Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Dawa hii ni nzuri sana kwa wasioshika ujauzito kwa sababu mbalimbali kama kutokubalance kwa hormone na matatizo mengine.... Pia dawa hii hii watumie watu ambao akishika ujauzito unatoka. Dawa...
1 Reactions
12 Replies
10K Views
Zifahamu faida za:- Pomegranate(komamanga) -ina antioxidant inayosaidia kupendezesha ngozi na kuifanya ionekane ya kijana. -Husaidia mwili kuondosha sumu na uchafu utokanao na...
1 Reactions
4 Replies
9K Views
Wana JF naomba msaada wenu kuhusiana na matumizi ya Kitunguu swaumu (garlic). Nafahamu kitunguu swaumu kinamanufaa mengi sana mwilini na kuna ushaidi(medical evidence)kwamba matumizi ja kitunguu...
1 Reactions
26 Replies
28K Views
Mimi ni binti mwenye umli wa miaka 29 tokea nilipoamua kujiingiza na maswala ya mahusiano na kuanza kufanya tendo la ndoa sijawahi hisi raha ya tendo hilo hata kidogo.Nilijalibu waeleza lafiki...
1 Reactions
115 Replies
14K Views
Kwa wenyekuifahamu hiyo kitu hapo juu ni solution inayopatikana wapi na inatumikaje kuoshea magwangala ya dhahabu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
*FAIDA ZA MASSAGE* Massage husaidia kuondoa msongo wa mawazo. Massage huondoa uchovu wa mwili na akili. Massage huweka sawa mfumo wa mzunguko wa damu mwilini. Massage huzuia kiharusi kwa urahisi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kichwa cha habari chajieleza, kuna jamaa yetu apa ofisini juzi kati kama wiki tatu hivi zmepita ifanya mapenzi na mwanamke muathrika, sasa ameenda kupima kaambiwa yu salama, sasa hivi ni kweli...
2 Reactions
128 Replies
13K Views
Mke wangu hashiki mimba pia kwa mwezi anaingia mp mara 2. naombeni msaada wa tatizo langu.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari waungwana Nina wifi yangu kajifungua huu mwezi wa pili sasa tatizo lake maziwa ni mepesi mno,atumie nini ili yawe mazito?
0 Reactions
8 Replies
26K Views
Hodi wanajamvi Naombeni msaada wenu mwenzenu nasumbuliwa na aleji ya Samaki kwa kifupi siwezi kula samaki hata harufu yake hunifanya nijisikie kichefu chefu CHANZO CHA TATIZO Tatizo hili...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Nimekua na mambo yananisumbua zaidi ya mwaka sasa, na nimeweza kuwa mnafki na kuyaweka moyoni tu bila kuongea kwa watu mambo hayo.<br> Kutokana na mambo mengimengi nilijikuta...
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Kwanza niombe samahani kwa yeyote atakayekwazika na yalioandikwa au yatakayoandikwa kuhusiana na thread hii. Nimekuwa nikisikia lawama zikitolewa kwa msimamizi wa mgonjwa pindi mgonjwa...
0 Reactions
16 Replies
10K Views
Habari wakuu Nahitaji dawa ya stress haraka sana mnitajie inaitwaje na gharama yake Please ========================================
0 Reactions
32 Replies
8K Views
Nina mtoto mchanga wa miezi 2 na nakaribia kurudi kazini sijajua ni maziwa gani bora ya kopo ya kumwanzishia naombeni msaada wadau
0 Reactions
23 Replies
73K Views
Hello doctor and wanajamii forum natumaini mko salama kabisa, labda niende straight to the point, mimi nina mpenzi wangu ambaye alikuwa nje ya nchi kimasomo, ameludi wiki tatu zilizopita, ila...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Wakuu kuna ndugu yangu amepata tatizo la kuvimba sehemu mbali mbali za viungo vya mwili. Baadhi ya vidole, magotini na cha ajabu uvimbe unahama mara Kwa mara. Akivimba goti la kulia, anavimba na...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Tumbo langu linajaa gesi na kunguruma,nikienda kujisadia kinachotoka ni upepo pamoja na kinyesi cha kukatakata ambacho kinaambatana na makamasi. Baada ya kupimwa nikaambiwa kuwa nina vidonda vya...
0 Reactions
6 Replies
18K Views
Habar saa Hz wanajamii forum. Mm nikijana mwenyewe miaka 27 nmekuwa nikisumbuliwa na tatizo la miguu na mikono kupata moto kwa mdaa mrefu sasa nmeenda hospital nikapewa vdoge vinaitwa neuron...
0 Reactions
5 Replies
748 Views
Wana jamii wenzangu, za kazi. Nimekuwa na tatizo la kula kupita kiasi na bila kushiba. Nimepima minyoo lakini sina. Na nimerudia mara kwa mara niko sawa tu. Hali hii inaninyima raha. Huwa sihisi...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
FAIDA ZA TANGO 1. Kuzuia kisukari, kuboresha mfumo wa damu na kuondoa kolesteroli mwilini. 2. Chanzo kikubwa cha Vitamin B. 3. Kusaidia kutunza ngozi. 4. Kuongeza maji mwilini. 5. Kukata hangover...
2 Reactions
6 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…