Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wadau wa afya salam. Nini chanzo cha mtoto kuwa na kitovu kikubwa kama puto? Na je, mtu akisha kuwa na kitovu hicho, kuna dawa ya kukifanya kiwe kidogo? Mtu anaweza fanyiwa upasuaji kukiondoa...
1 Reactions
21 Replies
42K Views
Wakuu hii link nimeitoa sehem, yupo jamaa anakiri dawa yake ya 3deops inatibu magonjwa mengi gusa link uingie muulize chochote kuhus magonjwa na tiba njoo tujifunze kwa pamojaCLICK TO JOIN...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello wakuu, naomba kuuliza hivi mbona siku za hivi karibuni matangazo redioni ya kupima na kuanza kutumia ARVs mapema yamekuwa mengi sana na haipiti sekunde, tangazo hilo hapo, mbaya zaidi kwa...
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Hello Jf Nina mtoto ana miezi miwili, siku ya leo amenisumbua mno. Anakua kama kuna kitu kinamkera sababu halii ila anajikuna kichwani na kukunja sura nikichelewa kumshika analia japo sio kwa...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Wadau habari za kazi, Naombeni msaada, nina binti yangu wa miaka 8 anasumbuliwa na tatizo la kuwashwa. Akianza kuwashwa anajikuna sana,tumeisha enda baadhi ya hospitali lakini bado ufumbuzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hodi chumba cha daktari JF!Shikamoo daktari.Nimekuja ninajiona nakunya mavi mengi kuliko kawaida.Je nina tatizo la afya?
4 Reactions
84 Replies
24K Views
Chukua hydrogen peroxide tia kwenye beseni la maji koroga. Zamisha uso sekunde 30 tu. Refer Dr. Harch's method.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Naliweka hili kama elimu kwa wengine SWALI: ASSALAM ALAYKUM. KUNA TATIZO KUBWA LIMETOKEA NA NDOA IMEVUNJIKA NAOMBA UFAFANUZI WA KISHERIA NINA NDUGU YANGU MWANAMKE JINA NALIHIFADHI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina mke ambae tumebahatika kuzaaa mtoto mmoja tangu 2014 lakini kwa bahati mbaya aliweka vijiti kama njia ya uzazi wa mpango lakini nimekuwa nikimshaghuli kuhusiana na kupata mtoto mwingine...
1 Reactions
6 Replies
892 Views
Habari ndugu wanajamii forums mie ni mgeni humu ila nashukuru kwa topic zenu. Shida yangu kubwa ni kutaka kujua kama endapo mtu unaamua kujitolea msaada figo kwa wagonjwa wenye tatizo, hata kama...
0 Reactions
5 Replies
928 Views
Hi Jf members.. Naomba kuuliza kuusu wavaa miwani wanaposhauriwa kubadirisha vioo baada ya muda furani.. Shida ni kwamba Lens za mawani ndio uwa zinaeExpire au tatizo la macho ndio linakuwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wana jukwaa Naomba msaada au mwongozo wa namna iliyobora ya kupata faili la mgonjwa wangu kutoka hospitali. Ipo hivi, nina mgonjwa ambaye alikuwa anapata tiba specifically masuala ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
HABARI WAKUU; naomba msaada wa picha ya vidonge vya ARV ili nijiandae kisaikolojia
4 Reactions
184 Replies
43K Views
Mazoezi kila siku ni bora kwa ajili ya afya yetu na ni moja ya ushauri tunaopatiwa na wataalamu wa afya. Mama mjamzito pia anapaswa kufanya mazoezi ili kujikinga na baadhi ya magonjwa kama...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wasalaam Wakuu wa Kaya, Moja kwa moja niende kwenye kilinichonituma kujitwika nyuma ya keyboard na kuanza kushusha madude. Kama wengi tunavyoufahamu ugonjwa huu uliopata umaarufu sana hapa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
PROSTATE CANCER TREATMENT. 1. B-CAROTENE & LYCOPENE CAPSULE A) supplements body with vitamin A B) serves as a strong antioxidant which deactivetes free radicals C) prevents cancer,especially...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatoa enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni...
14 Reactions
30 Replies
7K Views
Eti wakuu ni wapi naweza kufanya kipimo cha DNA kwa hapa Dar es salaam, kuna ishu inanisumbua nahitaji suluhisho.... Kama unafahamu sehemu husika naomba taarifa au mawasiliano. Ni muhimu...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu, Naombeni kufahamu ni mazigira gani yanaweza pelekea kupata maambukizi ya hivi ukiwa ili hali amevaa kinga. Nalenga kujifunza zaidi maana tahadhari ni nzuri zaidi.
0 Reactions
67 Replies
19K Views
Back
Top Bottom