Wakuu khabari zenu, kwa anayefahamu hili tatizo tajwa hapo juu .."photoallergic contact demartitis" ni aina fulani ya allergy.
Kwa mtaalamu yeyote wa allergy (allergistic) basi naomba anisaidie...
Habari wataalamu
Poleni na hongera katika majukumu yenu yakila siku
Wakuu naomba kujuzwa ni nini hasa sababu na suluhisho la tatizo langu hili lililonianza wiki ya Pili sasa.
Wakuu nimekua...
Tupoe kwa mihangaiko ya hapa na pale toka tumeamushwa asbh mpk saiv tunakaribia kulala.
Jamani wapendwa naomba msaada kwa hili kwani napata shida sana, mm huwa nikila karanga za aina yoyote za...
Habarini za mida hii wana jf. Poleni na majukumu
Nilikua naomba kujuzwa au kufahamishwa kuhusiana na ukimwi kuanzia mwaka uliogundulika mpaka mwaka ulipoingia kwa wingi tanzania na afrika...
Umewahi kusikia uvimbe uitwao , uvimbe_jini, au kwa kingereza "monster_tumor"
hii ni aina ya uvimbe unaopatikana katika mji_wa_mayai_wa_mwanamke... pamoja na Ovary_and_fallopian_tube...
Nimefikia msimamo huo baada ya kutafakari haya:
1. Kiwango kikubwa cha matumizi ya tumbaku. Nimebahatika kutembelea mikoa mbalimbali hasa maeneo ya stendi za mabasi na baa na kujionea kiwango cha...
Habari wanajf nina kwa miezi saba nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya kibofu,njia ya mkojo,pumbu na uume nimezunguka sana hata kwa maurologist lakini sipata nafuu wala dawa nilizopewa hazijawahi...
Habari wadau wa Jf,
Nina kijiswali ambacho mara nyingi huwa naulizwa na watu mtaani kuhusu upungufu wa nguvu za kiume, nilijua ni swali jepesi lakini pindi ninapojibu huwa napata changamoto...
Habari zenu wakuu.
Mara nyingi nimekuwa nikienda hospital au maabara na friends wangu majibu karibia ya watu wote yanakuja sare..
Mfano vipimo vya malaria, typhoid na UTI majibu huwa yanarudi...
Week iliyopita nilikutana na tatizo LA kukohoa damu kama damu na cyo makohozi yenye damu week hii tena cku ya juma tano hali iyo imejirudia kwa muda mfupi tu kama 1dk. Naomba kujua tatizo hili...
Wasalaaam.Mwanaume umri miaka 34 tatizo langu ni maumivu makali pembeni ya goti (sio goti zima)la mguu wa kushoto hasa kipindi cha baridi(Nipo arusha) ndio napata Haya maumivu Mara nyingi.Hi ni...
Habarini wakuu,
Naomba kujua faida na hasara ya maziwa ya soya kwa mtoto, na wapi naweza kupata bidhaa hii adimu" na inakuwa katika mfumo wa unga ama maji??
Asalaam.
How To Manage Stress At Work?
 Create A Plesant Work Environment
 Manage Your Time
 Avoid Feeling Guilty
 Dont Think That Your Are A Perfectionist...
Natumai mu wazima wa afya
Mdogo wangu anakohoa sana usiku Siku mbili hajalala sababu ya kukohoa pia analalamika kupumua kwa shida sana na kifua kumuuma na kubana
Tafadhali naombeni msaada was...
Wakuu,
Mwenzenu magonjwa madogo madogo k.v. Kichwa kuuma, Kifua kubana, Msongo wa mawazao, na hata Maumivu ya Tumbo...huwa natuliza kwa Shots kadhaa za Konyagi, Malaria ndo ishaji-ban kabisa...