wakuu,nw days naona dawa za malaria zko aina nyingi,ukienda pharamacy hi unapewa hi,ukienda kwngne unapewa nyingine.wnge wanasema tunakupa mseto.sasa suali langu ni ipi nzuri zaidi? Na kwanini...
IV kama umefanya mapenzi na mtu na huna uhakika au umesikia ni muathirka wanasema kuna sindano zina pigwa 72 hrs baada ya kufanya mapenzi,je hizi sindano zina aminika kwa asilimia ngap,na shilling...
Rafiki yangu alifanyiwa upasuaji baada ya lazer kushindwa kukamilisha kazi yake,shida ilikuwa ni mikojo haitaki kutoka kabisa,[blocked urine]kwa karibu siku tatu mfululizo,umri wake ni 58,ana mke...
wadau habari za muda huu..... Mwenye kufahamu hili naomba anisaidie, MWANZONI NLIKUA NA MAUMIVU KWENYE MOYO, YANI YALIKUA YANAKUJA KAMA KICHOMI NA KUONDOKA.....lakini hali hii ikaisha .ILA SASA...
jamani naombeni msaada wenu kuhusu tatizo langu la uume kuwa mkubwa kila siku iendayo kwa Mungu.Hali hii inatokea wakati sijatumia dawa yoyote ya kukuza maumbile.Imefika wakati sina raha...
Serikali ya Kenya imeiomba Tanzania kuiruhusu kuajiri madaktari kutoka nchini humo ili kujaza nafasi ya madaktari walioingia kwenye mgomo kwa zaidi ya siku 90 hadi sasa.
Waziri wa Afya, Maendeleo...
kama mada inavyosema wana jf, nimekuwa nikitoka vipele kila ninapogegeda nikiwa nimevaa kondom nimejaribu kutumia kila aina ya kondom lakin matokeo ni hayo hayo. Wataalam wa afya nawaomba ushaur...
Nina siku ya nne sasa kila ikifka jion tumbo linauma,na korodani zinauma sana,anayejua tatizo ni nini anambie na ni nini dawa, nimeenda hospital wamenipa painkiller tatizo hawajatatua
Ndugu wana Jf naomba msaada kwenu
Napata shida wakati wa kujisaidia choo kikubwa, napata maumivu makali huku choo kikiwa kimechanganyika na Damu, je! Haya ni maradhi gani na nini Tiba yake?
Ninaomba mwenye uwelewe zaidi juu yaHiv
Juzi nilipima na mpz wang cha kishangaza majb yalikuwa fresh baada ya zile dak 5 mpaka 10Ila cha kushangaza nilipoamka Asbh majb nilikuta yapo tofauti...
Hi wana jf
Naomben mnisaidie hiiv mwanamke anapojifungua na akaacha kuziona siku zake ni tatizo au ni kawaida maana awali alikuwa anaziona kama kawaida lakini baada ya kujifungua hazioni
MAGONJWA mengi hayahitaji tiba. Miili ina njia mbalimbali za kukinga maradhi. Njia hizi ni bora zaidi kuliko kutumia dawa.
Magonjwa mengi, kama vile mafua na fluu hupona bila ya dawa.
Ili...
Naombeni ushauri jaman, mwanangu WA kiume WA miaka miwili na nusu akishakojoa anatoa maji maji meupe mwishoni, hiyo Ni kitu gani, Jana ndo nimeona hivo,
bado hajatahiriwa
Abarizenu wana jukwaa, heri yamwaka mpya japo hatujaumaliza mwaka ila tunabakiza masaa machachetu.
Bila kuchelewa nimekja kuomba tujaribu kumsaidia huyu Rafiki yangu maana alisha angaika sana...
Katika huu Uzi(Thread).
Tutakuwa tunazungumzia taarifa muhimu zenye faida kuhusu JamiiForum Herbs-(Mimea pamoja na mbogamboga na matunda).
Yatajwe katika Majina yake ya asili,Matumizi yake,Pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.