Habari,
Je, ni kweli wagonjwa wengine wa mabusha hugoma kuyafanyia upasuaji kwa sababu ya imani za kishirikina eti kwenye yale mabusha kunakuwa na zana zao yani vifaa vyao vya kishirikina?
Wassalam wanajukwaa.
Afya kwa mwanadamu ni tunu kubwa ambayo kuwepo kwake kunamuwezesha (binadamu) kwa kiwango kikubwa kuwa ni mwenye furaha na utulivu kwa ujumla.Ni dhahiri kwamba mwili wa...
Kuna best yangu Mmoja ana dem wake, yule mdada kapata ujauzito na baada ya kwenda kupima damu akakutwa na group lenye resus factor negative.
na ameambiwa anatakiwa achomwe sindano ya ANT DOTE...
i dont have much to say all i need to know is if there's any natural medication apart from tablets and lotions,that i can use to make me last longer in bed.i mean something that will or can stay...
Samahani mimi naishi Mwanza nilipata ajali mwez wa 5 iliyopelekea jicho langu la kulia kutoka nilipelekwa Bugando nikafanyiwa upasuaji likatolewa moja kwa moja, lakini mpaka saivi linatoa machoz...
Natanguliza shukrani zangu kwenu wana Jamvi.
Leo nakuja kwenu kuomba msaada wa uelewa juu ya mambo yafuatayo kuhusu watoto :-
1. Je, ni hali ya kawaida kwa mtoto wa miezi miwili kasoro...
Wakuu tatizo langu ni hilo hapo juu nimetumia dawa nyingi za kupaka na kumeza ila tatizo lipo palepale kama kuna MTU anaejua dawa tafadhali Shea nami
Ni mikononi tu hadi kucha zinatoka...
Siku za hivi karibuni naona kumeibuka dawa nyingi za kutoa sumu mwilini na nyingi naona wanazungusha hawa masai lakini hizo dawa ukinywa lazima uarishe sana na wanasema sumu ndio inatoka kwa style...
Habari Za kutwa ndugu wana Jf, naomba kufahamu juu ya hili swala mpenz wangu ana AB+ namimi Nina 0+
Je, hapa kuna tatizo lolote katika safari ya kutafuta mtoto
Wadau kabla ya kumwaga sperm au mbegu za kiume,kuna maji maji meupe utoka Yale maji ni muhimu sana maana yana acid, ile acid inapoingia ukeni ambako kuna maji maji yeye base
Acid + base= water na...
Mama mwenye maambukiz ya Ukimwi, kukamua maziwa na kuyachemsha kumpatia mtoto wake kunaweza kusiwe na madhala kwa mtoto? Mtoto anaumri wa miez mitatu ameanzishiwa Maziwa ya ng'ombe. Nijuzen...
Habarini humu,
Nilifanyiwa operesheni ya kutoa tonses toka mwezi wa tatu 2017. Hadi leo sina test ya chochote. Nisaidieni nitakuwa vizuri baada ya muda gani? Sina namba ya doctor wangu na yuko...
Ijue Faida ya kula samaki
SAMAKI (FISH)
• Huyayusha damu, huifanya kuwa nyepesi
• Huilinda mishipa ya damu isiharibike
• Huzuia damu kuganda
• Hushusha shinikizo la damu
• Hupunguza hatari...
Kuna njia ya ku_strengthen Na kuiongeza dhakari nimeisoma makala hiyo "juzikati" hiyo njia inaitwa Jelqing method
Je kuna yoyote mwenye kujua zaidi juu ya hiyo method nipate juzwa zaidi nanyi...
Wakuu wasalaam.
Wife ana ujauzito wa wiki 8..tatizo kila aakila lazima arudishe chenji.Kuna shagake kamshauri eti atumie sijui vidonge gani vya kukata kichefuchefu, je ni salama kutumia vidonge...
Habari ndugu zangu,miaka 10 iliyopita Jino la mwisho taya la chini 'wisdom tooth ,lilimeguka nikaenda muhimbili wakapiga xray.
Lilikuwa limeota vibaya kitaalamu (horizontal 3 molar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.