Habari wakuu.
Huwa nikisoma vikaratasi vya maelekezo ya dawa, nakutana na ingredients zilizotumika kutengeneza hiyo dawa.
Najiuliza, wanaotengeneza dawa wametengeneza hiyo dawa kwa kutumia...
Ni kuhusu HIV, wengi huu ugonjwa umetuathiri kama sio sisi basi ndugu zetu wa karibu. ARV’s kwa kweli amekuwa mkombombozi na wengi wanaishi kwa miaka mingi tena wakiwa na afya njema.
Ukiwa...
Habari...
Nina tatizo la kuhisi kiu ya maji kila baada ya dk 10-20 kwa wiki mbili sasa.
kwa siku nakunywa maji lita mbili na nusu mpaka tatu, kiufupi najitahidi sana kunywa maji hata kama sina...
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu age 26 kwa kifupi nina maisha mabaya mno especially kwenye saikolojia kwan nimekuwa nikisumbuliwa sana na msongo wa mawazo, napiga sana punyeto ntajitahid kuacha ...
MSAADA KISAIKOLOJIA NINAANGAMIA
Habari wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale. Sijui hata nianzie wapi muweze kunielewa. Mimi ni kijana umri 26 muhitimu wa chuo kikuu kwa sasa nipo tu nyumbani...
Wakuu naomba mnaofahamu njia au vyakula vya kuongeza mbegu za kiume.Naomba nieleweke ni mbegu na sio wingi wa shahawa.Pia kuongeza speed kwa zile zinazoenda kwa speed ndogo.Nitashukuru sana kwa...
Emotional pain huwezi kuziekezea, tunapambana nazo bila ya watu wa karibu na sisi kuekewa. Ni rahisi kumcheka mtu kuwa dune zima limejiua huelewi kilichopelekea dume zima kufanya vile.
Kuna...
Wana jf nimekua nikipata Mambo mengi ya kunifunza hapa, ombi langu la Leo naomba kufaham kuhusu sindano ya ant D kuwa ni miezi gani ni sahih kwa mke kuchoma hyo sindano kwa mimba ya pili kwa kuwa...
Baba yangu mzazi alikuwa na historia ya kusumbuliwa na BP na hatimaye akaanza kupata dose kila siku. Baadae akaacha kutumia dawa na kumsababishia kuanguka disemba 2017 na kumuwahisha hospital...
Wanawake na wanaume wengi walio nje au ndan ya ndoa hawajui cku gan wanamke anapata mimba,ufanya tu kwa kubahatisha
leo ngoja niwatie kwa class
kimya naomba mnisikilize hata kama unajua bac...
haya manywele yananipa karaha. Kila nikinyoa upele huo.utakuta kila siku najikuna hadi najichubua.hadi staman kunyoa. Nini dawa au nifanyeje ili niondokane na hii hali.
Naomba msaada.
nawasalimu wakuu wa jukwaa hili. Heshima kwenu.
Nilikua naomba ushauri. mimi na mke wangu tumefunga ndoa siku za karibuni, na wote tumejiajiri, hivyo hatuna health benefits nzuri wanazopata...
Habarini wakuu. Nini tiba ya mfupa uliovunjika zamani na kupona kusikia baridi ukiwa maeneo ya baridi kali kama Mbeya, Iringa na Arusha.
Ukiwa maeneo ya joto kama kanda ya ziwa au Dar baridi...
Wana JF habarini.
Napata maumivu makali ya kiuno hasa ninapotembea au kusimama kwa muda mrefu na pia nina tatizo la mguu mmoja huwa kama natembelewa na wadudu kwa ndani/kufa ganzi hasa wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.