Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

MP& OV
0 Reactions
8 Replies
859 Views
Naombeni ushauri nimekuwa mlevi kupindukia msaada wa mawazo nimejaribu kuacha nimeshindwa
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Wasalaam bandungu Kichwa cha habari chajieleza.Nina rafiki yangu ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa mwanachama wa CHAPUTA(chama cha punyeto Tanzania) kutokana ufuasi wake uliotukuka kwenye hicho...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Hana Homa Anaharisha Kiasi Kila Mtu Anakuja Na Maneno Yake Wengine Wanasema Nimpeleke Kienyeji Akapasuliwe Hayo Mau Vimbe Nipo Dilema
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Maelezo: Wakati mtu akitumia dozi ya malaria Kwinini
2 Reactions
65 Replies
13K Views
Mafua Kila Siku Haya Ishi.Nyumba Ina Mavumbi Mibox Ya Nguo Ya Tangu Mwaka 1990 Imo Ndani Viatu Vya Tangu Utoto Vimo Ndani Kwanini Usiugue Mafua?
4 Reactions
18 Replies
3K Views
pole sana wa jamii forum na hongera sana kwa mheshimiwa lema kupita rufaa yake. Kwa kifupi ni mdogo wangu yapata sasa wiki 3 alikuwa amelazwa hospital moja ya wilaya lakini kama wiki 1 iliyopita...
0 Reactions
20 Replies
25K Views
Wadau, nataka dogo aache kunyonya mara moja, mbinu gani itumike?
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Habarini waungwana Hivi ni kweli kuwa watoto wa kiume huwa wananyonya sana kuliko watoto wa kike?kama ni kweli naombeni sababu inayofanya iwe hivo.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Waslaamu wadau wa afya, Nimekuwa mtumiaji mzuri wa beers kwa muda sasa, lakini siku za karibuni nikinywa beers nyingi jioni ya leo basi kesho yake ahsubuhi huamka na hangover na wakati mwingine...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
COPIED AND PASTED [emoji116] DAWA KUMI AMBAZO MAMA MJAMZITO HATAKIWI KUZITUMIA KABISA: Leo tutaangalia dawa ambazo jamii yetu hupenda sana kuzitumia lakini bahati mbaya baadhi ya dawa hizo...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
Je unatoa ute mwingi ukeni na kupata maumivu ukeni wakati unatembea au wakati mwingine wakati ukiwa unafanya mapenzi? Kama unajisikia hari hiyo na umeshaenda kwa madactar mbalimbali, na...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Habarin wanajamvi; Moja kwa moja niende kwenye suala la msingi. Nipo kwenye mahusiano na dada mmoja yapata sasa miezi minane, kuna tatizo la kutokwa na fluid za njano sehemu za siri baada ya...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Kuna mdada kaniambia eti kibamia kinaongeza hatari ya fistula kwa mwenza wa kike. Je, ni kweli au kanipiga fix?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habarini The Great Thinkers! Jaman nina mpenz wangu hasikii harufu ya kitu chochote,anadai hawajawai sikia harufu,tiba yake ni nini hii kitu,,msaada tafadhali maana anadai hiyo hali hapendezwi nayo!!
0 Reactions
26 Replies
10K Views
Habari wakuu Nipo hapa kueleza shida yangu. Mda mfupi uliopita ngoma ya sikio langu la kushoto "eardrum" nimeisikia ikitikisika/ikidunda dunda kwa sauti kubwa, hii yote ni nini? Naomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeziokota barabarani nikiwa katika matembezi. Ukiona zinakufaa/zitakufaa baadaye zihifadhi au la hazitakufaa zipotezee.
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Naomba ushauri wanajukwaa, Mikono yangu usiku inawasha sana na kutoa malengelenge. Ni ugonjwa gani na nitumie dawa gani ? Nimepima damu na mkojo nipo ok Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1)Kwa Kumuangalia Kwa macho dalili gani unaeza mtambua mwanamke mweupe asiye na upele mahala anaeishi na v.v.u.? 2)kupatwa mafua 1week baada ya maambukiz ya vvu ni 89% Kwa kila MTU je, mafua...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nilikuwa natumia doze ya tb,katikati ya ugonjwa maskio yangu yakawa yanatoa sauti (psssssss!) Had Leo nimemaliza doze bado tu.sababu ni nini?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…