Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenu wana jf kuna mtu wa karibu yangu anapatwa na tatizo kwa siku kama mbili. Anasumbuliwa na muwasho ukeni pamoja na harufu kali pia wakati wa kukojoa mkojo unakuwa wa njano sana alafu...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Habari jioni wapendwa,tafadhalini mwenye uelewa juu ya hili anisaidie nawaomba nimeugua maradhi ya zinaa zaidi ya mara tano au zaidi,kilichonipelekea kuandika uzi huu ni kwamba korodani...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Wataalam naombeni msaada wa kunielewesha nini maana yake hapo kwenye "4 chambers of heart" report limetokana na upimaji wa ultra sound kwa mjamzito. Mungu awatangulie.
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Salam kwenu wana jf, kama kichwa kilivyojikita naomba kufahamu ni vyakula gani vinasaidia kuweka vizuri saikology ya mtu...?
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari ya leo wana jamvi naomba kujua mjamzito kuumwa kiuno ni hali ya kawaida Kama si hali ya kawaida ni nini kinasababisha na suluhisho la haya maumivu ni nini?
0 Reactions
4 Replies
22K Views
Habari Zenu Wakuu Refer to the topic above. Well nimekua nikisoma faida za aloe vera kwenye internet kwenye afya na mwili wa Binadam na jinsi inavyoweza fanya ngozi ya mtu kuwa nadhifu na yenye...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
wadau kwema??nimeng'atwa na n'ge mida hii,,na nimethibitisha baada ya kumuua,,nasikia maumivu makali sana maana ameniuma mkono wa kushoto,huduma ya kwanza ni ipi nijisaidie...
0 Reactions
7 Replies
907 Views
A shortage of HIV testing could undermine global efforts to diagnose and treat people with the infection, warn experts from the World Health Organization. They looked at responses to annual...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu naomba kujua mwili kuishiwa na nguvu mara kwa mara ni dalili ya ugonjwa gani?
1 Reactions
8 Replies
40K Views
Matumaini yangu mu wazima, Ninahitaji msaada wa haraka, nimetokewa na uvimbe mdogo size kama tunda la mzabibu ni kidogo kwa nje hakionekani isipokuwa nikishika sehemu hayo ya taya ndipo nikibinya...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Wakuu naomba kujua matibabu ya ugonjwa wa presha ya macho unanidumbua sana..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
vijana wadogo sana wamekuwa wanasumbuliwa na ugonjwa maaruf kama gono
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wanajukwa! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo juu, Naomba mwenye kitabu, au sehemu naweza kukipata iwe kwa njia ya mtandao au soft copy kama mtu anayo naomba kusaidiwa. Kitabu...
1 Reactions
2 Replies
896 Views
Nilipata tatizo la jino langu kutoboka, kiasi kwamba nilishauriwa na daktari wa meno kung'oa, baada ya daktari kung'oa jino pamekuwa na maumivu kwenye pengo na kwenye fidhi karibu na pengo pale...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wana JF Doctors nimeikuta hii pic mahali imenikera sio tu kimaadili ila pia nikafikiria kiafya pia kwa mimi ambae sina utaalamu mkubwa wa masuala ya afya nimeona hatari nyingi sana kwa mtoto huyu...
4 Reactions
24 Replies
7K Views
Habari zenu waungwana naomba msaada, nilipima mkojo na majibu ya vipimo ni Macro: yellow specimen Micro:puss cells 35 - 40 hpf je ni sahihi kuandikiwa ciproffluxin kama dawa kwajili ya hilo?
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Nimeshiriki zoezi la uchangiaji damu salama la tarehe 10/02/2018 mkoani kilimanjaro lakini napatwa na tatizo la kuumwa na kichwa nyuma ya kisogo kwa chini je inaweza kua imesababishwa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Za muda huu wadau nianze kwa kusema kuwa nina muda mrefu sijafanya mapenzi ila siku chache nilianza kama kuwasha sehemu za siri. Basi nikaambiwa nikipataka limao muwasho utaisha maana hiyo ni...
0 Reactions
28 Replies
10K Views
kwa sasa kuna wimbi kubwa la watu ambao wanasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume, wengi wao matatizo yao yanatumiika kwa kubadili mfumo wa maisha tu na wachache ambao wamejiharibu kwa kujichua na...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu? Naombeni msaada jana nimechukua jani la mwalovera nimekatakata nimeloweka masaa 2 nikanywa nusu glass baada ya hapo usiku nimeumwa sana tumbo na kuharisha sasa sijui tatizo ni nini...
3 Reactions
31 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…