Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Problem solved
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Toka nimepata akili kuna dhana tumejengewa kuwa mtoto akizaliwa ususani wa kiume ,basi shart mzazi mwangaloe kwa makin na kuwa kitovu kikikatika kisidondokee kweny uchochoro wa uboo. Tafadhali...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
habari zenu.. samahani mimi ni mvulana wa miaka 19 ninatatizo tangu nibalehe sijawahi kumtamani mwanamke, ila nina feeling ya kuwafanya ma gay but mm iko kitu sikipendi coz namwogopa sana mungu...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni vyakula gani mtu anaweza kutumia ili kuzuia wembamba wa kupitiliza hali hii ya wembamba inanikosesha raha mda mwingne, maana mimi ni mwembamba kupitiliza nilishawahi kwenda hosptalini kupima...
1 Reactions
61 Replies
8K Views
Habari za jumapili wakuu nimeamka naona upande mmoja wa shingo yangu inauma nashindwa kugeuza shingo nageuka upande upande shida inaweza kuwa nini
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina dawa ya asili ya kuondoa michirizi ya ngozi inayotokana na mimba,unene na kutumia vipodozi vikali.Inaondoa kwa mda wa mwezi mmoja.Kwa mawasiliano zaidi pigs 0715 942 744.Niko Dar
0 Reactions
4 Replies
12K Views
jamani mi nikijana wa miaka 20 na sijawahi jiusisha na mahusiano kutoka na nakuwa na uume mdo nikiogopa kuaibika kwa yeyote mwenye kuijua dawa ya kuepukana na tatizo ili nahitaji msaada jamani
0 Reactions
16 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Nauliza utofauti wa wataalam wafuatao: Nutritionists Dietitians Herbalists Je kwa hapa Tanzania, hawa wataalam wanatoka wapi!? Je jamii na serikali inanufaika na wataalam wapi kati ya hao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habarini za mihangaiko. Ninatatizo la kuumwa na mishipa ya kichwa (katikati ya nyusi za uso na sikio) upande wa kushoto na kulia. Ni tatizo lililojitokeza kama wk mbili hivi zilizopita...
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Natumaini wote ni wazima humu ndani. Nina tatizo hivyo nahitaji kumuona mtaalamu wa mambo ya saikolojia au kuunganishwa na mwanasaikolojia yeyote ila nikimpata aliyopo mbeya nitafurahi zaidi...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Satute, Niende moja kwa moja kwenye mantiki, mke wangu ziku zake za hedhi zimetokea kuvurugika tu, hivo napata mtihani mkubwa sana kujua siku zake za hatari. Ziku zake za hedhi kwa miezi ya...
3 Reactions
216 Replies
39K Views
Jamani naombeni anayemfahamu mtu anayetibu pumu kwa kutumia miti shamba anijulishe
1 Reactions
32 Replies
15K Views
Kuna wanapenda sana kutematema mate ovyo hata mbele za kadamnasi. Unakuta mtu anajikoholesha halafu anatengeneza mate mdomoni na kuyarusha 'paapu' kama nyoka aina ya cobra. Kutema mate ovyo ni...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
HIV 2020 Gazing into the crystal ball at the epidemic’s future reveals many exciting advancements. Lower infection rates is just the beginning. June 26, 2017 • By Benjamin Ryan In the eyes...
2 Reactions
1 Replies
990 Views
FEATURE STORY Germany—ending AIDS by 2020 12 MAY 2017 Sitting in his Mini Cooper, sporting traditional Bavarian lederhosen and a smart black waistcoat, Maik is a picture of health. It is hard to...
1 Reactions
4 Replies
863 Views
Habari wanabodi; Hivi hili gonjwa hatari zaidi lipo au it is just a myth? Kinachonifanya nidhani hivyo ni kwanini mtu haumwi ile serious kabisa mpaka akishaenda kupima huo ugonjwa? Nimekutana...
7 Reactions
70 Replies
8K Views
VIDONGE VYA NGUVU ZA KIUME VIAGRA VYAUA WATU 86 NCHINI UINGEREZA Stori: Mwandishi, Wetu Wikienda Dar es Salaam: Wamekwisha! Imebainika kuwa watu wanaotumia vidonge vya kuongeza nguvu za kiume...
0 Reactions
13 Replies
12K Views
Wana JF naombeni msaada km mtu anauelewa wa hili jambo.mtoto wangu anaonekana kupungukiwa damu mara kwa mara.kuna dawa walinipatia nikawa nampa lkn haijamsaidia.nimetumia kumpatia matunda na juice...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Unaweza pimwa/fanyiwa kipimo hiki ukiwa umeshakula? au ni kipimo gani ambacho hufanyika ukiwa tu hujala? asanteni kwa muda wenu na ushauri in advance
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hakuna atakaye kataa kuwa kulala ni kitu kinachopendwa na watu wengi. Hata kama ukikataa haitaondoa ukweli kuwa unatakiwa kulala baadae. Hata hivyo unajua kwamba kama hautalala zaidi ya masaa 72...
6 Reactions
9 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…