwa hili tatizo kuna mtoto wa dada yangu age 9 1/2...siku za karibuni aliwahi kusema huwa anajisikia baridi ya ghafla mwili mzima..na inakuja na kupotea...
Haya mpaka sasa ni Wangapi kwa Utafiti huu tayari tuna dalili zote zilizotukuka za Ugonjwa wa Saratani / Kansa ( Cancer ) ya Tumbo?
Hivyo basi hapo hapo ulipo sasa hivi tena kama ukiwa upo katika...
Jambo Tanzania,
Naombeni msaada wa haraka wa kuelimishwa kuhusu HOMA YA MANJANO(Yellow Fever)
Wakuu ktk pitapita zangu kwenye taasisi moja ya kutoa elimu(Shule)Nimekutana na mtoto mmoja ambaye...
Habar wana JF naomba kujua Mama mjamzito wa Mimba Changa kutokwa na Maji yenye Rangi kama njano..hiyo inaashiria Nini?
Swali la Pili ! .....Nina Rafiki yangu mke wake Ni mjamzito, ambae...
Complete Guide Urine Therapy
(Coen Van Der Kroon)
Urine consists of 95% of water, 2.5% of urea and the remaining 2.5% is a mixture of minerals , salts, hormones and enzymes. Only urea , the...
Mimi mke wangu ni mjamzito lakin siku mbili hizi anasumbuliwa na kuumwa kichwa. Naomba msaada tatizo hili hutokana na nini???
Nina imani nitapata jibu sahihi. Asanteni
Mimi ni mwanaume wa miaka 31 sasa. Mnamo mwaka 2002 nilipokuwa form II nilianza kusikia kaharufu flani hivi kabaya kabaya kanatoka kwenye mwili wangu kaharufu ka uvundo sio uvundo mkojo sio mkojo...
Habari za muda marafiki,kuna haja ni share hii elimu ni nzuri na itakusaidia kwa kiasi fulani jinsi kama mgonjwa unapaswa kujua namna ya kujielezea kwa daktari ili upate tiba bora kwa mtoa huduma...
Habari za weekend wakuu!!
Mimi ni kijana miaka 25 ni mwanachuo pia nafanya kazi( biashara
Hali hii naichukia sana maana najikuta ile asubuhi nikiingia lecture nasinzia ila mwalimu akitoka...
Naombeni msaada mm nikifanya mapenzi miguu inaniuma sana.sjajua hili tatizo linatokana na nini kwa anayejua kama ni ugonjwa nikatibiwe kabisa hili tatizo lisijirudie maana kuna muda hadi nahofia...
KULA KUCHA. Tangu nimezaliwa na kukua nakula kucha zaidi ya miaka 30+ hii tabia inanitesa maana sijawahi kuwa huru na vidole vyangu. Kucha zangu muda wote ni mbaya na nang’ata mpaka vinapaki...
Habari zenu jf,,nilikuwa naomba msaada wa tiba wa haya magonjwa maana yananisumbua mwaka wa pili sasa nimeshatumia dawa za hospital na za kienyeji lakini bado
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.