Habari wana jamii...
Nina tatizo la meno yangu kupoteza rangi yake ya weupe japo nimekuwa nikisafisha kinywa(kupiga mswaki) kwa zaidi ya mara 3 kwa siku.
Nifanye nini ili kurudisha weupe wake?
Nini maana yake hii? Najiuliza
Kalogwa?
Ni mchafuko wa damu?
Na kinaponaje hiki kidonda?
Nini chanzo chake, maana jamaa anatoa harufu mbaaaya mwaka wa sita sasa.
Ili ni jambo jipya Tanzania tumepata bahati ya kuwa nchi ya kwanza Africa mashariki na kati kuweza kupata huduma ya moyo online.
iMMi life ni platform ya cardiologists duniani wanapokea kipimo...
Tende (dates) kwa lugha ya kitaalamu (botanical name huitwa Phoenix dactiylifera, wahindi huita khajoor. Ni tunda lenye faida kedekede kiafya, tende zimetunukiwa viambata muhimu kama dietary...
Habarini wadau,naombeni msaada wa jinsi figo inaweza kuuzwa,Nina rafiki yangu ana uhitaji wa kuuza figo,pia contact zake ni 0658008481 au 0625888448,msaada wenu tafadhali
Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu kuongeza muda wa kubadilisha cheti cha njano ya Homa ya Manjano, isome hapa chini;
Tarehe 24 Novemba 2016 Wizara ilizindua Cheti kipya cha Chanjo za Kimataifa...
Naombeni ushauri au hata dawa kama zipo nimekuwa MSAHAULIFU sana naweza kusoma jambo mfano Kuwe na jina la mtu au kitu baada ya muda nasahau lile jina ila stori naikumbuka
Habari za muda huu wakuu,
Naomba kujulishwa kama kuna athari zozote za kula ndizi kwa wingi kwa siku na pia kama kuna athari zozote za kunywa maji mengi kwa siku.
Mimi nina kawaida ya kula ndizi...
Sorry wakuu, hivi ninaweza kutumia slide culture kwa bakteria kama ambavyo inaweza kutumika katika fungal culture especially kwa molds ( ambapo inaonesha fruiting bodies na kufanya kuwa easily...
Kwanza nawasamehe wote mtakaonitukana na kunikebehi katika hili jambo lililonipata. Wakubwa, niliingiwa na tamaa ya kukuza (kurefusha umbile langu ili niwe nawakomoa wanawake) hivyo nikaingia...
Jamani nataka kufanya full body massage hapa DSM wapi sehemu powa ?
Napenda always kusaidia wajasiliamali so kama kuna mtu anajua dada anayefanya shughuli hizi ni pm
Habari zenu, nliwahi kusikia watu wakiongea kwamba maji ya bahari yana faida kiafya ukiogelea na pia Nimeona watu wakihangaika kuchota na vibubu vyao. Je kuna matumizi yake spesho?
Nina tatizo moja ambalo siloelewi chanzo chake ni kwamba nikiwa nimelala au nimekaa au hata nimesimama(sometimes) halafu nikajamba ile hewa inaingia ukeni halafu nikisimama inatoka kwa kasi kama...
Habari wana jf..!! Ndugu zangu kuna jambo naomben msaada wenu huku kwetu wamasai wamekuja kwa wingi sanaa,,, eti wanauza dawa aina ya mitishamba ambazo zinafanya kazi ya kutibu mambo mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.