Malezi ya mtoto akiwa tumboni.
Wataalam wa afya wamethibitisha kuwa baadhi ya vyakula vina uwezo mkubwa wa kujenga uwezo wa mtoto kujifunza na kujenga akili yake na vingine vinaweza kuharibu...
Nimefikia lengo wakuu!!
Tangu nakua nilikuwa na malengo ya kuwa na watoto wanne kila mmoja akiwa na mama yake.
Lengo limefikia na hata kupita maana sasa kuna watoto watatu na mimba mbili nimeona...
SLIM& TRIM
1; PRO-SLIM TEA
* Accelerates metabolism and degradation of fat
* Burn fat as fuel to reduce the lipid content of the body
* Reduce absorption of dietary fat and helps...
Ni kwa wkt mwingine tena tukijaribu kuapdate na kureview bidhaa zetu zile adimu dunian zilizo konga nyoyo za watu kwa utibu magonjwa yoooooote yale sugu yaliyo shindikana kutibika na kumaliza...
Wakuu naombeni msaada mimi ni mchezi mpira ila kwa takrbani miaezi 5 ninasumbuliwa na tatizo la nyonga nimeshauriwa kutumia aina mbali mbali za dawa za kujichua na majani ya mnyonyo na kupaka...
Wataalam. Mwili wangu unawasha mnoo yaani hasa wakati wa jioni nikiwa nyumbani. Sehemu mbali mbali huwa zawaasha sivimbi mwili ila nawashwa kama vile nimegusa upupuuu.
Msaada katika hili
Tatizo la nguvu za kiume.
Upungufu wa nguvu za kiume ni
ugonjwa ambao mwanaume
hushindwa kusimamisha uume na pia kushindwa kuendelea kubaki imara wakati wa tendo la ndoa.
Uume kusimama hutokea...
Wasalaaaaaam wana jamvi!
Kama mnavojua mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo humuumbua. Juzi kati hapa nilikua kwenye semina flani hivi hukoo mahala kwa muda wa wiki mbili.
Kwa eneo...
Wakuu poleni na majukumu, kama kichwa kinavyosema hapo naomba kujua kama kuna kipimo cha kujua tarehe halisi uliyopata mimba.
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama zilivyo dawa nyingine zote, bangi inaathari kwa mwili wa binadamu — baadhi zenye manufaa lakini nyingine zenye madhara.
Ingawa wengi wanaifahamu kwa athari zake zinazojulikana kama macho...
Kaifah hali jamia...
Wanaume wote leo nawapen dawa ya kuboost nguvu zako za kiume ..km wasemavyo ktk jamii ya kileo uzur wa mwanaume si sura,umbo(six pack) wala fedha ila uzur wako mwanaume ni...
habari za mda na wakati huu wana JF. ninaswali ambalo linahusiana na maswala ya ngozi...tatizo la kutokutokwa na jasho huwa linasababishwa na nini au chanzo ni nini?
Wakuu kitambi changu kinanisumbua, ikizingatiwa mimi ni mwanamama. Nguo hazikai vizuri. Naomba mnisaidie "Diet" na mpangilio wa chakula kuanzia chai, lunch na dinner.
Mambo yafuatayo hufanywa kila siku
pasipo kugundua kuwa yanaathiri afya zetu.
1.Kukaa kwa muda mrefu.
Kwa wakati flani, watu hutumia muda wetu tukikodolea macho kompyuta. Tafiti zinaonyesha...
MADHARA YA KUTOA MIMBA.
Kutoa mimba ni nini? Hii ni hali ya mwanamke kwa hiari yake mwenyewe kuharibu mimba iliyoingia ndani ya kizazi chake.
Hebu tuyaangalie madhara ya kutoa mimba kama...