Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mtoto wangu anaugonjwa wa jipu ambalo likiiva na ukalikamua baada ya miezi mitatu linaludia tena nimejaribu kumpeleka hospital kunawakati dawa alizo pewa...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Aman iwe kwenu wakuu. Wakuu nina ujauzito wa week40, lakini mpaka sasa naona kimyaaa mambo hayaja nichanganyia, napata maumivu sna hasa ya kiuno na mgongo. Je nikawaida niendelee kuvumilia au...
1 Reactions
10 Replies
8K Views
Jamani mi naomba nieleweshwe kwa wale watu wa biology. Kuna mdada aliekuwa mpenzi wangu kashajifungua mtoto ana kama miaka miwili hivi na sio siri yule mtoto anafanana na mimi aslimia mia ila...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamvi habari za siku. Naombeni msaada wa namna ya kupata mtoto wa kike kwa mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28.
0 Reactions
12 Replies
20K Views
Habari zenu wana JF. Kwa moyo mkunjufu napenda kutangaza nia yangu ya kutaka kuoa. Sitanii wala sina mpango huo kabisa. Najua zipo namna nyingi za Mungu kumkutanisha mtu na mke wake. Na...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Naomba kuelekezwa kuna bidhaa nahitaji kutoka kwa hawa watu wa forever living nitawapata wapi mjini hapa i mean makao yao makuu DSM naomba kuelekezwa
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu na madaktari mliopo jamvini. Naomba mnijuze. Nina mjomba wangu ana miaka karibu 90 na amefanyiwa vipimo na kuonekana kuna maji katika kichwa chake yaliyosababishwa na mgando wa damu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
HIV kirusi kinafahamika kwa jina la retrovirus jamii ya Lentivirus,RNA ,spherical shape,diameter of 80-100nm. africa klipewa jina la hiv kutokana na tabia yake ya kuharibu kinga haraka sana zaid...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama uzi tajwa hapo naomba kujuzwa madhara ya diclopar Kama kidonge cha kutuliza maumivu mfano mtu anapoumwa na Jino akiweka kwenye jino linalouma Mara...
0 Reactions
39 Replies
17K Views
Habari wakuu Nimekua nikisumbuliwa na tatizo usoni la nyama zilizotoka baada YA makovu YA chunusi.. (keloidi) Naomba kujua namna YA kuondoa tatizo hilo Ahsanteni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wana body naomba kujua dawa sahihi ya ngozi kuanzisha vijiuvimbe vinavyo washa then vinakua kadri siku zinavyo endelea. Kitaalamu huu ugonjwa unaitwa(KELOID).Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Ni bia gani mtu mwenye vidonda vya tumbe anaweza kunywa
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nothing
0 Reactions
6 Replies
667 Views
Habari ...madhara gani anaweza kupata mama mjamzito anapotumia kahawa..??? Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
620 Views
Jamani wakuu, ningependa kujua ukweli wa hili swala... Kiukweli, unapoenda kunyoa saluni.. Unakuta mashine za kunyolea zimeshawanyoa watu wengi, tuchukulie mfano imeshanyoa mtu mwenye virusi...
0 Reactions
41 Replies
21K Views
Habari zenu wana JF,ningependa kujua kama ukikuta mnyoo katika haja kubwa ni tatizo gani?na linasabababishwa na nini?na tiba yake ni nini?
0 Reactions
14 Replies
58K Views
Wakuu naamin mko salama,naomba msaada tatizo langu ni mguu wa kushoto yaan ni kama unawaka moto kwenye kisigino na kanyagio,Nina miez mitatu ila sasa nahisi kuongezeka maumivu.msaada tafazal Sent...
0 Reactions
21 Replies
13K Views
Habarini wana Jf Doctors... Nahitaji kujua sababu zipi hupelekea mimba kutokutunga. Nikimaanisha mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28 ambao haubadiliki mara kwa mara ... Ambae amejaribu kupata...
0 Reactions
54 Replies
8K Views
Je, umeshawahi kufikiria kuacha kutumia viazi? Nina habari ambayo inaweza kukushangaza kuhusu viazi mviringo. Siyo tu kwamba viazi mviringo ni vitamu na vinabei nafuu, kuna faida nyingi za kiafya...
4 Reactions
16 Replies
26K Views
Habari wanajamvi. Kichwa cha habari kinajieleza. Moja ya mada za kitaifa zosizo rasmi na zinazo trend kwa kasi ni hii ya nguvu za kiume. Nimejaribu kufuatilia matangazo yake promo zake na dawa...
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Back
Top Bottom