Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mwanamke mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi,anaweza kunyonyesha maziwa yake na kuchanganya ya kopo kwa mtoto mwenye miezi2?na kama ukifanya ivyo mtoto atapata madhara gani?msaada wenu plz.
1 Reactions
2 Replies
593 Views
Salam! Jamani bila kupoteza muda Mimi ninatatizo ,na nila hivi karibuni. Naota bila kufaham sometimes nakikumbushwa nakumbuka lakini sio kila kitu, wakati mwingine sikumbuki, najua kuota sio jambo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je mwanamke mjamzito anaweza kunywa juice ya ubuyu mweupe naomba msaada kujibiwa
1 Reactions
3 Replies
602 Views
The penis requires exercises to stay in shape. Similar to weight training, if you don't use it you lose it. The penis needs nutrients to keep its tissue and blood vessels in healthy. It...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Nikifanya mapenzi na mwanamke ananilalamikia kupata maumivu ya tumbo la uzazi baada ya manii yangu kumuingia Je nina tatizo gani kwenye manii yangu tiba yake ni nini? Naomba msaada manake naona...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ni kawaida kwa mwanaadamu aliye mzima kupenda kuwa na mtoto, na kwa namna ya upekee katika kuumbwa kwa mwanaadamu, hakuna njia nyingine yoyote ile ambako mtoto anaweza kupatikana bila ya...
4 Reactions
27 Replies
30K Views
Habarini wapendwa, Naombeni msaada, Ni takribani miezi miwili sasa nasikia maumivu katikati ya kifua changu, yaani sehemu ambapo mbavu za pande mbili zinapokutana sjui ni nini hasa, inanitokea...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau me nasumbuliwa na mbavu zinanibana sana na siwezi kupumua vizuri nimepiga x-ray hakuna tatizo muda mwingine kiungulia kikali na tumbo kujaa gesi na kichomi upande wa kushoto mbavuni
0 Reactions
1 Replies
886 Views
Nimeish namwanamke si chin ya miezi 3 sasa ata dalili zaujauzito hakuna, naisi namatatizo sasa
0 Reactions
4 Replies
707 Views
Habari za wakati huu wakuu naomba kujuzwa je kuna uhusiano wowote wa ukuaji wa haraka wa ndevu pale zinaponyolewa kwa kutumia mashine za umeme? Na ni njia ipi sahihi ya kuzuia ukuaji wake...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Hapo zamani za kale tuliishi kwa matunda an mizizi. Tulitembea umbali mrefu kutafuta mizizi an matunda haya. Mungu aliuwezesha mwili kuhifadhi chakula kwa njia ya mafuta. Hivyo ukikosa chakula...
19 Reactions
54 Replies
7K Views
Nina uume kwa urefu ni zaidi ya inch7 na upana kama mguu wa mtoto! Awali nilikuwa naona kama sifa lakini hivi karibuni nimegundua yakuwa mke wangu hafurahii tendo la ndoa na mara nyingi amekuwa...
7 Reactions
101 Replies
43K Views
Man has 'world's worst' super-gonorrhoea
0 Reactions
0 Replies
665 Views
Naomba msaada wa aina ya dawa nzuri kwa ajili ya mtu mwenye pinworms-wanajitokeza kwenye haja baada ya kujisaidia
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana Jf natumaini mu wazima wa afya Kama kichwa kinavojieleza sikio langu moja linasikia kwa mbali nilikua nkmelala jana mchana kuamka nikawa katika hali iyo naombeni ushauli wenu au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Abari za kazi,nina tatizo la mkojo yani kuna wakati nakojoa mkojo kma wa moto vile unaambatana na maumivu kwa mbali,lakni wakati mwingne nikinywa vitu kama maji,bia nakojoa mkojo wa kawaida tena...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wakuu, poleni na miangaiko ya hapa na pale, kama isemavyo kichwa cha habari hapo juu ni ningependa kujua kama kuna tofauti kati ya hizo vipimo nilivyoandika hapo juu. Na kama...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Nina tatzo la kzunguzungu sana...nahs kama vile ubongo unamaji ...nashndwa hata kutembea kwani nashindwa balance ...naombeni msada wenu dr.
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…