Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

ni wapi na wapi, na ikiwezekana bei pia
0 Reactions
13 Replies
10K Views
HOW HIV POSSITIVE SOMETIME CAN TEST NEGATIVE? HOW IS THAT POSSIBLE? SO WHICH TEST IS BEST TO CONFIRM IF SHE IS HIV NEG OR POSSITIVE IF SHE/HE IS ON TREATMENT BECOUSE IF YOU TEST WITH PCR YOU...
0 Reactions
4 Replies
979 Views
Naombeni msaada naitaji dawa izo tajwa
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Jamani Nina Mke huu mwaka wa tatu, tatizo nisipo safiri, nikiwa naye lazma nichape ndipo nilale, nisipo do usingizi hauji, muda muafaka na kikosa usingizi juu nisipo do shida nini?
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Wanasayansi nchini Marekani wamefanikiwa kupambana na maradhi yaliyokuwa sugu kwa dawa za kupambana na vijidudu yaani antibiotics tatizo ambalo lilikuwa tishio dhidi ya sekta ya afya duniani...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana jamii forum. Kwa muda mrefu Sasa nimekuwa nikuvutiwa sana na kazi ya ushauri na unasihi jambo lilonifanya kuwa mdau mkubwa na mfatiliji wa makala, vitabu na maandiko yanayohusu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wabobevu wa masuala ya afya ya mwanadamu,nimekuwa gizani kwa muda mrefu juu ya huu mstari ulionyooka katikati ya tumbo kwa mwanamke mjamzito,huwa una maana yeyote kuhusiana na ujauzito?
0 Reactions
16 Replies
28K Views
Habari za hapa jf? Samahani naomba kujua kama ni tatizo au ni kawaida kwa mtoto wa umri wa miezi 3.5 kunyonya kwa kubeep. Yaani ananyonya kidogo sana alafu anakua hataki tena. Bado hajaanza...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ahsanteeni kwa woote walio nishauri kutumia pilipili manga katika uji kwa mama asietokwa na maziwa na alifanya hivyo na hivyo, hivi sasa maziwa yanamwagika kama bwawa la Mtera ahsanteni kwa...
2 Reactions
24 Replies
11K Views
Wana jf tumbo langu linaunguruma sana yaani waweza dhania nimemeza vyura kwani hukimbizana na kugonga kuta za tumbo.Sauti mpaka ninajishtukia kwani watu wanazisikia.Hivi tatizo ni nini?
1 Reactions
30 Replies
36K Views
Mjamzito anapaswa kuepuka ulaji wa kupita kiasi ili asinenepe kupindukia (Obesity). Kulingana na kijarida kiitwacho Krause’s Food, Nutrition and Diet Therapy, mtoto anayezaliwa akiwa na uzito wa...
2 Reactions
4 Replies
13K Views
Mtu na akili zako timamu unampeleka mkeo kwenda kupima jinsia ya mtoto alioko tumboni, ili iweje kwa mfano. Au unaenda kupima DNA ya mtoto ikusaidie nini. Mdada unapanga foleni kupima...
13 Reactions
40 Replies
4K Views
Habari zenu humu jukwaani, Mtoto anapokuwa kwenye Mfumo wa uzazi/uteras anapokea damu, chakula n.k kutoka kwa mama. Inawezekana vipi kwa mama ambaye ana maambukizi ya VVU kuzaa mtoto ambaye...
2 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari zenu jamani nilikuwa naitaji kufaamu tatizo hili linasababishwa na nini mwanamke kupata maumivu kila wakati wa kujamiiaaa na na mwenza wake na kuwa mkavu kabisa na kupelekea kutofurahia...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Aje wana Jf,nisaidieni kwa anayejua dawa ya jino ambalo limeanza oza kwasababa ya kula vitu vyenye sukari.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa nikisumbuliwa na jicho jekundu kwa muda wa kama mwezi mmoja hivi. Kwanza ilipoanza nikajua red eyes so drops na maji ya uvuguvugu nikatumaini ingesaidia. Imeenda drops zikaisha nikaenda...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu habari za majukumu. Mwanangu anasumbuliwa na kigugumizi anashindwa kuongea mpaka anafumba macho. Wakati anazaliwa hakuwa na hali hii, imemuanza baada ya kitimiza miaka miwili na nusu Na...
1 Reactions
18 Replies
7K Views
Za jion wana jf, polen na majukumu ya kutwa nzima. Naomba kuuliza, kuna uhusiano gani kati ya maumivu ya nyonga na ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa? Pili naomba kujuzwa je, majimaji meupe kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jamii, naombeni msaada wenu juu ya hili kwakweli sielewi ni nini hasa, Mimi nna mpenzi wangu ambae nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka na nusu sasa na tumeshiriki ngono sio...
0 Reactions
21 Replies
34K Views
Wakuu habar zenu Kama nilivyoanza hapo juu mke wangu anapokuwa period anapata maumivu makali kwenye ut Wa mgongo Kichefu chefu Kizungu zungu Na mwili kupoteza nguvu na miguu kumkauka Kwa mwenye...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom