Wadau naomba msaada wenu kwa mtu aliyepata na Ischemic stroke je anaweza akapata tatizo la kama degedege au kama kifafa?
Maana mgonjwa wangu amepatwa na hiyo hali ni kama vile wakati mwingine...
Naomba niulize wenye ufahamu wa kina. Mfano mwanamke aliebeba mimba 01-01-2016 na kujifungua 14-01-2017, hiyo hali ni ya kawaida? Maana nasikiaga kwamba ikizidi miezi tisa lazima operation ifanyike.
Hello wakuu
Kabla sijajiunga na JF
Nimekua nikipitia nyuzi mbali mbali hapa jamii forum kwa kila jukwaa na pia niliona nyuzi mbali mbali kuhusiana na kukosa hamu ya tendo kwa Wanawake pamoja na...
Habari za asubuh wakuu...
Naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo.
Nina girlfriend wangu ambaye huwa anatokwa na maziwa ninaponyonya chuchu zake zaidi ya dakika flani, mwanzo nilijua ni...
Hellow,
Mambo vp,
Leo nimeamua kuwaambia wanaume wenzangu ukwel, hivi kuishiwa nguvu za kiume imekua fashion au ndo swaga, unakutana na katoto ka miaka 22 nako kanasema kana matatizo ya nguvu za...
You All Have Heard Of Crazy Disease Like Ebola,And Swine Flu That Have Been Known To Spread Like Fire.But What About Those Rare ,Extreme And Strangest Medical Conditions.Of Thousands Of Medical...
Bila kupoteza mda wala wakati wataalamu.
Wataalamu kusumbuliwa na muwasho mgogoni wakati ninapohisi joto yani mwili ukihisi joto hali kwangu ni mbaya sana yani nawashwa na vipele vidogo vidogo...
10 Surprising Foods That Kill Your Sex Life
If you are not able to perform at your bed, then you and your partner are in from the worst sex session of your lives. There are a lot of...
Habari wana jamii forum, leo najitokeza kwanu wadau ili mweze kunisaidia tatizo nilonalo.
Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza pata mtu aliewahi kua na tatizo kama...
Habari wana JF wenzangu,
Kuna hili tatizo la nguvu za kiume limeonekana kutusumbua sana sisi wanaume. Mi napenda nieleze tiba mbadala mbili tu ambazo zinaweza kumsaidia muhanga ambazo ni mazoezi...
Za saizi wadau
Kiukweli kwa muda sasa usiopungua miezi sita nimekuwa na tatizo la nguvu za kiume. Yaani naposhiriki tendo bao la kwanza ni chap tu nimemaliza afu inachukua muda kama dk 20 ndo...
Kuna rafki yang mmoja anaugonjwa wa kichocho Miaka 6 sasa Lakn kila akifkilia swala la ktmia dawa anachkulia poa naksema ntatumia tu Sasa nataka tujuzane je itakua inamadhara sana kwa mda alokaa nao
MAAJABU YA MIMBA HONGERA KWA KUPATA MIMBA PART -1
Hongera
Kwa Kupata Mimba!
Ujauzito ni mojawapo ya nyakati za ajabu na kufurahisha
sana, kumkamilisha mwanamke katika maisha yake...
Habari zenu wana JF,mimi ni msichana ambaye nina mchumba wangu tunakaribia mwaka na nusu sasa katika mahusiano yetu, hatujawai fanya mapenzi ila huko nyuma niliwahi kuwa na mpezi na nikasex nae...
Doktari wa kitengo cha dharura (Detroit emergency room), Jumana Nagarwala mwenye umri wa 44 anashikiliwa na makachero wa FBI kwa tuhuma za kukeketa mabinti wawili walio na umri chini ya miaka 8...
Wakuu naomba kujua je kupima mirija kama imeziba au la,ya kupitishia mayai ya uzazi ya mwanamama.
Je mirija hupimwaje?
Pili je kupima mbegu za kiume,nazo hupimwaje?
Mbegu zipi nzuri,za kuchua...
Wadau salam,
Mimi ni mwembamba saaaana, kuna shughuli nataka kuifanya but mtu mnene anaitajika so nataka kupata dawa nijinenepeshe for special job.
Kama unazijua dawa hizo plz naomba msaaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.