Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Moja kwa moja kwenye mada ni katika hali ya kutaka kujua baadhi ya mambo wakuu hivi suala la upungufu wa nguvu, lipo kwa mwanaume tuu ama kwa mwanamke pia, na kama ipo je huko hali iko vipi ama...
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Hello.. Mimi ni mwanasayansi na mwanatechnolojia wa Vyakula. Napenda kuwataarifu walewote wanaoshumbuliwa na magonjwa yatokanayo na vyakula mfano. KITAMBI, NYAMA ZEMBE, KWASHAKOO, UTAPIA MLO...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huku nikisononeka naanza kuandika uzi huu. Kifupi nimejariwa sura yenye midevu, ila katika chaguo la namna ya muonekano nilichagua kuwa nazinyoa na kuacha kidevu cha mbuzi Mwanzo haikuwa tatizo...
0 Reactions
5 Replies
792 Views
Gastroesophageal reflux Disease,kwa kiswahili fasasha unaitwaje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
refer threadhttps://www.jamiiforums.com/threads/mtoto-wangu-hapati-choo-vizuri.1415871/ nashukuru sana kwa ushauri wenu tulizingatia ushauri ufuatao na mtoto anapupu kila siku sasa tena...
1 Reactions
5 Replies
970 Views
Jamani naomba kwa yeyote anayejua tatizo hili anisaidie,mimi huwa nikiwa na msongo wa mawazo basi mgongo huwa unakuwa kama unawaka moto maeneo ya karibu na kiuno;hali hii huwa inanifanya nikose...
0 Reactions
1 Replies
13K Views
Hbr za pililkapilika wana jf leo ningependa kushare madaktari bingwa wa watoto kutokana na uzoefu kwa kutibiwa au kusikia kwa upande wangu daktari namba 1 nikikwama kabisaa kwny hosptal za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dah! Hivi mtu mdomo unavyonuka mwenyewe unakuwa husikii au!? Yan asubuh mida ya saa 3 nmepanda mwendokasi nmekaa na mtu mdomo kapuyaaaaa!! Af ye hana habari anaongea na simu tu tena kwa saut ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau.... ni hospitali gani naweza kwenda kumtibu mtoto mdogo wa 2yrs ambae mguu wake mmoja umepinda kidogo?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwenu wanabodi, Nimekuwa nimefanya utafiti katika kupata huduma ya macho ambayo yamenisumbua tokea darasa la 6,nilikataa kutumia miwani mpka nafika umri huu miaka 22 nimefika chuoni naona sasa...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa kama tunavyofahamu mtoto pindi anapokuwa tumboni hupata chakula kupitia mama yake kile anachokula na kunywa lakini nilikuwa nataka kujua kwa sababu kila unachokula lazima ukitoe...
0 Reactions
24 Replies
11K Views
Jamani habari zenu kama title inavyojieleza hapo juu nina ndugu yangu ana tatizo la uume na jirani yake unakuwa wadogo na kuzama ndani naomba msaada wenu kwa wenye utaalamu juu ya hili
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Mimi hua nikipendana na mwanamke, akianza kunipa mzigo jua hapo amenitikisa. Yaani kwa wiki tunafanya siku 6 na nisha koma kukojoa nje. Yani nikikojoa ni ndani kwa ndani. Ila hashiki mimba. Na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mke wangu ni mjamzito anajskia maumivu ya mwili je ni sahih kutumia mifupen?
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Ndg wanataharuma, naomba kufahamu side effect ya matumizi ya Magic,, chemical inayotumika kunyolea hasahasa ndevu
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Kwanza habari za wakati huu, Mimi ni kijana kutoka jamii ya kimasai, wazazi wangu walinitoga masikio na kung'oa jino la chini kama mila na desturi za kabila letu. Sasa walinifanya hivyo nikiwa...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu,,naomba kufahamishwa bei ya knee replacement pale MOI.Na pia ningependa kujuwa kama bima ya afya ina cover upasuaji huo.Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
2 Replies
707 Views
Consider the pictures below
1 Reactions
2 Replies
914 Views
Kama unapenda kula chips tafadhali soma hapa:- Ulaji wa chips umetajwa kuwa hatari kwa afya ya binadamu, kwani husababisha maradhi mengi yasiyo ya kuambukiza hasa figo, moyo , shinikizo la...
4 Reactions
44 Replies
13K Views
Wanajamii habari za Leo. Leo juma tatu tareh 19/03/2018 nimeenda na Mke wangu kupima ukimwi baada ya kuwa na mimba ya miezi sita. Kiukweli hili jambo la kupima ugonjwa huu siyo rahisi kabisa na...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…