Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Miaka ya ujima watu walitumia herbs na remedies kutibu magonjwa. Tiba nyingine ilikuwa maombi kwa Mungu. St Raphael ndiye Malaika aliyetumika sana katika maombi ya uponyaji. Kwa Wakatoliki St...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari Zenu wakuu.. Naomba kwa Mtu au Doctr aliyeisoma au anayeijua Vizuri aniambie ipoje. Ni moja kati ya Programme niipendayo. Sasa kama Yupo anaweza kuniambia Zaidi na Zaidi kuhusu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jinsi gani unaweza ukaacha kupiga punyeto
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wapenzi! Katika pitapita zangu nmekutana na video youtube inaelekeza namna ya kujitazama mkono wako ukatambua utazaa watoto wangapi, wangapi wa kike ,wangapi wa kiume. Ndoa nk Sasa...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu salaam, Kama kichwa cha habari kinavojieleza naomba kujua kutoka kwa wabobezi, madaktari na wataalamu wengine hili suala la mwanamke aliyefanyiwa upasuaji wa uzazi anaweza kufanya tendo la...
1 Reactions
32 Replies
7K Views
Wakuu habarini,naomba kufahamu taratibu n gharama za kufanya vipimo vya moyo katika taasisi ya moyo ya jk.
1 Reactions
33 Replies
12K Views
Habari wapendwa, mimi ni Kijana wa umri wa miaka 27, Naishi Dar ingawa kiasili si mtu wa hapa, Natokea mikoani. Jambo lililonileta hapa ni moja kuomba ushauri. Kifupi nimekuwa na mahisiano ya...
3 Reactions
60 Replies
6K Views
Nasumbuliwa na jino limetoboka mm sitaki kulitowa naomb tiba ya kienyeji kwamaan wanasema watalam jino ukilitowa usipital linaanz lingine na kwel nimetowa jino la kwanz na saiz nasumbuliwa la pili
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Salam wandugu. Natumai mu-wazima nyote. Shukran, dhumuni la bandiko hili ni kama kichwa cha hii thread kinavyojieleza hapo juu. Naomba kujuzwa kwa sehemu ya Morogoro ni wapi naweza kupata huduma...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tatizo la kutokwa vijipu vidogo vidogo mwilini naombeni msaada mjukuu wangu wa kike anasumbuliwa na tatizo la kutokwa na vijipu vidogo vidogo mwilini
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Sorry hii inatokana na nini inanikera sana hii hali ukishapaka mafut mdomoni ili kulainisha mdomo baada ya mda Luna kuwa na utando nifanyeje ili hii hali isiwepo.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndugu zangu Mara nyingi hunitokea ghafla nagusa/napiga mkono vitu vikiwa mezani. Mfano naweza kuletewa chai lakini ghafla kunakuwa kama mtu kasukuma mkono wangu na kumwaga chai. Vivyo hivyo...
1 Reactions
4 Replies
980 Views
Habari ya asaiv wakuu,, naomba ushauri kina madhara ya kuoga maji ya chumvi katika ngozi
1 Reactions
0 Replies
7K Views
Wadau kama mada ilivyo wakati wa tendo mwenzangu analalamika kuwashwa sehemu za nje ukeni. Naomba ushauri, mawazo na tiba
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tatizo la Bp kwa sasa kwa miaka ya hivi karibu limeonekana kukua kwa kasi zaid ukilishana na kipindi cha nyuma, hii ni kutokana mfumo wa maisha tunayo ishi sio mzuri hasa katika mfumo wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu kama kichwa kinavojielewa naomba kujuzwa na anaye fahamu ni wapi Dodoma mjini wanatoa huduma ya kuweka meno ya bandia ya kudumu NB ukinitajia na bei nitashukuru zaidi
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Msaada jaman; Mm nina tatizo la kufa ganzi kwa mikono na miguu, sielewi chanzo cha tatzo n nn na cjui nitumie dawa gani.
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Msaada mwanangu anahalisha ana umri wa miezi 7 nimempeleka hospital kapatiwa vipimo vyote lakin hakuonekana na ugonjwa wowote, hivyo naombeni ushauri kwa yeyete mwenye utaalamu au uzooefu na mambo...
0 Reactions
0 Replies
703 Views
I have been using tramadol since ages and I am now out of it just because my doctor thinks that I am getting addicted to it so he has prescribed me Tapentadol, But it is not working for me at all...
0 Reactions
0 Replies
521 Views
Ningependa kujuzwa tatizo hili lasababishwa na nini? Kuna mtoto hapa mud huu kavimba taya. Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom