Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mimi ni kijana wa 29, Nimekuwa nikipata wakati mgumu kuhusu afya yangu, afya niliyokuwa nayo kipindi cha nyuma sasa naona kila siku inazidi kupungua, na nimesha kwenda vituo vya afya kupima afya...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Nina upungufu wa nguvu za kike, waungwana nisaidieni! Habari! Wadau nawashukuru wote mlionipa ushauri kuhusiana na tatizo tajwa hapo juu. Ushauri wenu niliupokea na kuufanyia kazi kwa kadri...
5 Reactions
91 Replies
12K Views
Wanajukwaa! Salaam; Kuna ndugu yangu yuko Dar anatafuta dakari wa familia. Akiwa wa hospitali za rufaa itakua bora zaidi ili aweze kusaidia habari za vipimo nk. Hana tatizo la kiafya kwa sasa ila...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu humu ndani jamani. Ningeomba mnisaidie kujua kama kuna dawa ya kuacha ushoga au namna ambayo mtu anayefanya ushoga anaweza akasaidiwa kuacha. Nina mdogo wangu wa kiume ana miaka 28...
9 Reactions
111 Replies
31K Views
tatazo la kutoka na vipele vigumu kwenye mashavu ya uke muda mwingine vinawasha muda mwingine haviwashi dawa nyingi zimedunda
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau habari ya asubui, nauliza kwa wataalam wa afya kwamba maziwa ni tiba au kinga ya kweli %100 kutibu magonjwa ya tokanayo na vumbi kali.. Jamii mtaan inaamin kwamba ukitoka kwenye vumbi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wanabodi mimi ni miongoni mwa watanzania ambao hawana mwanga kuhusiana na maswala mazima ya sayansi za tiba. Majuzi nimeenda hospitali flani hapa kwenye jiji la Bashite nikamkuta doctor mmoja...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habar wakuu Mim ni kijana mmoja lijali na mstaarabu na sipend kumforce mtu katika mapenz sasa ninahii kitu huwa inaniumiza sana kichwa yan nikikaa muda mrefu bila kujamiana siku nikiwa na mwanamke...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari za leo wana jamvi, Naomba msaada wa kitabibu nimepata ugonjwa wa zinaa nahisi ni gono maana usaa unatoka kwa wingi na pia nasikia maumivu makali wakati wa kujisaidia haja ndogo. Nimepata...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilikua nikisikia tu kuwa unaweza ukashiriki kimapenzi na mtu aliyeathirika na usipate maambukizi, imemtokea kwa bro wangu, alioa miaka miwili iliyopita na kabla hawajafunga ndoa walipima wote...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Hi wadau! Naombeni anayejua dawa yakuondoa maumivu kwenye goti anijuze. Nilijigonja kwny ukuta zaidi ya mwezi sasa ndo nimeamza kupata maumivu kwnye goti. Nimejaribu dawa mbali mbali zikiwamo...
0 Reactions
13 Replies
18K Views
Wakuu mu hali gani? hali ya unywaji mwingi wa maji takribani lita 3-5 kwa siku na kuto kukojoa mara kwa mara au mara nyingi kwa mfano:- MCHANA KUKOJOA MARA 2 USIKU KUKOJOA MARA 1 NA HAJA NDOGO INA...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni hatua gani za kuchukua ili kitokomeza ugonjwa wa amoeba unao jirudia rudia?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ninapata maumivu makali upande wa kushoto kifuani....maumivu yanasambaa mpaka kwenye bega na mkononi kisha mgogoni inafikia hatua nashindwa kulala kiubavu kwa upande wa kushoto nmeenda hospital...
0 Reactions
12 Replies
36K Views
Naombeni msaada wa kitabibu nina tatizo la kujamba sana wakati wa kulala sanasana kipindi cha Alfajiri. Sina shida yoyote ya tumbo ila asubuhi nakuwa nalipuka haswa. Naombeni ushauri..
5 Reactions
160 Replies
18K Views
Naomba ujuzi wakuu, nahesabu vipi ukubwa wa mimba na kukadiria siku ya kujifungua? *Pia dalili za kujifungua ni zipi? *kuna wengine wanasema wanachanika matumbo mda ukikaribia Wa kujifungua(kuna...
0 Reactions
18 Replies
51K Views
Helo wakuu, Ninaombeni msaada, kama kuna mbinu mbalimbali za asili za kutambua kuwa mimba ni yako au hata kama kuna vipimo ambavyo vinaweza kuonyesha maabara kwamba hii mimba ni yangu na vipi...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Habarini waungwana. Nisaidieni ktk hili, kwa wale watumiaji wa artificial contraceptives, je kuna ukweli wowote kuwa kutumia loop, (kitanzi) kuna-limit sex styles? Yaani unatumia style moja tu...
0 Reactions
2 Replies
793 Views
mara nyingi naonaga watu wanautumia ila kwa mwenye kujua naomba anigawie ufahamu.
0 Reactions
38 Replies
68K Views
Back
Top Bottom