Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Huu ni ukweli ambao wapiganaji wengi wanaogopa kusema kwa uwazi. Usiombe ujichanganye hovyo nyau nyau kwa pisi kali. Azuma haifanyi kazi kwa UTI ya kali jichunge, naishia hapa mtaongeza ushuhuda...
9 Reactions
18 Replies
674 Views
Habari wana Jf,Nini ni husababisha mwanamke kukaukiwa na majimaji ukeni wakati wa tendo la ndoa na baadae kuanza kupata mchubuko,na nini kifanyike ili kutibu tatizo hilo,Mwanzo nilidhani kumuandaa...
7 Reactions
65 Replies
7K Views
Hellow guys, Mimi ni Mwanamke wa miaka 25 mpaka sasa, nina mume na nampenda sana. Tabia ya kujichua niliianza mwaka 2019 nikiwa Chuo mwaka wa kwanza ambapo Ex-boyfriend wangu aliniambia...
18 Reactions
66 Replies
4K Views
Mnisaidie kusoma majibu ya hicho kipimo.
0 Reactions
21 Replies
1K Views
Nimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden. Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025. Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna...
9 Reactions
111 Replies
2K Views
Wadau Habari zenu, Naomba kufahamu zaidi kuhusu haya manukato (mafuta) yanayoitwa Bint Sudan ambayo watu tofauti huyatumia kama manukato tu ya kawaida na wengine tiba ya mambo tofauti kama kunuka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu poleni na majukumu. Mke wangu ni muda sasa analalamika maumivu anasikia wakati wa tendo la ndoa kupelekea hata mimi sifurahi tendo lenyewe. Je, tatizo nini itakuwa?
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada...
44 Reactions
1K Replies
353K Views
Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini 1. Ukimuita jina lake hageuki 2. Anapiga makelele tu 3.kuna wakati...
30 Reactions
223 Replies
8K Views
Habari, Nina mtoto wa miaka 7 anatapika damu fresh. Tatizo hili limetokeza Kama siku 18 zilizopita. Nimempeleka hospital ya Benjamini Mkapa . Kwa kutumia kipimo Cha kuingiza tumboni wamegundua...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Wasalaam madaktari na wahenga... Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili. Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri. Kwanza ameokoka na katika uchumba...
19 Reactions
214 Replies
7K Views
Mimi ni HIV positive, lakini bado sijaanza kutumia dawa za ARV'S, na mwili wangu unawasha sana hasa wakati wa usiku. Nini dawa ya kupunguza au kuondoa tatizo hilo la muwasho?
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Habari zenu wana JF!! Samahani sana kwa usumbufu, naombeni msaada wenu nifanyeje mwenzenu yamenikuta nipo njia panda sina cha kufanya. Mwanangu bado mdogo miezi minne tu sasa na tayari nina...
15 Reactions
398 Replies
133K Views
Je, ni kweli viporo vinadumaza mwili na akili.
4 Reactions
12 Replies
421 Views
Katika kupita pita kwenye mtandao nilikutana na calories calculator hii hapa http://bit.ly/1qDxrrO ambayo, inakokotoa calorie unazotakiwa ule kwasiku hiyo ni kutokana umri ,kilo zako na urefu...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema, ugali na nyama ya utumbo wa ng'ombe kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo inafaa au haifai? Wakuu naombeni mnijulishe.
2 Reactions
2 Replies
635 Views
Wiki ya Unyonyeshaji Duniani hufanyika katika wiki ya kwanza ya Agosti kila mwaka, (Agosti 1-7) Kaulimbiu ya mwaka 2024 ni Kuziba Pengo: Msaada wa Unyonyeshaji kwa Wote, ikilenga kuwaandimisha...
1 Reactions
1 Replies
877 Views
Habarini madaktari. mtoto wangu wa miaka 8 amepata tatizo la chronic tonsils ( nilisikia madaktari wakisema kuwa hizo tezi zimekuwa septic. ameandikiwa sindano kwa siku 7 sindano hiyo inaitwa...
4 Reactions
22 Replies
37K Views
Denis Mpagaze 1. Haya matunda watu wa Songwe, Mbeya, Iringa na Njombe wanayaita masongwe; wahaya, wanyambo na waganda wanayaita tuntunu! 2. Waha, warundi na wanyarwanda wanayaita intumbaswa...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…