Habari wakuu.
Ikiwa una matatizo yafuatayo naomba uni-pm
Pumu
Maumivu makali wakati wa hedhi
Hufiki kileleni both me & ke
Kifua kinakubana.
Na ushauri mwingine wa kitabibu hasa kuhusu miti shamba.
Habarini Wanajamvi..
nina tatizo la kusikia kizunguzungu na kutapika endapo tu kama nitafanya kazi yeyote ya kufanya nipumue kwa haraka au nikifanya mazoezi ya kukimbia haitonichukua dakika 30...
Habari wana jamii forum, naomba mwenyekujua hizo pills za phertamine vinapatikana wapi kwa Tanzania maana nimesikia zimepitishwa na shirika la afya duniani kuwa zinasaidia kupunguza uzito sasa...
Raw Organic Apple Cider Vinegar (ACV) is made from nutritious, organically grown apples and retains many beneficial components because raw apple cider vinegar is not pasteurized.
ACV undergoes...
Wiki iliyopita Nilimtahiri mwanangu wa miaka miwili kasoro. Chakushangaza wenyeji wangu huku mtwara wananilaumu eti nimemuwahi kumtaahiri mapema. Eti hii itasababisha mwanangu aje kuwa na uume...
Wanajamvi naombeni mnijuze, kuna madhara gani yanayoletwa na uvutaji wa kaya? mentally and physically, na kama kuna faida yake, wenye ujuzi na hili jamani tunaomba mtufunze nasi.
========
Tumekua...
Ningependa nitoe maoni yangu kuhusu magonjwa yasiyoambukiza nikilenga magonjwa aina mbili kisukari na shinikizo la juu la damu. Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la magonjwa haya hususani kipindi...
Baada ya kutafakari kwa kina nimegundua UKIMWI sio ugonjwa ila ni biashara ya big pharmaceutical industries.
Hebu jaribu kufatilia na wewe, kwanini ugonjwa huu umepewa kipaumbele kikubwa hivyo na...
Ana ujauzito wa miezi 5,nimejaribu kwenda hospitali mara kazaa wanasema ni hali ya kawaida.japo mtoto anacheza vizuri tu ila hii hali inanifanya nikose amani.kwani kabla ya hapo huku nyuma...
Baada ya kujamiana na MTU mwenye magonjwa ya ngono unachukua muda
Gani dalili kuonekana kwenye uume?
Maana duu,
Msaada wenu ni muhimu wajuzi
Muwe na asubuhi njema
Kwa wenye tatizo la tezi dume ni pm nikuelekeze kutengeneza dawa bure au nitext whatssap kwa namba 0628944712 nikuelekeze kutengeneza dawa bila malipo hata ya shilingi moja.
Ukihitaji...
Habarini!?
Naomba msaada wataalamu ni miezi miwili sasa tangu nijiunge na uzazi wa mpango ili kurahisisha kupanga uzazi sasa tatizo ni kuwa sina hamu tena na tendo sina kabisa sijisikii chochote...
Habari zenu na poleni kwa majukumu
Naombeni ushauri wenu, nina kiuvimbe shingoni upande wa kulia kimenitokea toka mwezi wa 3 mpaka leo hakijaisha. Pia naskia maumivu kwenye koo kama vile na...
Habari wadau ! Nina sumbuliwa na vijipele kama hivo kwenye sehem ya haja kubwa madaktar wa humu naomba mnisaidie dawa au ushauri manake haviumi ila kuna muda vinawasha tu ! Msaada tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.