Salaaam wakuu Poleni Na majukumu
Nimekuwa nikiteseka sasa takriban week ya pili hii kooh limekuwa likiuma hali inayo sababisha
Kupanda kwa homa kali na kutapika
Nilimuelezea nes duka...
Habari zenu wanajf,
Ninahitaji msaada wenu, jana usiku kuna vijana wetu wa kazi wamepigana wakaumizana lakini tuliwapatanisha na mmoja kati yetu akawa anawapatia huduma ya kwanza.
Baadae akaenda...
mke wangu alipojifungua mtoto wetu wa kwanza mwaka 2013,punde tu baada kujifungua alichoma ile sindano ya ANT D...
ninachoomba kujuzwa,je kwa mimba ya pili ni wakati gani tena atapaswa kuchoma...
Jamani, hivi mtoto mchanga akiwa na matege unaweza kufanya nini ili kuyanyoosha, nilisikia kama mtoto akiwa na matege wakati bado mdogo mifupa yake ni milaini hivyo inaweza kunyooshwa tu.
I am...
Wadau naamini jf ni mpango mzima,naombeni msaada wa kiushauri,mtoto wangu ana miezi saba sasa ila hataki kabisa kula,alipofikisha miezi sita nilimwanzishia vyakula vyepesi kama uji,mashed...
Napenda kusomea ophthamology and surgery naomba kama kujua kama baadae unaweza kujiendeleza na pia kwa nchi yetu wagonjwa wa namna hii wapo wengi kama wa maalaria
Habari za majukumu.
Tafadhali naomba msaada wa haraka,nikinywa maji tumbo langu linauma sana hali inayonipelekea nichukie kunywa maji,ninaweza nikakaa hata siku mbili bila kunywa maji ili...
Habari wana JF leo ni siku nyingine iliyo njema machoni petu watu wengi wamekuwa wakilalamika kuhusu tatizo la malaria sugu, leo nitawapeni jinsi ya kutengeneza tiba ya asili ya malaria sugu na...
Nashukuru wote mlionipa ushauri nilipoleta tatizo langu la kujamba sana kila siku.
Alfajiri leo nimeenda kumuona doctor nimefanyiwa vipimo vyote vya tumbo sina tatizo lolote pia jana usiku...
Habari wakuu.
Kutokana na gharama za maisha kupanda, baadhi ya njia za asili zimegunduliwa au njia za zamani zimeboreshwa.Ukiwa nyumbani, tumia vifuatavyo;
1.Kuvimbiwa - Hali ya tumbo kujaa gesi...
Wapendwa wa JF habarini, poleni na majukumu.
Kama kichwa cha habari kilivyo,
Naomba ushauri ili niweze kupunguza au kuondoa kabisa hasira katika maisha yangu.
Wakuu ninatabia ya kupandwa...
Nimetoka zangu job mida ya jioni jioni, nimechoka kimtindo! Nimepaki ka baiskeli kangu sehemu kununua chochote kwa ajili ya usiku (mlo) Gafla kuna mtu anaiita kwa nyuma, ni mdada ninayemfahamu kwa...
Nina shida,nahitaji ushauri wa ma ma 2
(1)Nina tatizo la Hernia nikifanyiwa operation itanichukua siku ngapi ili niweze kuendeleza na kazi zangu za ofisini nipo katika shirika la mtu binafsi...
Habari za saa hii wapenda afya,
Kabla hatujaanza unatakiwa kujua kuongezeka uzito ni nini pia ni wastani upi sahihi wa uzito (body weight) katika mwili wa binadamu kulingana na urefu wake (BMI)...
Mk Doctor wa JF naomba msaada wa kitaalum hivi ni hali ya kawaida kwa mtoto mdo wa ambeye hajafikisha mwaka mmoja kuwa anatokwa na jasho akiwa amelala hata kipindi cha baridi.
Kuna madhara...
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kutokwa na vipele sehemu ya kifuani mpaka shingoni hasa kipind cha mvua zinapochachamaa, nikila vyakula vya baharin pezwa au samaki wadodo wale, ama nikipitiwa...
Heshima Kwenu Wadau.
Nasumbuliwa na tatizo linalosumbua akili yangu sana. Mke wangu anawashwa sana mwili wote na hasa maeneo ya Paja la upande wa kulia kwa juu karibu na maeneo yake Mahsusi hali...
Kama uemgundua nywele zako zinanyonyoka, usi panic. Sababu inaweza kuwa rahisi. Inaweza kuwa ni ukosefu wa vitamin au sababu za kinasaba ( urithi ).
Zifutazo ni sababu kwa nini nywele zako...
Baada ya kuzulumiwa na mtu ambaye alikuwa karibu sana mimi, nimekuwa mtu hasira na woga sana , nawaogopa mpaka marafiki zangu, pia imefikia hatua mpka nataman kujinyonga.
Naomba msaada wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.