Nasumbuliwa na endometritis,nimetumia sindano aina ya powercef lkn tangu nilipoanza kutumia sijapata hedhi ya mwezi huu na pia kula yangu ni ya shida sana,nimekuwa mtu wa kuchukia chakula na pia...
Naomba ushauli kuhusu ndugu yangu.
Anasumbuliwa na pumzi kutokufika kwenye moyo.ameshapimwa presha,x ray na ultrasound. Majibu Hakuna ugonjwa.
Ukimtazama ana afya nzuri natatizo hili likumshika...
Habari za leo Wakuu?
Naomba msaada kwa hili , Je Mwanaume na Mwanamke wanapotaka kukutana kimwili Mwanaume anaweza kuvaa Kondom Mbili kwa wakati mmoja ili kujikinga zaidi na maradhi?
Jamani mimi ninatatizo la uzazi, mirija ya uzazi imeziba siwezi kupata mtoto. Ndoa yangu ipo matatani, daktari amesema mrija mmoja umeziba na mwingine ni mild.
Amenipa dawa nitumie kwa miezi...
7 Dont's after a Meal
1. Don't smoke- Experiment from experts proves that smoking a cigarette after meal is comparable to smoking 10 cigarettes (chances of cancer is higher).
2. Don't eat...
Wadau habari za asbh,
Naomba kuuliza nn kina sababisha mtoto mchanga kubonyea kichwani sehemu ya mbele?
Na je ni tatizo kubwa? Kama ni tatizo ni nini suluhisho lake?
Tatizi hili huwatokea zaidi wanawake walio kaika umri mkubwa ingawa pia linaweza kutokea katika umri mdogo.Tunapozungumzia kulegea kwa misuli ya uke hapa kuna tofauti kidogo na kutanuka kwa misuli...
habar wadau nauliza ni ipi tiba ya taifod sugu..... Sasa nmeugua taifod mara kwa mara toka mwaka uanze n mara ya tano nkitumia dawa napoa baada ya mwez inarud... Nakunywa maji yalochemshwa jpo...
VVU huathiri sehemu nyingi za mwili wa mtu. Vinaweza kufanya hivyo kwa
njia mbili. Njia ya kwanza ni kwa kushambulia moja kwa moja viungo mbali
mbali, njia nyingine ni kwa kudhoofisha mfumo wa...
naomba kujua kuhusu hili tafadhali na pia naomba kujua ni njia gani itumike kuondoa tatizo hilo? nazungumzia kichaa cha mimba baada ya mwanamke kujifungua
Mtoto wangu ana miezi Tisa now alhamdulilah yupo vema
Ila kuna kitu kinanipa hofu,hajui kuongea ila anapenda kuita baba,tata eeh tena kwa sauti kubwa kabisa.
Shida ipo kwenye kucheka akicheka...
Habari za mwaka mpya wanajamii wenzangu ,natumai mu wazima mwaka huu tumevuka salama
Ni mara ya kwanza najitokeza jukwaa hili kuomba ushauri au msaada wa matatizo yanayonisibu mwenzenu
Umri...
Salam wanajamvi;
Leo napenda kwa ufupi tuangalie juu ya matumizi haya mabaya ya dawa ya kushusha presha almaarufu kama viagra kama kichwa cha nyuzi yetu kinavyojieleza.
Viagra ni dawa...
Habari wana jamiiforums!
Mm kijana wa miaka 24 nimepata tatizo kwenye korondani yangu ya upande wa kulia maana inauma Sana na nikijaribu kuifinyafinya Kama Kuna uvimbe ambao nikifika hilo eneo...
Mmeamkaje wadau wa jf?
Leo nmeamka salama lkn roho inauma yaani inadunda dunda sana. kila nikitembea najikuta nastuka mwenyewe na kua na khari ya hofu hofu.. na sina tatizo lolote sa sjui...
Haya maneno huwa yananichanganya sana si mimi tu bali hata watu wengineo.
Ninavyofahamu tabibu-ni yule mganga mwenye taaluma ya uganga wa diploma ama advanced diploma kwa kimombo C.O au...
Madoctor, wataalamu na wote mlio na uelewe wa ugonjwa huu naombeni mnipe majibu. Google imeniacha na maswali.
Huyu bwana ameugua kisukari kwa muda mrefu sana, figo zishafail anafanyiwa dialysis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.