Habari wakubwa, nina miaka 20 tatizo la psoriasis limeanza toka nina miaka 7 nimetibiwa hospitali nyingi ya mwisho ni agakhan dar kuna profesa alinambia kufikia miaka 18 itapungua sana, na kweli...
Parachichi ni tunda lenye kiwango kikubwa cha mafuta lakini mafuta haya ni monounsaturated fat. Mafuta haya husaidia kupunguza kiwango cha cholesterol kwenye damu.
Pamoja na uzuri wake ni vyema...
Habari wanajamvi swali langu ni hili hivi sababu iipi inachangia mtu kujifungua kabla ya muda yaani miezi 9??
Pia naomba kujua sababu inayofanya mimba kuharibika
Wapendwa wana JF wenzangu habari zenu? ningependa kwenda moja kwa moja kwenye hitaji naomba mnisaidie mawazo nini nifanye kuhusiana na hali anayopitia Mke wangu ana mimba ya miezi minne...
Naombeni msaada,
Nina ndugu yangu anaumwa cancer ya tumbo ila ameshafanyiwa operation na tumelipa gharama kubwa sana ila sasa hivi inatakiwa apate dawa kila baada ya wiki tatu ila gharama za dawa...
wakuu za saa hizi
Nimejigonga usiku huu kwenye kigingi nje wakati naingia ndani na mguu umevilia damu na unaonekana mweusi na mwekundu baadhi ya sehemu
Nilikuwa naomba msaada wa dawa au tiba...
Niko nyumbani siku ya tatu leo, naumwa sana. Nimeenda kupima ugonjwa hospitali kama tatu, wameniambia ni Malaria.
Dalili ninazozisikia ni:
1. Kuumwa kipanda uso, mpaka macho huwa yanatoa...
Ubongo wa binadamu hukua kwa haraka kabla ya kuzaliwa na katika kipindi cha miaka miwili ya mwanzo wa maisha ya mtoto.
Katika kipindi hiki, takribani 75% ya kila mlo unaenda kujenga ubongo wa...
Naibu waziri ameyasema hayo kutokana na wagonjwa kupewa majibu ndani ya nusu SAA baada ya kupima,angali inahitajika SAA 72 kupata majibu sahihi.
Hivyo watz wengi tumekuwa tukitibu vitu kwa...
Wakuu salama,naomba kujuwa kama pale MOI wanafanya upasuaji wa Magoti,yaani knee replacement, wanakubali bima ya afya, NHIF au wa nafanya kwa cash? Msaada wakuu kwa anayejejuwa swala hili
Kama umewahi kuona kidonda kimejitokeza hasa maeneo ya mdomoni hata kama kimekwisha pona. (Kama pichani)
What if nikikwambia unavirusi walio lala ndani ya mwili wako aina ya HSV-1 Virusi ? Mficha...
Habar wadau wa jf docto ninaomba kuuliza leo ni zipi faida hasa za kutumia mafuta ya karafuu katika kuongeza nguvu za kiume au maumbile ya uume
Hii ni kutokana na habar ambazo nimekuwa nikisikia...
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna Huduma za tohara kwa wanaume bila kufanya operation...(Prepex) wanafunga ringi kwa ndani ya mkono wa sweta then wanazunguushia kitu kama mpira kwa juu. Baada...
Na tatizo LA kuwah wakat na Fanya tendo, he naweza pata dawa!? Kuna mtu aliniambia nitafute Mundende,mwenye kujua ntaipata WAP plz au dawa nyingine yenye matokeo msaada.
Habarini za leo wakuu, kuna mtoto wa dada yangu ameumia akiwa anacheza na wenzake, hajaumia ndani ya jicho lakini damu zimevilia kwa ndani, anaona vizuri lakina tatizo ni macho yote mekundu kama...
Jaman nahitaji msaada kwa yoyote anayefaham kuset kin'gamuz cha digtek kwan kinaonyesha channel zinazoanzia 1101 had 1015 tu nyengine zote km clouds wasafi tv zipo lkn hazionesh so kwa anayefaham...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.