Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Huwa najiuliza hivi kwanini wazazi sie wa kibongo haturuhusiwi kuvaa martenity dress zetu hospitali muda wa kwenda kujifungua na baada ya kujifungua, badala yake tunaambiwa kuvaa khanga. Baadhi ya...
1 Reactions
61 Replies
10K Views
Habari wakuu, Kwa wale waliowahi kulea watoto wagumu kulala mlikuwa mnafanyaje? Yaani mtoto mpaka saa 6 usiku anakomaa na watu wazima kwenye Tamthilia. Hata ukisema ulale mapema huo usumbufu...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za muda huu wapendwa. Kama una mtoto asiyependa kula nina suluhisho. Kirutubisho cha MYCHOCO, inatampa hamu ya kula na kuimarisha kinga ya mwili maana ina madini yote anayotakiwa mtoto...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Ni imani maarufu sana kwamba wanawake wengi hunenepa hasa hasa hips pamoja na manyonyo(breasts) pindi tu wanapoanza kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara. Hata hivo hili ni jambo la kusadikika tu...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamanii wakuuu naomben msaada wenu kwann mwanamke anapitiliza siku za hedhi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
9K Views
wakuu habari za mdaa huu Niliwahi kuwa muhanga wa punyeto kwa miaka 9 namshukutu Mungu 2013 niliacha na nikanikiwa kujitibu na nimepona ishu iliopo uume wangu ni mdogo sana ukiwa umelala ila ni...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimekuwa na sumbuliwa na maumivu chini ya kifua kwa muda mrefu, choo kuwa na marenda, kizungu zungu hadi kichefuchefu na nimetembelea hospitali nyingi hadi sanitarium. Mara ya mwisho nilienda...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Wapendwa hiyo hapo ni calendar ukitaka kuchagua uzae mtoto jinsia gani unaangalia miaka yako na miezi ya kubemba mimba hiyo ni calendar ya china Mimi naomben kupata uhakika hapa kwa walio na...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Misuli inayohusika na nguvu za kiume na kuwahi kumaliza wakati wa tendo la kufanya mapenzi huitwa ”puboccugeous Muscle” maarufu inajulikana kama Pelvic Muscle. Misuli hii inapokuwa dhaifu,uwezo wa...
19 Reactions
47 Replies
139K Views
Habarini za muda huu wadau. Kuna mtu alishawahi kuniambia kuwa KY jelly zinazotumika kulainishia sehem za siri wakati wa kujamiiana zinaweza kutumika kuzuia mimba, je kwa wanaofahamu ni kweli...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
MRC Tanzania Je! Una tatizo la utumiaji wa pombe au mihadarati Je! mtoto au mwenza wako ana tatizo la ulevi na utumiaji wa mihadarati Kwa huduma ya usaidizi wa kuachana na utumiaji wa pombe na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar ndugu zangu, natokwa na uchafu mweusi ukeni nilipata shida ya kubleed nikaambiwa mtoto yupo vzr na Hamna shida yeyote ila sasa tangu Jana naona natokwa na uchafu mweusi kabsa ukeni nikienda...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Heshima zenu wakuu! Naomba kujua ni muda gani unatakiwa kwa mwanamke aliyejifungua kwa operation kubeba mimba nyingine? Na je inawezekana kwa mwanamke huyo kujifungua mtoto mwingine kwa njia...
1 Reactions
13 Replies
27K Views
Hakuna kiwango cha unywaji wa pombe kitakachokuacha salama. Ingawa pombe inasaidia ku regulate mapigo ya moyo lakini inahusishwa kuwa chanzo cha aina saba za cancer. Kuwa salama ni kheri kuacha...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wakuu. Ningeomba kuuliza kuhusu ugonjwa wakifafa,Ni kweli kwamba mwanamke anapokuwa na kifafa akipata mimba kifafa humuisha Automatic?
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Mtoto akianza kukaa ni lazima aharishe. Akiota meno anakuwa na homa kali na kuharisha. Akianza kutambaa hivyo hivyo lazima kuwe na kuharisha. Kusimama na kutembea anapitia hatua hiyo. Swali kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habar zenu wapendwa, naomba kuuliza mtoto wangu kuna jinsi ananyoosha miguu kwa kuikakamaza na answet anafanya ivo kwa sekunde chache na kuacha sasa imechukua almost 2 years, kapewa dawa za...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Ebola ni ugonjwa wa maambukizi ambao kimsingi kabisa ulipatikana kwa wingi nchini Uganda na asili ya ugonjwa huu ni kutokea kwa wanyama hasa maziwa, nyama, au damu. Dalili zake ni : ~homa(fever)...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhali sana,wanaofahamu kuhusiana na suala hili, hebu watujuze. Sisi wakazi wa mikoa sambamba na bahari kila siku supu ya kibua na chapati, kumbe watoto tutawasikia tu wakilia kwa jirani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu salama? Na mpango wa kupunguza mwili, nimepiga mazoezi gym kwa muda wa mwezi mzima lakini sipati matokeo nilioyatarajia. Kuna jamaa kanishauri kutumia hivo vidonge vinaitwa hydroxcut. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
928 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…