Salaam wana JF
Nina mtoto wa kike wa miaka 5
Kwa muda mrefu huyu dogo hapendi kula ingawa vyakula kibao vyenye lishe anapewa
Mtoto anaishi na mamake mi Niko nae mbali yani nipo mkoa mwingine...
Dah! Huwa nasikia tu kuna watu wazima wanakojoa kitandani but sijawahi kukutana nae mpaka week iliyopita ndio nikaprove.
Kuna bidada mmoja tumetokea kupendana sana but tulikuwa hatujawahi kula...
ndugu nimeng'oa meno mara nne licha ya kufanya dental clinin kila baada ya miezi mitatu lakini bado meno yananisumbua. Yanauma. Sitaki kun'goa tena naombeni mniambie ni dawa gani inatanisaidia...
Msongo wa mawazo unajulikana kama sehemu ya maisha ya kawaida. Mwili wako unaweza kuitikia hali hii kiakili na kimwili. Hata hivyo msongo wa mawazo unaweza kusababisha athari mbaya kwako.zifuatazo...
Ndugu zangu nahitaji ushauri wenu wa kitaalam mke wangu hajaziona siku zake (kuingia bleed) kwa miezi miwili sasa, mara ya mwisho ilikua tar 20 Jan tulipia kwa kipimo cha kununua tukihisi labda...
Msimu wa mvua na baridi huambatana na mafua na kifua. Dalili zinaweza kuanza na homa kali, inayobatana na joto la mwili kupanda.
Ni mazoea ya wengi kutibu dalili hizi kwa antibiotics wakiamini...
Madokta nisaidieni maana ni ghafla sana nilianza na kuwashwa sana ikafata uchafu mweupe nikajua ni fangasi maana natumia choo cha public sana, nashanga kimeota kijikipele kama cha homa hapa juu...
Ninatumaini Pasaka ndio imeisha kwa usalama,
Napenda kujulishwa kitaalamu hasa kwa waliobobea katika masomo ya baiolojia kipengele cha viungo na matumizi yake (anatomy and physiology).
Hivi...
Habari,naomba msaada wa kuchagua hospitali ya kufanyiwa operation ambayo hawatanichana lakini wataniingiza chombo mfano mrija na kutoa uvimbe kati ya hospitali zifuatazo ipi inatoa hiyo huduma ya...
Habari zenu wakuu,
Huwa nasumbuliwa sana na usingizi (usingizi kuja mapema) hasa wakati ninapokuwa napiga kitabu usiku(Ni mwanachuo)..
So naomba kufahamishwa kuwa nikitumia glucose inaweza saidia...
Mimin binti wa miaka 24 na nna mtoto mmoja wa kike namshukuru mungu kwa zawadi hii. Kinachoniumizana kunipa mawazo n kwamba nilipojifungua mwaka 2016 nilikuwa napata bleed kila baada ya wiki 2...
Wakuu nimekuwa na wakati mgumu sana, naombeni ushauri miezi kama mitano hapo nyuma kuna kama vipele vilinitoka kimoja kimoja nikachukulia poa tuu nikaenda navyo vikaisha ila vikaacha makovo...
Tuna mwaka na miezi 3 toka tuanze uhusiano mwanzo nilikua namuandaa anatoa ute wakutosha kabisa ,ila kadri siku zinapozidi kusonga hata nimuandae vipi ute unatoka lakini wakulazimisha mno!!
Hali...
Salamu zenu wana JF,
Leo nataka niwaelimishe wadada wanaopenda kupaka lipsticks mdomoni moja ya vitu vinavyounda lipsticks ni heavy metals kama vile mercury na silver.
Madhara yake ni nini...
Na Dk Shita Samwel, Mwananchi
KWA UFUPI
Jicho ni kiungo ambacho binadamu anapaswa kuwa makini kukilinda maana kuwapo kwake kunasaidia viungo kutenda kazi vyema.
Jana Tanzania iliungana na nchi...