Kuna vitu fulani huwa vinatutokea kwenye miili yetu halafu unabaki tu na maswali kwakua ni wewe tu unatatizwa.
Mimi kuna hii habari ya kucheua baada ya kula,yaani unagonga zako msosi freshi,baada...
Wakuu habari za muda huu?
Niende moja kwa moja kwenye mada mimi ni kijana wa late 20's nilimaliza shule mwaka 2014 lakin paka leo sijapata ajira rasmi zaidi ya kuunga unga tu na mission town za...
Please wenye uzoefu na uelewa wa huu ugonjwa wa mtoto mchanga kutokwa na tongo tongo kila mara tena macho yote.
Chanzo chake, madhara yake na tiba yake ni IPI?
Please sana.
Habarini wanajamvi naombeni elimu kidogo je, mwanamke anaweza hakakosa hedhi ndani ya mwezi??, Tatizo ni nini hapo nini kinasababisha mtu kukosa hedhi??
Kama Kichwa tajwa apo juu tulipoenda kupima HIV nilimshangaa mwenzagu kukosa utulivu nikagundua ali iyo maana katika kuzungumza naye kuna wakati aliniambia akikuta kaathilika anaweza kujidhulu...
Habari za jioni, naomba ushauri nina dogo wangu ana miezi minne amepimwa uzito leo anaambiwa uzito ni mkubwa kuliko umri wake na anatumia maziwa ya mama yake tu, plz kwa anaejua tufanyeje kushusha...
Magonjwa ya akili yamegawika katika sehemu kuu mbili kulingana na ukubwa wake
1) Magonjwa ya akili ambayo mgonjwa hustahiki kutumia dawa au kulazwa hospital (major psychiatric disorder).
2)...
Hello,
Mimi ni pacha, Mara nyingi tangu Niko o level ilikua napata period tarehe 30 ya mwezi flani let's say (August) inaendelea SKU tatu au zaid ila tu inaisha tarehe ya mwezi ujao(September)...
Naomba msaada jamani kuna binti amebleed mara mbili kwenye mwezi mmoja tena hana hata week sasa hivi anahisi dalili za bleed tena sasa hajabadili msosi wala mazingira sasa tatizo la bleed kama...
Mke wangu ana ujauzito uliokadiriwa kuwa wa wiki 33 na siku 2 sasa hivi baada ya mazoezi ya kutembea tembea kidogo akasema anahisi maumivu makali yanavuta chini ya kitovu mithili ya maumivu ya...
Kuna video inaonyesha yai la chupa ya chai katikat ya ukuta wa kwanza na pili kuna vidonge kama dawa viantolewa. Kwa wataalumu wa niambieni ni vyanini kama sio dawa vina kazi gani?
Miaka inapita figo zetu zinachuja damu kwa kuondoa chumvi na bakteria wasiohitajika waliomo kwenye miili yetu. Baada ya muda wa chumvi kukusanyika kwenye figo hali inayopelekea kuhitaji tiba ya...
Habari vijana wenzangu natumai muko wazima na wenye afya njema. Siku ya leo nimeamua kuwaletea makala hii kuhusiana na utaalamu wa kuongea kwa ufasaha na kuwa na sauti shawishi wakati unapoongea...
Wasalaam..
Usiku kama 3 niliweka bandiko kuwa nilitembea na binti muathirika HIV+ kwa Kutumia KINGA na nilienda kupima wiki 3 mbele nikaambiwa Niko salama (NEGATIVE)
Nimekuwa na Mambo haya...
Baada ya kufanya Mapenzi na Mtu mwenye VVU wiki kama 3 nyuma Leo nilienda kupima....
1- nimeambiwa virusi vya VVU hukaa kwenye damu na si mahali pengine.
2- Ili update VVU lazima mbadilishane...
Naombeni kuuliza wadau tangu niko mdogo nina kawaida kila nikilala usiku au mchana uwa najaa mimate mdomoni ambayo nimekuwa na kawaida ya kuyatema sasa siku hizi nimeanza kuyameza maana yalikuwa...
MARADHI 13 MAKUBWA YANAYOWASUMBUWA WA-TANZANIA
(1) SHINIKIZO KUBWA LA DAMU/KITAALAMU HIGH BLOOD PRESSURE
Maana ya Shinikizo kubwa la Damu: Ni ongezeko la nguvu ya msukumo wa
damu katika mishipa...
Habari ya kazi wana jmii,
Nimekuja kujiuliza nilimepatwa na ugonjwa ilianza kama tonses nikaend hospitali nikaambiwa minyoo imejenga shingoni, nikapewa dawa haikunisaidia.
Nikaenda hospitali ya...
Hii hali Ina wiki Sasa nilienda agakhan kupima moyo wakasema uko ok et ni abdomen pain dozi imeisha ngoma pale pale ,msaada kila saa najiskia vichomi juu ya ziwa la kushoto kupapooza nabonyeza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.