Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari wanaJf Kitaaluma si daktari, ila nimeona kwa wenye matatizo ya miguu kama mimi hii article inatufaa.Kwa hisani ya Azam tv Medicounter.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau nawauliza je Jakaya kikwete CARDIAC INSTITUTE wanatibu kutumia kadi ya strategies,kwani mwanangu anaumwa ugonjwa wa moyo na sina pesa kwa sasa hivi je wanapokea kadi ya bima ya strategies...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Faida za mmea wa aloe vera au mshubiri Na Fadhili Paulo kutoka fadhilipaulo.com 1. Huondoa uvimbe katika jicho Weka kiasi kidogo cha majimaji ya mu-aloe vera freshi kisha kuamka asubuhi...
0 Reactions
2 Replies
27K Views
Za jumamosi wapendwa.nisaidieeni mwezenu uti unanisumbua sana.nishaachoma sindano kama mara mbili,vidonge ndio usiseme, lakini hali imerudia tena. Sehemu za Siri nahisi kama inawaka moto,na...
0 Reactions
1 Replies
860 Views
Jamani naombani msaada, nina tatizo la kuugua magonjwa hayo matatu kwa muda wa miaka sita, nikitumia dawa napata nafuu ila baada ya wiki mbili nikipima na kuta bado ipo, hili tatizo linasababishwa...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Habari Wana JF, Mke wangu ana ujauzito wa miezi mitatu hivi, Mara nyingi anakua analalamika kua "tumbo linakua linavuruga", Naombeni ushauri wadau labda je hii ni ishara ya kawaida tu kwa...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Habarini wakuu naomba msaada wakitaalamu kuna kitu kinachoma kifuani upande wa ziwa la kulia linavyochoma ni kama kichomi ila nashindwa kukiita kichomi kwasababu kipo kifuani na sio mbavuni...
2 Reactions
20 Replies
30K Views
Habari za majukumu wakuu. Naomba kufahamu kwa amabao wamekwishafanyiwa upasuaji inachukua muda gani mpaka kidonda kuwa kimepona kabisa.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za wakati huu waungwana. Nina swali dogo nauliza, je ile damu ya hedhi inaweza kusababisha maambukizi ya virusi vya Ukimwi??
0 Reactions
42 Replies
16K Views
Wife ana mimba ya miezi mitatu na siku, alipojua ana mimba tu nilimuomba kuanza kwenda hospital mara moja, alipewa vidonge vya Folic acid ambazo alizitumia kwa kipindi chote cha siku 30 sasa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau nimetafuna cofta je naweza kutumia kileo chochote?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wana jamvi. Nimeona nifuate ushauri wa wajuzi na wazoefu kwenye tasnia hii ya masuala ya Afya na uzazi. Niko na mahusiano na mwanamke kwa takribani mwaka hivi sasa, Imetokea hii January...
0 Reactions
22 Replies
10K Views
Leo nimeenda Hospital mmoja ya mkoa nimefika pale,nikaulizwa Nina bima ni kasema hapana sasa gharama ni kama ifuatavyo; 1.Kufungua faili -2,500/= 2.Kumuona dakitari-10,000/= 3.X-Ray-15,000/=...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za muda huu waungwana, Nina swali kidogo nahitaji majibu, je ile damu ya hedhi kwa mwanamke inaweza sababisha maambukizi ya virusi vya UKIMWI?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Ukomo wa hedhi ni kipindi ambacho mwanamke anaacha kuziona siku zake kama ilivyokuwa tangu anavunja ungo. Kitaalamu, hiki ni kipindi ambacho mwili wa mwanamke unaacha kuzalisha homoni za Estrogen...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ndugu zangu mama angu kapata kama stroke ila anatembea ingawa kwa shida, ila ana matatizo mawili, la kwanza kapoteza kumbukunbu, la pili ana shindwa ku sense pale anapohitaji kupata kujisaidia...
2 Reactions
4 Replies
951 Views
Jamani mwenzenu nina meno kama sita hivi yametoboka na tayari nishang'oa manne kwa sababu tofauti tofauti.Mawili yalikuwa yameota vibaya na mawili yalikuwa yametoboka haswaa hata kuziba hayafai...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Kila kitu alivyokiweka mwenyeziMungu usikichukulie poa, kina faida lukuki. Kulia ni kutoa machozi kwa uchungu au kwa furaha. Kulia kunaweza kuambatana na kutoa sauti ya kilio au kulia kimyakimya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hivi kahawa yenye mchanganyiko wa sukari na maziwa (3in1) sugar 15 g per saving inafaa kwa mgonjwa wa Diabete type 2.na kama inafaa mgonjwa wa aina hiyo anashauriwa aitumie mara nga pi kwa siku?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Lishe kwa Mgonjwa wa Kisukari: Matunda ni chakula bora, lakini mengi yao yana sukari nyingi kwa hiyo ni vizuri kula si zaidi ya 2-3 kwa siku ukihakikisha kupunguza ulaji wa zabibu, embe, ndizi...
2 Reactions
5 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…